Тёмный

UNAAMBIWA JUMBA LA MULOKOZI LUKU YAKE KWA MWEZI HAIZIDI LAKI 5, WAFANYAKAZI WANNE WANALIHUDUMIA 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 22 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 100   
@AllanNestory
@AllanNestory 4 месяца назад
Huyu brother nimemkubali sana ameni inspire kinoma “ Hii ndio maana halisi ya Mungu ni Baba yetu ametuweka duniani ili tuishi sio tupite”
@melanialeonard4031
@melanialeonard4031 4 месяца назад
Mwenyezi MUNGU nipe uzima na maarifa niondoleee umasikin wa roho na mwili nisiwaze eti sote tutakufa vyote tutaviacha😂😂😂
@kamarhelo
@kamarhelo 4 месяца назад
Mshenzi kweri wewe 😂😂😂😂
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 4 месяца назад
😂😂😂 taviacha lakini kutafuta ni ibada, Sasa usitafute alafu Mungu anakuzadia miaka Zaid ya 120
@kagombaEnok
@kagombaEnok 4 месяца назад
Hongera sana bosi nyumba ya kifahari sana vipi nyumba hii imejengwa babati mtaa gani??
@christinalawrence7493
@christinalawrence7493 4 месяца назад
Naomba kazi ya usafi kwenye compuni Yako hata usafi tu au kazi ya chef
@Mahene-w1l
@Mahene-w1l 4 месяца назад
😁 Expensive Life Kama namuona..!!!
@emanuelherman7029
@emanuelherman7029 4 месяца назад
Ayo tv tumalizie stori ya mulokozi bado haichoshi kusikiliza
@benedictmallya620
@benedictmallya620 4 месяца назад
Haya maisha bhna 😂, nimekuwa na idea ambayo nimekomaa kutafuta fund kuanzia 2019... Nimehangaika haswaaa..Then guess what mtaji kabisa wa hiyo idea ndo kwanza ni bei ya kochi hapo etii imagin,, Yaani hapa kuna mtu anakalia mradi wangu hivi hivi....Yaani ile project ninayoitamani watu wanakaa hapo wa'watch movie... 😢😢 sema sawa.
@MomaDedu
@MomaDedu 4 месяца назад
Endelea kupambania ongeza nia kuna wakati utafika utahadithia utafanya zaidi ya ulichokua nacho
@alexandertimberson8599
@alexandertimberson8599 4 месяца назад
😂😂😂😂 pole
@benedictmallya620
@benedictmallya620 4 месяца назад
Asante.. Ni suala la muda tu hakika
@KhalfaniFarisy-hv1nn
@KhalfaniFarisy-hv1nn 4 месяца назад
NDUGU HONGERA SANA! MUNGU AKUZIDISHIE KIPATO UENDELEE NA MOYO HUO HUO WAKUSAIDIA NDUGU ZAKO NA JAMII
@luciadanny8590
@luciadanny8590 4 месяца назад
God when 🙏🙏
@esterdoriye8377
@esterdoriye8377 Месяц назад
Seble imejaa pombe ukute boss mwenyewe hatumii wenzangu na mimi sasa 😅😅😅😅
@deusntobi6682
@deusntobi6682 4 месяца назад
Siku moja nitapata nafasi ya kukutana na mlokozi na ninaamini akinipatia nusu saa ya mazungumzo naweza kuvuna jambo la mda wote lakin hata mimi nitamwambia kitu nacho naamini anaweza kukifanyia kazi na kikamzidishia mihela.
@moriskalegeleshusha2619
@moriskalegeleshusha2619 4 месяца назад
Kuna boss anakupa kazi tu ya kabati la m3 tu mnapigizana kelele utadhani hajawahi kuishika hiyo hela
@shedrackshaibu1986
@shedrackshaibu1986 4 месяца назад
Lak tano mbona kawaida sana aseeee tembea mzee baba uone vitu wabongo bhanaaaaaaa Kuna watu wanatumia umeme mzee njoo Zanzibari nyumba za kawaida tu angalia umeme unavokwenda haaaaaaaa
@nicedavid8536
@nicedavid8536 4 месяца назад
Labda hotel
@elinamilyatuu7337
@elinamilyatuu7337 4 месяца назад
Hii nyumba haichoshi kuangalia
@nichoojr.6747
@nichoojr.6747 4 месяца назад
Mungu Kwanza Maana Haya Yote tutaacha .. ila hongera Kwa Mafanikio hayo Bro
@vibetz9991
@vibetz9991 4 месяца назад
Umeme ni mshahara wa mwalimu
@MkumboJaphet-yx3jp
@MkumboJaphet-yx3jp 4 месяца назад
Jamaa ana balaa huyo.😂😂😂
@yhasintakalenyula970
@yhasintakalenyula970 4 месяца назад
😂😂😂😂😂
@simeorichard6968
@simeorichard6968 4 месяца назад
Hahahah da hatar sana
@AmimoSefo-gk2bf
@AmimoSefo-gk2bf 4 месяца назад
😂😂😂😂😂😂 we noma
@geofreysadok4823
@geofreysadok4823 4 месяца назад
Umeme ni take home ya TGS C 😂 watumishi wa umma mpooo???
@elinamilyatuu7337
@elinamilyatuu7337 4 месяца назад
Sad part of being poor😅😅😅
@NeemaSamson-ti8pc
@NeemaSamson-ti8pc 4 месяца назад
Watu wana hela duniani hapa daaah
@erickenock3198
@erickenock3198 4 месяца назад
Muhaya mmmmh
@ayoubmtumishi50
@ayoubmtumishi50 4 месяца назад
Akague vizuri lazima kuna sehemu ina shoti. Mimi nina jumba kumbwa kuliko hilo na luku kwa mwezi ni 180,000/- mwambie akague hitilafu.
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 4 месяца назад
We unajumba au banda la njiwa
@kadiakirua7621
@kadiakirua7621 4 месяца назад
​@@fahadfaraj6474😂😂😂😅
@lodnessEnterprises779
@lodnessEnterprises779 4 месяца назад
Shida sio ukubwa shida ni matumizi
@elinamilyatuu7337
@elinamilyatuu7337 4 месяца назад
Sawa
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 4 месяца назад
nyooo uwe wewe
@oscarclaine5878
@oscarclaine5878 4 месяца назад
Huyu jamaaa ni jiniazi
@shafiisound4115
@shafiisound4115 4 месяца назад
Amiini yalabi kwa sote
@davidmsele9908
@davidmsele9908 4 месяца назад
Naona ya mwijaku B1.3 ndio bima ya mulokozi na vichenshi Vya kununua kiwanja kkoo 😅😅
@nwntz
@nwntz 4 месяца назад
Nice life
@joshuajustustz
@joshuajustustz 4 месяца назад
Asante Wajina Mr Mulokozi.... Sema ujifunze Piano ili ukija kustaafu uwe na piano Yako uongeze umri mrefu wa kuishi. Umenifurahisha hapo Dak ya 6 kasoro eti Gharama ya nyumba/ Smart house 🏠 siwezi kuitaja nisiwe kama kina Mwijaku vurugu tupu hahahaha. Haya maisha raha sana. Dak ya 8 Mulokozi anakwambia 1B ni furniture tu na House Insurance ni 3 Billion hapo hatujazungumzia mjengo wenyewe😂😂😂. Mimi naomba Milioni 5 tu nitimize ndoto yangu ya kuwa na Studio production (Audio) ❤❤❤ Thanks Millard Ayo Kwa Episode hii 🎉🎉🎉🎉
@suleimanamani6413
@suleimanamani6413 4 месяца назад
Millard part 5 ya hii interview huku weka tunaomba utuwekee
@Moteswa
@Moteswa 4 месяца назад
Insurance bil 3?? Okay
@zamdanamwenje9415
@zamdanamwenje9415 4 месяца назад
Tufanye iwe historical site
@gildasnyaki3812
@gildasnyaki3812 4 месяца назад
Mlokozi ni bright sn
@dorahy1579
@dorahy1579 4 месяца назад
Loo siwezi kusaidia mtu kama huyu, Sidhani kama hii pesa ni halali. Mwizi tu, huyu. Mwizi mkubwa au Freemason.
@ElishaSolomoni-kc4zk
@ElishaSolomoni-kc4zk 4 месяца назад
KUMEANZA KUCHANGAMKA
@jizzotheking9238
@jizzotheking9238 4 месяца назад
Millard Ayo acha tamaa, umeshamtaman Mulokozi wetu maana kila siku ni mulokozi mulokozi, Mulokozi wa nyoko?
@TheBastarrrd
@TheBastarrrd 4 месяца назад
Tuliza matako wewe
@davidmsele9908
@davidmsele9908 4 месяца назад
Kmmk tutafute ela😂😂
@patriciacarlo7236
@patriciacarlo7236 4 месяца назад
❤❤❤
@fehthysigalla-ep9tu
@fehthysigalla-ep9tu 4 месяца назад
ayo tuumalizie hii story ya uyu jamaa
@michaelsamson9663
@michaelsamson9663 4 месяца назад
Sebule imejaa pombe ukijiskia kulewa nikuji sevia
@kamarhelo
@kamarhelo 4 месяца назад
Ndio ujue shetani Yuko kazini mana hamna hata neno la kumshukuru mwenyezi mungu
@michaelsamson9663
@michaelsamson9663 4 месяца назад
@@kamarhelo pesa imekaa pabaya
@jaydenayubu1068
@jaydenayubu1068 4 месяца назад
Kwani hakuna habari zingine mnachosha bhana
@rukandizastephen1390
@rukandizastephen1390 4 месяца назад
Haahahaha masikini tuna shida sana
@jimmybernard4921
@jimmybernard4921 4 месяца назад
Njaa zinakusumbua
@mh9251
@mh9251 4 месяца назад
Sasa laki tano ndio nini. Mimi nyumba ya kawaida tu natumia luku karibu 350 kwa mwezi mjini. Nikiweka starehe hivi ntatumia milioni moja. Huyo labda mgumu ndio maana anatumia ya laki tano kwa kuokoa mara anazima pump ya pool n.k.
@liberatusjackson5045
@liberatusjackson5045 4 месяца назад
Anauza sumu ya vijana simuungiii mkono afuu Tajili nimmoja East Africa....HAMIS KIGUNDA ,tuuuu hawa wengine sifa mitandaoniiii
@emmalyanga3726
@emmalyanga3726 4 месяца назад
Kweli abadili biashara Biashara ya ulabu siiungi mkono
@elinamilyatuu7337
@elinamilyatuu7337 4 месяца назад
We uza chakula na uache kelele
@BarakaJumanne-v4m
@BarakaJumanne-v4m 4 месяца назад
Hamisi uyo ni wa Uganda hata hmfikii MO
@BarakaJumanne-v4m
@BarakaJumanne-v4m 4 месяца назад
Kwani wanao tumia vilevi huwa wanalazimishwa wanywe ?
@liberatusjackson5045
@liberatusjackson5045 4 месяца назад
@@BarakaJumanne-v4m yule ndooo kusema
@AishaHaji-jn7sg
@AishaHaji-jn7sg 4 месяца назад
Mulokozi Ndo nani ..?
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 4 месяца назад
Si yule baba yako wa kambo ushamsahau?
@AishaHaji-jn7sg
@AishaHaji-jn7sg 4 месяца назад
@@fahadfaraj6474 unamambo ya kike sana …kama huna jibu unakausha nimeuliza kwa uzuri ili nijue unaanza kuleta habari za kimama….
@fatumazuberi9842
@fatumazuberi9842 4 месяца назад
Mnamajibu jamani😂😂😂😂​@@fahadfaraj6474
@kadiakirua7621
@kadiakirua7621 4 месяца назад
Kama humjui mulokozi mpk leo utachelewa kupata pesa mama
@kamarhelo
@kamarhelo 4 месяца назад
Wala sioni cha ajabu kwenye hio nyumba mana naona kama mabanda ya kuku
@hamisimahenge5807
@hamisimahenge5807 4 месяца назад
Hahahaha😂😂😂😅😊😊
@yanja69
@yanja69 4 месяца назад
Hebu posti Mabanda Yako ya kuku tuyaone kama yanafaninia hata kwenye ndotooo😂😂😂😂😂
@kamarhelo
@kamarhelo 4 месяца назад
We nae mshamba tu kwaio unaona hio ni nyumba inayo eleweka si angejenga gorofa kabisa
@yanja69
@yanja69 4 месяца назад
@@kamarhelo Tuonyeshe ya kwakooo 😁😁😁
@uchebetz7284
@uchebetz7284 4 месяца назад
Ukipunguza wivu utafanikiwa
@eddechriss2664
@eddechriss2664 4 месяца назад
Bongo bado washamba sana
@charlesmtesigwa2923
@charlesmtesigwa2923 4 месяца назад
Kwanini mjanja
@kamarhelo
@kamarhelo 4 месяца назад
Na wew umo au wew sio mbongo
@PatrickMwamba289
@PatrickMwamba289 4 месяца назад
Watanzania ni Aibu kunyamaanza wakati Harmonize anaharibu kazi za Wasanii wa WCB youtube ⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️
@emmadora7848
@emmadora7848 4 месяца назад
We nawe umekunywa pombe Gani ? Sisi inatuhusu nini hiyo ?
@BabyCleaver
@BabyCleaver 4 месяца назад
hee kumbe hafikii mimi umume ninaotumia 8760000 kwa mwezi tuu
@oscarclaine5878
@oscarclaine5878 4 месяца назад
Huyu jamaaa ni jiniazi
Далее
CHUMBA MAALUM ANACHOLALA RAIS "SIMU HAIINGII"
6:33
Просмотров 430 тыс.