Haya maisha bhna 😂, nimekuwa na idea ambayo nimekomaa kutafuta fund kuanzia 2019... Nimehangaika haswaaa..Then guess what mtaji kabisa wa hiyo idea ndo kwanza ni bei ya kochi hapo etii imagin,, Yaani hapa kuna mtu anakalia mradi wangu hivi hivi....Yaani ile project ninayoitamani watu wanakaa hapo wa'watch movie... 😢😢 sema sawa.
Siku moja nitapata nafasi ya kukutana na mlokozi na ninaamini akinipatia nusu saa ya mazungumzo naweza kuvuna jambo la mda wote lakin hata mimi nitamwambia kitu nacho naamini anaweza kukifanyia kazi na kikamzidishia mihela.
Lak tano mbona kawaida sana aseeee tembea mzee baba uone vitu wabongo bhanaaaaaaa Kuna watu wanatumia umeme mzee njoo Zanzibari nyumba za kawaida tu angalia umeme unavokwenda haaaaaaaa
Asante Wajina Mr Mulokozi.... Sema ujifunze Piano ili ukija kustaafu uwe na piano Yako uongeze umri mrefu wa kuishi. Umenifurahisha hapo Dak ya 6 kasoro eti Gharama ya nyumba/ Smart house 🏠 siwezi kuitaja nisiwe kama kina Mwijaku vurugu tupu hahahaha. Haya maisha raha sana. Dak ya 8 Mulokozi anakwambia 1B ni furniture tu na House Insurance ni 3 Billion hapo hatujazungumzia mjengo wenyewe😂😂😂. Mimi naomba Milioni 5 tu nitimize ndoto yangu ya kuwa na Studio production (Audio) ❤❤❤ Thanks Millard Ayo Kwa Episode hii 🎉🎉🎉🎉
Sasa laki tano ndio nini. Mimi nyumba ya kawaida tu natumia luku karibu 350 kwa mwezi mjini. Nikiweka starehe hivi ntatumia milioni moja. Huyo labda mgumu ndio maana anatumia ya laki tano kwa kuokoa mara anazima pump ya pool n.k.