😢😢leo ndio nimejua hii history subhaanallah 😭..aise makafiri wanafnyg juu chini kuhakikish usilam uzim .. Yaa rabbi tujaalie tuwe waislam Tabiti na tufishe tukiwa waislam 🤲
yupo mwanaharakatinmmoja wa dini isi9julikana. akiijiita shekh ELIYAS. ALOSEMA WAZI WQKATI MAGUFULI YUKO HAI. ALIMWAMBIA TUPE IKULU YETU KAZI YAKE KUWA KITUO CHA WAISLAMU
Nyerere katuharibu kisaikolojia maana hata mashuleni hatukufundishwa ukweli huu tulipewa historia ya uwongo na hadi leo hatujui ukweli kuhusu tanganyika ni aibu tupu nchi gani wanadharau true history yaani ni kweli kabisa ukweli maisha utanyooka tu.
Hii ni historia tu, tunaipokea kama gumzo tu. Haina maana sana, tujikite na Maendeleo na kuimarisha imani zetu. Walipita Waarabu wakafanya yao, waremo wakafanya yao, wazungu hali kadhalika. Na sasa tupo Sisi tunafanya yetu, watakuja na wengine. Ni kawaida sana
Kwa ufupi mtume mohamed alitajwa katika taurati NA njil NA zabur NA mtume wa mwisho kwa hiyo asiye fatilia dini ya mungu NA mtume wake mohamed wamepotea kwa sababu mungu hatakupali ila uslamu tu NA uslaam ni kwa ulimwengu wote hakuna huyo bora kuliko wengine wazungu waarbu waafrika wa china wote ni sawa sawa kitu muhimu ni imani NA salah tano NA zakah NA kuhiji NA kufunga ramathani
Sheikh toboa siri iliyofichwa na makafiri. Wape wape vidonge vyao wamezoea hao. M'mungu atawadhalilisha tu, kama si hapa duniani itakua Akhera inshaAllah.
Kazi kukufurisha watu mnawaita makafiri lakini kila kukicha wakimbizi wanatoka nchi za Kiara kiarabu kwenda ulaya na marekani mnaowaita makafiri. Kwa nini mckimbilie Iran, Saudi 🇸🇦 Arabia au Yemen
@@selemaniigosha hata mzee wa upako na wengine wameshawapasha yesu hakuwa mkristo na hajawahi kuingia kanisani. Sasa sijui yesu wenu nyie ni na yupi? Endeleeni kucheza sebene ndani ya kanisa na wasichana wakiwa nusu uchi eti ndio ktk kumuabudu Mungu. Mnaleta mchezo mkubwa mbele ya M/Mungu. Na mnaabudu sanamu hilo halina ubishi, eti yesu kabebwa na Maria na lile salaba la kijinga kwamba yesu ndio alisulubiwa hapo, sasa ndio muelewe ukafiri wenu ulipo na ndio maana mnaitwa makafiri ktk makafiri waliopo chini ya jua. Muda mnao jisafisheni, Mungu ni mwingi wa kusamehe pale mtapoomba msamaha. Kila jumapili mbaibiwa makanisani eti ndio sadaka ya bwana, sijui bwana gani huyo padri au nani? Bado eti mna mitume na manabii kama akina Mwamposa wanaozimung'unyua pesa zenu kutoka kwenu wajinga nyie. Na mkitaka kujua mnaibiwa muangalieni Masanja alivyo na mkwanja haramu wa sadaka zenu nyie mandondocha. Mitume iliisha muda wake zama nyingi zilizopita na MUHAMMAD (s.w.a.) ndie mtume pekee wa mwisho. Mmefumbwa macho hamuoni na hao majambazi wanajifanya kuwa na makanisa ya ufufuo na uzima kudadadeki. STUKENI MAPEMA.
Hata utumwa haukufanywa Zanzibar kama inavyoelezwa duniani na kk historia kwa sababu hizi moja waliofika watumwa Marekani salama ni 150 mil idadi hizi ya watu tulikuwa hatuna Afrika mashariki na pia km hawa wamechukuliwa hapa haiwezekani wakafika salama Marekani kwa msafara mrefu wazunguke cape town au wapitie suez canal. Pili utumwa hutakiwa kwa sababu mbili ina unataka vibarua kwenye viwanda na kujenga reli au una mashamba makubwa arabuni kuna jangwa hakuna kilimo hakuna viwanda Lon utumwa umetokea Afrika magharibi na wanaohusika ni kanisa katoliki Wareno wa Hispania wataliana na wafaransa
Asalam alaykum,nauliza mashehe ikiwa makanisa yote na Mali za makanisa zinarudishwa au zimerudishwa nabado wakiristu wanaendelea kudai vilivyo vyao,Swali ni jee kunahatua gani zinazofanywa na nyinyi viongozi wetu kudai majengo yetu yote?hususani kushirikiana na nguvu ya umat islamia?
Nyerere katuharibu kisaikolojia maana hata mashuleni hatukufundishwa ukweli huu tulipewa historia ya uwongo na hadi leo hatujui ukweli kuhusu tanganyika ni aibu tupu nchi gani wanadharau true history yaani ni kweli kabisa ukweli maisha utanyooka tu.
@@user13375waafrika wenyewe ndio walio wakaribisha na dini kuipokea sio km wakiristo kujenga makanisa kwenye milima ili waonekane na kuwalaghai kwa vitu