Mm tunakutegemea Sana malizahayo watoto wakiliya ujuwe kunajambo halihi ya fd machine ikomee viwandani na bandarini wananchi tukadiriwe sababu hatukusoma tumeshidwa na hiyo bishara hakuna nchi inayo jegwa kwa siku moja
Enzi za magufuri mgambo walichukua ndizi kule mwanza mgambo akafutiwa cheti chake cha mgambo yale mambo saasaiv hakuna,tena unweza kukuta yule mgambo amesharudi kuwa mgambo tena yaan we acha tuu
Harafu unakuta kiongozi anakwambia anafanya kazi kwa bidii kumbe wizi tu, hivi kweli magufuli angekuwepo huo uchafu ungeonekana kweli? At the end watu wanasema mama anaupiga mwingi dah