Тёмный
No video :(

BILA UOGA MFANYA BIASHARA AWACHANA MAWAZIRI, SIOGOPI MTU YOYOTE, TRA NI KICHOMI 

Mbengo Tv
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 39 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

16 май 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 23   
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 Год назад
Majaliwa ww ni bonge la kiongozi. Mungu pekee akutunze kwa ajili ya nchi yetu. Much respect Papa. Natamani sana kufanya kazi na wewe mkuu
@hamisimsosi6237
@hamisimsosi6237 Год назад
Daa huyu dada amenigusa hapo kwa wachina kweli Hawa jamaa wameipandisha Sana kkoo ni ukweri usiopingika♥️♥️♥️😭😭😭
@mangashajunior242
@mangashajunior242 Год назад
Naona Majaliwa rais ajae baada ya mama samia kumaliza muda wake...
@summanelson5523
@summanelson5523 Год назад
Kodi ni kubwa sana kwenye magari. Na sisi waturuhusu tumiliki vitu. Tunajichanga ndiyo tunaweza kununua!!! Safi sana.
@user-zd4sv5pk6q
@user-zd4sv5pk6q Год назад
Asante dada kwa sauti yako wanawake wanapuuziwaga wakitoa lalamiko lakini jamani dada ameongea kea uchungu sana
@ramadhanikalungwana8377
@ramadhanikalungwana8377 Год назад
Jamani kweli maendeleo tunataka,ila naona Kuna shida!!! Heb nunua umeme wa tsh 20,000. Kisha uangalie unakatwa shs ngapi!!!
@omarisaid7318
@omarisaid7318 Год назад
Mm tunakutegemea Sana malizahayo watoto wakiliya ujuwe kunajambo halihi ya fd machine ikomee viwandani na bandarini wananchi tukadiriwe sababu hatukusoma tumeshidwa na hiyo bishara hakuna nchi inayo jegwa kwa siku moja
@masaimollel2525
@masaimollel2525 Год назад
Mwigulu anacheka anaona mnapoteza mda wenu na nguvu bure mwisho wa siku anarudi ofisini,kuendelea na uporaji wake kupitia vijana wake.
@shizoshop2469
@shizoshop2469 Год назад
Ndiyo nikishalipa kodi miaka 20 harafu nikifilisika ni sawa na mstaafu kwanini na sisi tusipate kiinua mgongo ?
@farajiissa560
@farajiissa560 Год назад
Tatizo remote iko msoga
@mangashajunior242
@mangashajunior242 Год назад
Wizi wizi...tumechoka...
@bettymeshack7759
@bettymeshack7759 Год назад
Na Sisi waturuhusu kumiliki vitu😂
@mangashajunior242
@mangashajunior242 Год назад
Kwetu kuna afya mazingira levy fire leseni ya biashara na nyingine nyingi...
@masaimollel2525
@masaimollel2525 Год назад
Enzi za magufuri mgambo walichukua ndizi kule mwanza mgambo akafutiwa cheti chake cha mgambo yale mambo saasaiv hakuna,tena unweza kukuta yule mgambo amesharudi kuwa mgambo tena yaan we acha tuu
@hassanosman3824
@hassanosman3824 Год назад
Mwigulu umeshiba aachaa kazi hujui kitu umeshiba hujali ondoka huoni haya????
@victorernest7702
@victorernest7702 Год назад
Sasa kikwazo kipo wap kama kuongea ukweli mpk umnyang'aNye maiki .. ndio mnao sabisha migogoro maana kumsema mtoto wa kiongozi kosa
@oningoindungai
@oningoindungai Год назад
mama unasema ukwel
@farajiissa560
@farajiissa560 Год назад
Ameweka nne ana minya pumbu tu
@missmwayway4704
@missmwayway4704 Год назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@fatmashaibumkwpo2488
@fatmashaibumkwpo2488 Год назад
😂😂😂anakenua tu kama kapakanzwa pilipili ya meno
@farajiissa560
@farajiissa560 Год назад
@@fatmashaibumkwpo2488 kaz kubana pumbu tu hii mijamaaaa sijui ikoje
@marymgimwa
@marymgimwa Год назад
Tunaviziana kama wakoloni loooh
@DaudNgodilo
@DaudNgodilo Год назад
Harafu unakuta kiongozi anakwambia anafanya kazi kwa bidii kumbe wizi tu, hivi kweli magufuli angekuwepo huo uchafu ungeonekana kweli? At the end watu wanasema mama anaupiga mwingi dah
Далее