Тёмный

WAISLAM TUNAMFATA NABII SULEIMAN/MTU AKIPINGA HUYO HANA ELIMU//KARINI SIYO SHETANI/WATU MSOME 

ISLAAH ISLAMIC  TV
Подписаться 49 тыс.
Просмотров 3,5 тыс.
50% 1

#live #film #simba #movie #love

Опубликовано:

 

6 июн 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 54   
@alisaid1347
@alisaid1347 Месяц назад
SUBHANALLAH KWAHIYO HIZO AYA ZA SULEIMAN NA MUSA MA HARUN NDIO ZINA ISHARA YA KUWAFUATA AU KUFUGA MAJINI !!??MCHE ALLAH WE JAAHIL ,NABII SULEIMAN TUNAMUAMINI SIO KUMFUATA , NABII YAQOUB ALIOA NDUGU WAWILI TUMBO MOJA BABA NA MAMA WEWE UNARUHUSIWA KUOA NDUGU WAWILI NA UKAISHI NAO WOTE!!!??
@joshuajohn8533
@joshuajohn8533 Месяц назад
Nawaambia iliyo kweli Uislamu na uganga hauwezi utenganisha, Uislamu na Majini (mapepo) hauwezi kuutenganisha, Uslamu na Ushirikina hauwezi utenganisha. Njoo kwa Yesu mpate uzima wa milele bure mtadanganyana na kuzidi kudanywa. Andiko hili mtalikumbuka saa ile ukifa ni kuzimu moja kwa moja
@yussuphsultan1400
@yussuphsultan1400 Месяц назад
Kwani wale wachungaji na yale mafuta ni nini kwani
@joshuajohn8533
@joshuajohn8533 28 дней назад
@@yussuphsultan1400 mafuta na chumvi Ni uganga na uchawi njoo kwa Yesu ataondoa hayo
@joshuajohn8533
@joshuajohn8533 28 дней назад
@@binarytanzania nakuuliza swali wewe hujawahi mfiara mwanamke? Ongea kweli
@innocentndikumana8928
@innocentndikumana8928 Месяц назад
mashallah allah mtukufu ameumba binadamu na majini rengo yakumuomba mwenyezi mungu majini wema niwa islam na majini mabaya niwashirikina
@user-bh5cu2jy6c
@user-bh5cu2jy6c Месяц назад
Shekh mbogo hebu tofautisha kati ya kumfuata na ukumbusho juu ya manabii waliopita sisi waislamu shida hatusomi tunajenga hoja kutetea uovu bt sisi tunatakiwa tumfate muhammad tu 7:157 qur an
@bakariabdallah836
@bakariabdallah836 Месяц назад
Shekh hujui kitu yaan hujui wallah
@hafidhimuadham9976
@hafidhimuadham9976 Месяц назад
Shekh mbogo mnatoa elimu kubwa sana elimu hiyo watu wachache tu ndio tuliopewa uwezo huwo duniani asilimia 30) tu dunia nzima sema pokea yote utakayopewa nawaumini
@Hamis-ks1sy
@Hamis-ks1sy Месяц назад
Ukimaliza tuambie wapi tunamfuata yeye Suleiman kupitia pete.
@Abdulrahmanhassan18
@Abdulrahmanhassan18 Месяц назад
Endelea kutoa maarifa maana mambugila wapo wengi, pia tufundisheni Dua tofauti tofauti na nyiradi na idadi maalum kwenye kuhomba haja fulani Shukran. Mimi ndio yule jinni niliyekuwa nakupigia simu 😅😅😅
@bakariabdallah836
@bakariabdallah836 Месяц назад
Kutaja jina la mungu tu ni mtihan na lamtume shekh hanis huyu n wa wap
@user-bh5cu2jy6c
@user-bh5cu2jy6c Месяц назад
Kwa kifupi shek mbogo na sulle daah leo mnatetea majin kwel mazinge kapambana na dini mda mrefu lakn hakuingia kwenye udhalili huu
@issaabdallah1205
@issaabdallah1205 Месяц назад
Huwezi kumtetea mchawi ispokuwa nawe ni miongoni mwao
@user-ed1cf9nq5w
@user-ed1cf9nq5w Месяц назад
Sisi hatupo kwenye sheria ya sulaimani bali sheria ya muhammad , kwaiyo wa kufata ni muhammad tu.
@IdrissaMoussa-tx7jy
@IdrissaMoussa-tx7jy Месяц назад
Mbogo uwo niwushilikina nakwambia ukweli
@farishfarish258
@farishfarish258 Месяц назад
Mbogo huna elimu
@Dafetty
@Dafetty Месяц назад
Sio karim ni karina😊
@ayubutwalbu6594
@ayubutwalbu6594 Месяц назад
Mbogo wanae kupinga hawasomi ila wamekalia sifa tu elimu zinamafungu mengi
@joshuajohn8533
@joshuajohn8533 Месяц назад
Sisi uku kwa Yesu hayo majini ndio tunayaita mapepo tunayakemea na kupiga kelele kuwatoka watu. Hakuna jini mbaya na mwema hapa wote ni waovu mmemkata Bwana wa uzima wa milele. Neno la Mungu linasema katika 2wakorinto 11:14 Shetani ana uwezo wa gujigeuza na kuwa mfano wa malaika wa nuru
@yussuphsultan1400
@yussuphsultan1400 Месяц назад
Na yesu aliwatoa pepo wabaya tu
@joshuajohn8533
@joshuajohn8533 28 дней назад
@@yussuphsultan1400 Hakuna pepo au jini zuri mnadanganyana tu pepo Ni pepo
@MirajiIssa-iz3jv
@MirajiIssa-iz3jv Месяц назад
Wewe unaoyesha elimu huna ila unataka kuulaghai umma kusoma aya inayomtaja suleymani sio kumfua lejea maana ya aya hiyo ndo uelewe inamaanisha nini
@alihaidary4143
@alihaidary4143 Месяц назад
Sura yako kama firauni
@hawa6052
@hawa6052 Месяц назад
Mnaonaje tukujikita kusoma Tawhid jamani
@KhalfanMakota
@KhalfanMakota Месяц назад
We jamaa mjinga cjawahi yaan ushahid wa kumfuata nabii suleiman ndo umetoa haya hyo hv umeilewa ....kaka aya hyo hakuna inapoonyesha kumfuata suleyman aya imenukuu vile masheitwan walivyofuata yale ya uongo kwenye ufalme ya suleiman
@rahimumustafa587
@rahimumustafa587 Месяц назад
Shehe mbogo tofautsha kufuata na nakuamini labda nikusaidie kila nabii kaja kwazama zake nadharia nadharia zangu kwahy manabii nikuwaamin syo kufuat lakini lapil kutajwa Seleman kati ruky sy kumfuata, mbona frauni naye unaofuata?
@kalamamuller-qe1yd
@kalamamuller-qe1yd Месяц назад
Wewe upuuz ulisema yakwamba achana na hawa masheikh mbugila mbugila loe unakataa mpuuzi kwel huyu umesaau kwamba ile clip bado tunayo
@KhalfanMakota
@KhalfanMakota Месяц назад
We kaka kweli elim huna ..aya iyo haionyesh kumfuata suleiman hapo katika umma huu...mitume yote iliyopita tunaiamin kwa ibrahim tulivyoambiwa tumfuate maan yake nini ...unafaham soma kaka acha ujinga huo
@user-tr3vt7nf2p
@user-tr3vt7nf2p Месяц назад
Dr sule mimi nakulalamikia sana sheikh wng siitaji utajiri mimi nahitaji tiba
@khamisfarouk9493
@khamisfarouk9493 Месяц назад
Assalam alaykum mm nna matukio mengi yalomtokea mtu nnaemjua matukio ya ajabu na skutaka kuyahadithia ila nikimpta sheikh Walid au Dr Sule ntamhadithia
@nassleydady5783
@nassleydady5783 Месяц назад
Shesh. Sema munafata uo uganga t muctuchangany waganga wakubwa
@Hamis-ks1sy
@Hamis-ks1sy Месяц назад
Kumbe wewe ni mpumbavu kwahiyo kusoma hiyo aya ndio kufuata yeye?
@AnnEsteban-sb8ln
@AnnEsteban-sb8ln 27 дней назад
Mfuate shekhe shaf akufundishe ww bado unajichanganya tu
@user13375
@user13375 Месяц назад
Kwani we jin😂😂
@user-ed1cf9nq5w
@user-ed1cf9nq5w Месяц назад
Huyu ushekh kaupata wapi maana ni juha hajielewi
@KhalfanMakota
@KhalfanMakota Месяц назад
Sheikh ili jinga sana ...sasa kuna mithani gani kati haya aya alieitoa na kumfuata suleyman...na kuisoma kwenye ruqia ndo imesema kuwa tumfuate suleiman😂😂
@kalamamuller-qe1yd
@kalamamuller-qe1yd Месяц назад
I can't waste ma time 2 listen some nosense person like this
@issaabdallah1205
@issaabdallah1205 Месяц назад
Hili halijui dini ujinga umekuzonga kusoma aya iliomtaj sulimani sio kumfata kile ni tuu Haya ndo matatizo yakujifunza uganga wakaacha kunifunza dini
@KhalfanMakota
@KhalfanMakota Месяц назад
Jinga ili nikajua linatoa ushuhuda wa kumfuata nabii suleiman ...lilichofanya eti ni kunukuu aya ya iliyomtaja nabii suleyman kweny suratil baqra sasa ndo nin ....ndo kuna mahali pa kumfuata hapo...afu hao waliofuata uo upotefu ni makuhani wa zama hz ambao wananasibisha uchaw kwa uwez wa nabii suleiman
@omaar5693
@omaar5693 Месяц назад
tobaa,, Kwani hizo aya zinatoka katika kitabu cha suleimani? sasa teamfuata au twamsoma,,, na musa na haruni... umemsahau furauni nae ametajwa maranyingi twamfuata ama?... sipingi ila iyo hoja si ya kielimu...
@kalamamuller-qe1yd
@kalamamuller-qe1yd Месяц назад
Mbugila mbugila hilineno maana yake ni kuto kujua au maamuma au ni bwege.sasa hii ni dharau na kibuli huyu mpuuzi kwel kwel
@issaabdallah1205
@issaabdallah1205 Месяц назад
Huwezi kutumia majini ispokuwa uwe mchawi
@user-kg9fn1ph9d
@user-kg9fn1ph9d Месяц назад
nabi Suleiman aliyetumia majini alikua mchawi?
@mobutu3884
@mobutu3884 Месяц назад
Hao walimu wenu yani hivyo wanavyowachanganya na vitabu vyenu wenyewe ndivyo hivyo wanvyowachanganyia maandiko ya Biblia, kama wanapishana kwenye maandiko yenu wenyewe ndio wataielewa Biblia?😂 ni msiba mzito. Watawapoteza sana , ndio maana mnaambiwa someni wenyewe vitabu mtaelewa hao wote wapo kimaslahi tu hakuna mwalimu wa kiislamu anaeijua Biblia bali ni janjajanja tu kama hizo.
@RamadhaniLukambuzi
@RamadhaniLukambuzi Месяц назад
Wewe hauna tafiti katika dini yako ya Ukristo,nyie Wenyewe hamfanyi ubada moja na kwenu marumbano yapo,Roman hawezi kusali KKT na Bibilia zenu zinatofautiana,Kwahiyo popote pale kutofautiana kupo kulingana na uelewa wa vichwa vya watu,mfano katika Nyie Wakristo wapo wanaosema Yesu sio Mungu na Wengine wanaamini Yesu ni Mungu,Wapo wanokula Pasaka na Wengine hawali pasaka,Wapo ambao hawasali jumapili na wapo wanao sali jumamosi,wapo wanaosema Mungu ni nafsi tatu na wengine wanapingana na hilo!Waislamu wote duniani tunamuamini Mungu mmoja na Quran moja hata kama yapo madhehebu mengi lakini hakuna anayepinga mambo muhimu!
@RamadhaniLukambuzi
@RamadhaniLukambuzi Месяц назад
Kuna mambo katika Uislamu ni ya ziada,mtu akifanya anapata malipo na hasipo lifanya hapati dhambi;kwahiyo Uislamu ni elimu pana sana!
@mobutu3884
@mobutu3884 Месяц назад
@@RamadhaniLukambuzi kwani kuna dini inaamini kuna Mungu zaidi ya mmoja?
@RamadhaniLukambuzi
@RamadhaniLukambuzi Месяц назад
@@mobutu3884 Ndiyo ipo inaamini katika Mungu wengi!
@nomar3708
@nomar3708 Месяц назад
​@@mobutu3884wakristo munaamini trinity 3 in 1. Miungu mitatu . Biblia zipo 63 na sio maneno ya yesu ila Paulo ndio amending. Kwenye hizo biblia hamna hata mara moja yesu amesema mimi mungu niabuduni. Ma pastor wenu wote wanashindwa kuonyesha hilo. Yesu mwenyewe kamsujudia mungu kwenye biblia. Yesu ni mtume wa mungu kama moses( musa) joseph( yusuf) na mitume wengine kabla yake na baada yake. Nyie wakristo munamuabudu lakini yesu sio mungu wala hana sofa za kuwa mungu.
Далее
How to Measure ANY Cliffs Height with a Rock
00:46
DR.SULLE DALILI 67 ZA HASAD,UCHAWI,
49:41
Просмотров 1,1 тыс.
How to Measure ANY Cliffs Height with a Rock
00:46