SUBHANALLAH KWAHIYO HIZO AYA ZA SULEIMAN NA MUSA MA HARUN NDIO ZINA ISHARA YA KUWAFUATA AU KUFUGA MAJINI !!??MCHE ALLAH WE JAAHIL ,NABII SULEIMAN TUNAMUAMINI SIO KUMFUATA , NABII YAQOUB ALIOA NDUGU WAWILI TUMBO MOJA BABA NA MAMA WEWE UNARUHUSIWA KUOA NDUGU WAWILI NA UKAISHI NAO WOTE!!!??
Nawaambia iliyo kweli Uislamu na uganga hauwezi utenganisha, Uislamu na Majini (mapepo) hauwezi kuutenganisha, Uslamu na Ushirikina hauwezi utenganisha. Njoo kwa Yesu mpate uzima wa milele bure mtadanganyana na kuzidi kudanywa. Andiko hili mtalikumbuka saa ile ukifa ni kuzimu moja kwa moja
Shekh mbogo hebu tofautisha kati ya kumfuata na ukumbusho juu ya manabii waliopita sisi waislamu shida hatusomi tunajenga hoja kutetea uovu bt sisi tunatakiwa tumfate muhammad tu 7:157 qur an
Shekh mbogo mnatoa elimu kubwa sana elimu hiyo watu wachache tu ndio tuliopewa uwezo huwo duniani asilimia 30) tu dunia nzima sema pokea yote utakayopewa nawaumini
Endelea kutoa maarifa maana mambugila wapo wengi, pia tufundisheni Dua tofauti tofauti na nyiradi na idadi maalum kwenye kuhomba haja fulani Shukran. Mimi ndio yule jinni niliyekuwa nakupigia simu 😅😅😅
Sisi uku kwa Yesu hayo majini ndio tunayaita mapepo tunayakemea na kupiga kelele kuwatoka watu. Hakuna jini mbaya na mwema hapa wote ni waovu mmemkata Bwana wa uzima wa milele. Neno la Mungu linasema katika 2wakorinto 11:14 Shetani ana uwezo wa gujigeuza na kuwa mfano wa malaika wa nuru
We jamaa mjinga cjawahi yaan ushahid wa kumfuata nabii suleiman ndo umetoa haya hyo hv umeilewa ....kaka aya hyo hakuna inapoonyesha kumfuata suleyman aya imenukuu vile masheitwan walivyofuata yale ya uongo kwenye ufalme ya suleiman
We kaka kweli elim huna ..aya iyo haionyesh kumfuata suleiman hapo katika umma huu...mitume yote iliyopita tunaiamin kwa ibrahim tulivyoambiwa tumfuate maan yake nini ...unafaham soma kaka acha ujinga huo
Assalam alaykum mm nna matukio mengi yalomtokea mtu nnaemjua matukio ya ajabu na skutaka kuyahadithia ila nikimpta sheikh Walid au Dr Sule ntamhadithia
Sheikh ili jinga sana ...sasa kuna mithani gani kati haya aya alieitoa na kumfuata suleyman...na kuisoma kwenye ruqia ndo imesema kuwa tumfuate suleiman😂😂
Jinga ili nikajua linatoa ushuhuda wa kumfuata nabii suleiman ...lilichofanya eti ni kunukuu aya ya iliyomtaja nabii suleyman kweny suratil baqra sasa ndo nin ....ndo kuna mahali pa kumfuata hapo...afu hao waliofuata uo upotefu ni makuhani wa zama hz ambao wananasibisha uchaw kwa uwez wa nabii suleiman
tobaa,, Kwani hizo aya zinatoka katika kitabu cha suleimani? sasa teamfuata au twamsoma,,, na musa na haruni... umemsahau furauni nae ametajwa maranyingi twamfuata ama?... sipingi ila iyo hoja si ya kielimu...
Hao walimu wenu yani hivyo wanavyowachanganya na vitabu vyenu wenyewe ndivyo hivyo wanvyowachanganyia maandiko ya Biblia, kama wanapishana kwenye maandiko yenu wenyewe ndio wataielewa Biblia?😂 ni msiba mzito. Watawapoteza sana , ndio maana mnaambiwa someni wenyewe vitabu mtaelewa hao wote wapo kimaslahi tu hakuna mwalimu wa kiislamu anaeijua Biblia bali ni janjajanja tu kama hizo.
Wewe hauna tafiti katika dini yako ya Ukristo,nyie Wenyewe hamfanyi ubada moja na kwenu marumbano yapo,Roman hawezi kusali KKT na Bibilia zenu zinatofautiana,Kwahiyo popote pale kutofautiana kupo kulingana na uelewa wa vichwa vya watu,mfano katika Nyie Wakristo wapo wanaosema Yesu sio Mungu na Wengine wanaamini Yesu ni Mungu,Wapo wanokula Pasaka na Wengine hawali pasaka,Wapo ambao hawasali jumapili na wapo wanao sali jumamosi,wapo wanaosema Mungu ni nafsi tatu na wengine wanapingana na hilo!Waislamu wote duniani tunamuamini Mungu mmoja na Quran moja hata kama yapo madhehebu mengi lakini hakuna anayepinga mambo muhimu!
@@mobutu3884wakristo munaamini trinity 3 in 1. Miungu mitatu . Biblia zipo 63 na sio maneno ya yesu ila Paulo ndio amending. Kwenye hizo biblia hamna hata mara moja yesu amesema mimi mungu niabuduni. Ma pastor wenu wote wanashindwa kuonyesha hilo. Yesu mwenyewe kamsujudia mungu kwenye biblia. Yesu ni mtume wa mungu kama moses( musa) joseph( yusuf) na mitume wengine kabla yake na baada yake. Nyie wakristo munamuabudu lakini yesu sio mungu wala hana sofa za kuwa mungu.