Mungu ndiye aliyekosea kumuumba akiwa na mdomo wa kuongea. Ajabu Mungu kajificha binadamu hatuwezi kukutana naye kumuhoji kwa nini aliumba mdomo wa fulani kuongea au kutoa maoni kwenye vitu serious. Mwenyewe mamlaka juu ya wenye mwili ni Mungu tu. Vyeo vyetu, utajiri wetu,uzuri wetu. Vyote ubatili chini ya jua. Tungekuwa serious kama vile, huo uzembe usinge tokea.