Daaaah duniani watu wanabadilika mwigulu unaongea busara kiasi hicho mungu yu hai kwelikweli ktk hili uko vizuri sana mwigulu mpina hana maana kabisa hafai hata kidogo tena mpina ni njinga😅😅😅
tangu nimekujuwa Mwigulu,leo umekuwa na uluma na kuongea mambo yanayowatesa watu. kwa ustawi wa sekta binafsi,kuna kodi hosha mabango,Hotell levy asilmia kumi,na kodi ya mapato TRA na zingine nyingi tunaumia,kufunga biashala sio jambo la kiungwana,kwa ustawi wa taifa
Mzeee mpina yuko vizuri wajubwa huwa hanfungi zaid wanaonewa wadogo ivo maduka kwa ambaye hafati utaratib afunge mfano unauza bila lesseni,unabidhaa mbovu au unaibia wateja kwanini usifungiweeeeeee??????? Hizo ni siasa mpina namuaminia anajua anachofanya
Huyu mpina mie naona kama anatapatapa na ni dikteta wewe baada ya kutetea wananchi waliokuwrka hapo ulipo leo unataka uwakandamize hao waliokuweka hapo unakinzana na raisi wakati raisi anataka wananchi wake wapate maendeleo leo wewe kimbunge kimoja tuu unasema eti wafungiwe biashara zao au unataka like kila kinachojadiliwa wewe ndio wa kwanza kushadadia yatakushinda
MPINA KICHAA KAMA YUPO NAMNA IYO AFAI KABISA KWAIYO PESA ZAKE ANAZANI NASISI TUNAZO FALA SANA UYO MZEE Kwan yeye hajui sisi wananch Ndiyo tunamlipa mshaara Kwenye hiko kiti alicho kalia!? Kodi zetu uku chin tuna buluzwa Hili yeye hapate kulipwa
Kama kodi ndio nguvu ya maendeleo sasa wasiolipa mnawafanyaje .Na msije mkasema mmebinafsisha bandari kwa sababu hii.Sheria ya nchi ikoje kwa wasiolipa?
Mwiguru umefeli sana maana sheria za nchi haziwezi kuvunjwa hivyo kwenye nyavu halamu mpaka sasa zinachomwa, hivyo jibu hoja za mbunge mpina na Acha kujificha kwenye mgongo wa raisi Hivyo kama raisi anasema wewe kazi yako ni ipi Rais wa Tanzania fukuza huyu waziri wa fedha ameshindwa kujibu hoja za wabunge na kukushauri
Tulia mwenzio afundishwe ukuzaji wa private sector as process. Sio kuchoma vifaranga, kuchoma nyavu, kufunga viwanda, mara kuzuia basi lenye samaki for almost a year. Kichwa Cha panzi
Utafikir leo ndoo kateuliwa leo uwazir kumbe hata huko nyuma alikuwa waziri inajiuliza kipindi kile wewe kama waziri ulikuwa unamsaidia nini Kama mchumi??? Usomi wetu hautusaidiiii
kila siku Mpina nipo upande wako ila Leo Mpina I'm sorry sikuungi mkono kwenye hili lakufunga biashara..kufunga biashara sio solution najua kila Jambo linaongeleka..kila kitu kinaongeleka na unawez kuongea na mfanya biashara na mkafika katika solutions ..yes Kuna penalties .. njia ni nyingi za kutatua matatizo na mfanyabiashara..Labda iwe biashara haramu ambayo itakuw ni kosa kisheria..Pia Mpina ni kiongozi mzuri sana ila kitu kimoja tuu unanikwaza kwamba wee kila kitu unapinga hii aileti picha nzuri kwako sababu itaonekana ni mtu mwenye chuki baina yako na viongozi flan ..by the way hoja zako ni nzuri na tuko na wewe mheshimiw mpina na wewe ni kiongozi mzuri kwa kuwa upo na wananchi
Mpina unatusemea Asante yeye alisema tuhamie Burundi daaaah, Asante serkali kwakuwa hamjaruhusu watu kumiliki bunduki hovyohovyo, naona kipindi cha maamuzi ya Hamza yamefka kwenye hii nchi