Siungi mkono hilo tukio la kutekwa lakin pia swali nikwamba je kama mulikuwa hamvitaki hivyo vitenge kulikuwa hakuna ulazima wa kuvichukuwa naomba kuwasilisha🙏🙏🙏🙏
Kumbe ulichoma vitenge mama yangu daah pole sana ,lakini siku ingine uache ukorofi kila jambo unalolifanya duniani hua lina malipo yake ,sasa siku ingine fanya siasa tuu kwa umakini achana na maswala yakuchoma vitenge vya watu,pole sana kwa tukio hilo la kutisha.
Kumbe mlichoma vitenge vya mama. Basi umepata mshahara wa matendo yako. Nchi hii rais ni mmoja na hatutafurahia adhalilishwe na wanasiasa mnaotaka umaarufu wa udhalilishaji
@@devothaignatius5256 Tiwachague wanaovunja amani? Kichoma kitenge mlichopewa na raisi wetu tena kwa kashfa kabisa ni sawa? Mlitafuta kiki mnaipata KILENI CHUMA HICHO
Nyie chomeni kanga za mama kisha mjiteke mkitaka kubadilisha fikra za watanzania juu chama tawala...Mtawapata wapumbavu ila wenyewe D 5 tumeshaelewa....strategy kali za kumpindua Raisi
Raisi anajuwa wanao fanya hii unazani dugu mana wanajitabulisha palis tz kuna vima 3 ila vyama viwili vinaubizani mno wana ccm chatema wanao onewa nichadem
Mimi sio shabiki wa viongozi Ila nanyie acheni dharau kidogo kuchoma hivyo vitenge ndiyo nini Sasa hata ungelikua wewe uchomewe vitenge vyenye picha yako ingelikuaje ?
Nilisema mm hawa hili tukio la kuchoma kanga litawacost haya kz imeanza kwake Subhannallah mama wa watu mnaenda mpiga mtasema mwizi kisha kulazimisha awapende tu
@@kamarhelo Ndy umteke km kafanya kosa c wanemkampeleka police wakampa kesi sasa nn kutaka kumtoa roho kisa kaka ya CCM acheni usenge wenu wakulazimisha watu ujinga
@@OfficialA83640 nikwamba hujanielewa jambo zito kama hilo yeye mtoto wa kike kalibu kalibeba la kazi gani kama sio Kutaka kuacha watoto wake wahangaike duniani angeuza zake mchicha ale ashibe alale lakin kujingiza kwenye siasa ni matayiz matup na akiona kilicho mpata yule kijana alie choma picha na yeye Tena kaenda kuchoma vitenge ili iweje
Uyu aliokotwa na boda kisarawe akaperekwa mwanyamala hospitali mbona mbali sana kisarawe ni wilaya ya ilala alitakiwa aende amana na alipokerewa vp hospital bila PF3 me aya mambo ya siasa apana siyataki kabsa
Sasa vitenge tu ndo mumfanyie mama wa watu ujinga wakumvua nguo.....acheni ujinga polisi ama watu wengine wanaofanya unyama na nynyi pia mmeumbwa na mtapata matatizo pia...
wanakutuma ufanye upuuzi kisha wanakuteka wenyewe ili baadae waseme serikali wamekuteka na bado tutaona mengi sana tu na viele ele vyenu hivo unaesabu idadi ya watu 6 unshindwa kuhifazi namba za gari
Pigania dini mama achana na siasa na mdomo mwingi...Mungu haijui siasa.Chadema mnauwana wennyewe mkisingizingizia CCM .Tunaelekea uchaguzi mkuu wapo watakaotumia mbinu ya aina yoyote hata ikiwezekana kuuwa kwa maslahi yao lengo likiwa ni kuwabadilisha watanzania mawazo na fikra waone chama tawala ni kibaya. Wajanja tumesanuka.Nyie chomeni kanga Za mama alafu jitekeni wenyewe ikiwezekana muuwane kabisaaa
Aliyepigika hata anapoongea untamjua tu, but huyu mama anaongea kwa uchangamfu hivi mmmh ebu mwangalieni vizur then futa picha ya mtu mwenye maumivu inshort huyu mama anacheza filamu.
Hv nyie mnaosema hy mama ni muongo inamaana hamuon hy madamu yalivyoivilia mwilin 😢 mtu mzima kama hy ajitengenezee tukio ili iweje inamaana kajipiga yeye hyo majeraha yote daaah 😭
@@zenaycechanzinho6702 nani wa kuacha mimi au wanaojinafikisha kwenye salamu mbilimbili. KUMBE BWANA YESU NI WA KUSIFIWA HATA NA WAISLAM HWOYOOOOOOOO PIGA KELELEEEEEEEEE
Tumefikia pabaya,tutamwamini Nani?maana hata Police hatuwaamini tena, hivi tunaelekea wapi?kwa kuchoma picha Tu make kuua MTU?kwa nini mlikubali VYAMA VINGI? Rekebisheni basi tubaki na chama kimoja. Hii ni aibu kwa Taifa hili. Inasikitisha Sana.
Kwann hukupiga kelele na mchana wote huo ili wananchi wajae. Hii habari inaukakasi yani mama ulivyo na mdomo ww ukaacha kupiga kelele na hizo nguo usingeenda kulia porini ungevulia hapo mchana kweupe watu wajae au walikuloga
@@esthermichael4653 swala sio kunikuta huyu mama sio mshamba wa polisi na keshajua ukitekwa nn kinafata wenyewe ndo wanatwambia tusikubali kutekwa kijinga tupige kelele tujaze watu kwaiyo wanatujazaga ujinga au
sasa hapo polisi watachunguza nini , hawaoni hata aibu. hayo ni matumizi mabaya sana ya fedha za wananchi, yaani mafuta yanayatokana na kodi yetu ndiyo wanayotumia kututekeya du ila wanatuona maboya kweli, lakini ipo siku yao kwani malipo ni hapa hapa, tuombe mungu
Tunahitaji mabadiliko kwenye hii nchi yetu, jamani watanzania wenzangu mwaka ujao tusifanye makosa, tuhimize jamii zetu tuonyeshe jamii zetu uovu huu wanaofanyiwa wenzetu ili mwakani tusiupe nafasi tena, tuhimizane kupiga kura