Тёмный

WAZIRI SILAA AMALIZA MGOGORO WA MUHINDI NA MWENYE NYUMBA MSASANI | NILIPATA MATATIZO YA KIAFYA 

RAI TV
Подписаться 89 тыс.
Просмотров 18 тыс.
50% 1

Развлечения

Опубликовано:

 

9 июн 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 28   
@emmanuelbernard9552
@emmanuelbernard9552 2 месяца назад
Tuna Waziri mmoja tu,Jerry Slaa .Tuna mbuge mmoja tu,ambaye ni Luhaga Mpina, na tuna Mkuu wa Mkoa mmoja tu,ambaye Paul Makonda.
@emanuelleopod3949
@emanuelleopod3949 2 месяца назад
Naaam naaam
@susananyasani6526
@susananyasani6526 2 месяца назад
Waziri Silaa anafanya kazi nzuri katika maamusi ya haki kwa Wananchi wote asante
@jtheophil5499
@jtheophil5499 2 месяца назад
Nacheka peke yangu.sasa mahakamani mahakimu wana kazi gani😂😂.Safi sana mh.Kichwani uko vizuri ukiongozwa na busara
@nimuhimusana
@nimuhimusana 2 месяца назад
I wish mbali na Mawaziri, pia Makatibu Wakuu wangekuwa wanatenga muda kwa ajili ya kuwasikiliza wananchi wanaowahusu moja kwa moja hasahasa Katibu Mkuu Utumishi.
@sabikamanji2521
@sabikamanji2521 2 месяца назад
Mwenyezi Mungu Akulinde Kipenzi chetu ila nakuomba waziri wetu Uje mwanza plse
@Boniphaceshayo5
@Boniphaceshayo5 2 месяца назад
Naomba kujua mawaziri wengine wanafanya nini kwenye wizara zao
@user-fr7jj1bo7y
@user-fr7jj1bo7y 2 месяца назад
tofauti yao kubwa silaa ni mtu wa kamera vitu hivi vingi bado viko mahakamani hizi ni show tu
@charlesmwambinga4355
@charlesmwambinga4355 2 месяца назад
​@@user-fr7jj1bo7y hesabu katatua kero Ngapi..? Jamaa hapumziki kama unaweza nenda jaribu tu hata kutatua mgogoro kwenye familia yako ndo utaelewa maana ya kazi anayofanya
@Boniphaceshayo5
@Boniphaceshayo5 2 месяца назад
@@user-fr7jj1bo7y kumbe
@GodfreyOsward
@GodfreyOsward 2 месяца назад
​@@user-fr7jj1bo7yMwanadamu atakusifu, kwa kiwango kile ambacho na yeye ana fikria kufanya au ana uwezo nako, pale unamzidi ataponda.
@hanspop6961
@hanspop6961 2 месяца назад
Dogo Namkubali sana Mungu Amueke
@ikulunimahalipatakatifu7642
@ikulunimahalipatakatifu7642 2 месяца назад
VIJANA SAFI SANA MUSIMWANGUSHE MAMA, PAMBANA NA MAJIZI .. HAKI SAWA KWA WOTE.
@andrewmallya5182
@andrewmallya5182 2 месяца назад
Hivi mawaziri wengine wanafanya hivyo kutatua migogoro kwenye wizara zao au wapo wapo tu!!?
@elizageorge2414
@elizageorge2414 2 месяца назад
Hata mimi pia nataka kujua wanafanya nini mawaziri wengine.
@MrKhatibu
@MrKhatibu 2 месяца назад
Siku nyengine akimaliza suluhisho la kesi ya mtanzania mweusi basi uandike kichwa cha habari kwa kuainisha asili yake, kikisomeka " Waziri Slaa amaliza mzozo wa ki wanja cha Mchaga au Mnyaturu au Msukuma.
@Rai_online_tv
@Rai_online_tv 2 месяца назад
Haaa haaa EASY kaka
@nsiamasawe4578
@nsiamasawe4578 2 месяца назад
Viongozi wengi wanashindwa kujiamini kama Waziri Jerry Slaa kwa kukosa uaminifu. Jerry Slaa ameridhika na mshahara wake
@emmanuelbernard9552
@emmanuelbernard9552 2 месяца назад
Slaa ni mkalimu sana tu.
@jamesjahasa3348
@jamesjahasa3348 2 месяца назад
Upele umemkuta mkunaji MUNGU mmwagie hekima zaidi huyu waziri
@rehemakanyere4188
@rehemakanyere4188 2 месяца назад
Aminaaa
@femidayahaya4882
@femidayahaya4882 2 месяца назад
Amen
@aminaosman3315
@aminaosman3315 2 месяца назад
,hasa waziri WA sheria
@Doki_media
@Doki_media 2 месяца назад
video editor akamatwe
@mohdmakame5090
@mohdmakame5090 2 месяца назад
Kaka pigakazi usisikilize ya watu ww ataukitoka mvi hiyo ndokazi yako imekubalika kwa mmungu
@karyori69
@karyori69 2 месяца назад
Viabo Ndo nini Mwanasheria?
@bundaman8542
@bundaman8542 2 месяца назад
Hapo sasa
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 2 месяца назад
Mliopost video hamna akili
Далее
Mwanzo Mwisho Lissu Afunguka Kilichotokea Mbeya
23:21
Проверил, как вам?
1:00
Просмотров 3,1 млн
Let's do it! 🎂
0:41
Просмотров 2,8 млн
Water Football #youtubeshorts #funny #football
0:52
Быть эмпатом это:
0:17
Просмотров 3,8 млн