I wish mbali na Mawaziri, pia Makatibu Wakuu wangekuwa wanatenga muda kwa ajili ya kuwasikiliza wananchi wanaowahusu moja kwa moja hasahasa Katibu Mkuu Utumishi.
@@user-fr7jj1bo7y hesabu katatua kero Ngapi..? Jamaa hapumziki kama unaweza nenda jaribu tu hata kutatua mgogoro kwenye familia yako ndo utaelewa maana ya kazi anayofanya
Siku nyengine akimaliza suluhisho la kesi ya mtanzania mweusi basi uandike kichwa cha habari kwa kuainisha asili yake, kikisomeka " Waziri Slaa amaliza mzozo wa ki wanja cha Mchaga au Mnyaturu au Msukuma.