Acheni uchawa awamu ya 5 haifananishwi na chochote wa na huyo mama yenu asie tufaa watazania masikini anajali wazungu na matajili hafai kabisa musimufananishe na magufuli
KWANI MUKISHAMUAISHA KATIKA HOSPITAL ALAFU MKACHUKUA MAELEZO YAKE NI VIZURI ZAIDI KULIKO MTU KUFALIKI UKU MNAMUOJI UDUMA YA KWANZA IWE KWANZA MENGINE YAENDELEHE BADAE 😢😢😢
Huyo Edo sijuwi kama sio Shoga, sasa unaleta mambo nyuma ipi hiyo, huyo mamaako amefanya nn la maana, serikali ya Magu mgemtupia lawama yeye, ila saivi yupo huyu mnamuekea maneno mdomon na kusafisha tawala yake, acheni chuki za kishoga hizo
alishawai kutekwa dr ulimboka alieyekua anaogoza mgomo wa madaktari alipigwa vibaya sana kung'owewa meno alikuwa na hari mbaya akakimbizwa south afrika kwa matibabu yaharaka dr ulimboka alimtuhumu bwana mmoja aliekua ikulu huyo bwana siku anatwekwa alimpigia simu dr na kumuekeza dr wakutane sehemu fulani ndio alipotekewa, ilikuwa ni Awamu ya 4 jakaya mrisho kikwete huyo edo alijui hili,? vyombo vya habari si vya kuamimini unakuta washanunuliwa wanafanya kampeni kuuchafua utawala wa hawamu ya5.
Hii nchi ni ngumu sana kwanza ina wananchi waoga pili ina vyombo vya habari vya kusifia tyuu kuliko kusema kweli tutazidi kufa cz tunaserikali ya magaidi lazima tubadilike watanzania
Dah..ningeshauri km kuna sheria inaelekeza mgonjwa mahututi apelekwe kwanza polisi badala ya hospital jamani pengine kuna haja ya kuibadilisha sasa. Yani nchi km Norway 🇳🇴 afya kwanza😮unakimbizwa hospital kwanza kabla ya yooote. Hata km ni mwizi/ mlevi/ kahaba/vyovyote, afya ya Mtu ni muhimu sn kuliko kitu chochote. Sisi tunashindwa wapi😢😢
Watanzania mjifunze kutoa huduma kwanza jamani mtu mna muona anahitaji huduma ya kupelekwa hospital kuliko mmuwahishe hospital mna muhoji sijui muite viongozi wamtaa sijui police 🚔 hivyo vyote vya nini!
Watu wetu mambo ya first aid ni 0 kabisa. Mtu analalamika kabisa kichwa kinauma, mara mbili, wao wanamhoji juu ya waliomteka. Mpaka unajiuliza, wao polisi? Au wanataka content? Yani hawakufikiria kabisa kuwa analalamika maana hayupo vizuri. Jukumu lako ukimkuta ni kuita polisi au kumpeleka kupata huduma, baas.
@@thespaniardinmesiyo kweli, kumfahamu jina na anakotoka kama anaweza kuongea ni muhimu kwani anaweza kufa ghafla na ikawa shida kwa uliyemuokota. Au hujwahi kusikia,mtu mshtakiwa kwa mauaji ambayo hakutenda. Lazima uchukue tahadhari bila kukurupuka
@@jumbeojaso5767 hiyo ni sheria au mazoea? Kama ni sheria, ni sheria ipi, maana labda mimi siifahamu lakini wewe unaifahamu. Na zaidi, ina faida gani kwako kama umejua jina halafu akakufia mikononi, then what? Nia ni yeye kuwa saved au wewe kujua jina lake? Na zaidi, inachukua muda wote huo wa video kujua jina lake tu? For real???
Mungu kazini chezea mungu wew wasiojulikana wasiojulikana ndani ya nyumba kazi kwenu wakuu je wanakamatika hao au mwenda zake Tena ??? Tuacheni uchawa ukweli pekee ndio uhulu wetu pasipo ukweli utumwa juu yetu hakuna atakaetabili usalama wake hata uwe chawa mkuu kiasi gani nawe unaweza kukinywea kikombe hicho hicho unachokifannyia uchawa !!
Badala ya kuripoti habari kama habari nyine mnaweka uchawa mpaka kufikia kuhusisha mambo haya ya utekaji na serikali. Haya basi; leo hii JPM hayupo, je kawatuma hao watekaji kutokea kaburini mwake?
Hata uko hospital wasije kwenda kummalizia au maigizo kutoka juu yakumuwekea sindano ya sumu daaaa Tanzagiza daaa watu wanateseka sana na sisi wanchi tukoo kimyaa daa mungu zidi ibariki Kenya
TANZANIA BUANAAA MUNGU WETU TULIPIZIE HILI MAANA SISI MASKINI WAKO HATUNA HATIA YOYOTE LAKINI TUNANYANYASWA NA WENYE UWEZO NAOMBA UPIGANE NAO WANAO PIGANA NA SISI 🎉🎉🎉🎉🎉😢😢😢😢
Ndugu Muandishi kuna kiongozi alidiriki kusema wataua watu na hakuchukuliwa hatua yeyote. Watu wanapotea nchi hii jamani tuacheni roho mbaya kila mtu atakufa hakuna atakaishi milele
Huyu kijana anajuwa watu walimfanya hivyo ni WA chama chake na hii ni kuona akuna ishu yeyote kwenye chama Chao ,sasa wanafanya mazingaombwe ,upigwe risasi ya Taya upone nchi hii usanii mwingi sana
Polisi ndio sababu ya yote ayo kwasababu kwa maerezo yake yeye alilazwa kituo cha polis ostabey je aliekuja kumchukuwa apo kituoni nani polisi ndio wajibu
Cha msingi hapo ni kumwahisha hosipital acheni ujinga akipona mtamhoji ndo nchi yeti ya Tanzania na jeshi la police sijui km Kuna kitakachofanyika maana sijaona wasiojulikana wakikamatwa Tanzania duh
@@shaurimtanda8285yan kak wananchi wa nchi hii bhn kitu ana uwakik nach analopoka tu ajui anaropoka ndio mana unakuta watu wanawalaumu polis ndio wanahusik lakin ajui chcht kisa kamsikia fulan kasem jamn kuwen makin aiseeh cause kitu una uwakik kaa kmy
Tana inauma sana maana wangewahi kumpeleka bila mahojiana mambo yote yangemalizwa na madaktali kimwa kimwa dunia isingejua nini kinaendelea yaani kweli inasikitisha sana
Hawaku muacha hai walimuuwa ila Mungu alimuokoa. Hawakukusudia awe hai sema risasi ilipita maeneo ambapo Mungu alimuokoa. Yani Huyo ACP anaangaika kwamba kapigwa na kitu chenye ncha kali au sio. Hayo yanahusiana vipi. Kamata watekaji ng’ombe we
Osika unajibu kwakubabaika iyi nch niyetu utekaji ni mwingi tuliko Toka uyokijana amechukuliwa kituo Cha polis kwamaongezi yake polis inajua nawala upelelez auwez kufanyika
Polisi sio rafiki kwa wananchi tena, kinachotakiwa kila mtanzania achukue tahadhari na maisha yake, ikibid kila mt atembee na silaha yyte kwa ajili ya kujilinda binafsi, ikitokea mt anataka kukukamata bila kufata utaratibu bx unamalizana nae, n bora akuue pale pale kuliko akuteke apoteze ushahidi. Uoga haufai tena vngnevyo tutazd kuuwawa kila siku.
Huyu jamaa waache mazingaombwe police awawezi kusema bila ya yy mwenyeewe kusema maana Hawa vijana hatari sana ,mm siamini na naendelea kutokuamini ,uwezi kupigwa risasi ya Taya uwe hivyo ,police fanyeni kazi yenu kiweledi huyo ataeleza ukweli
..... nchi nyingi si huru kama watu wanavyofikiria. Hat nchi mnazoambiwa ni huru, siyo huru. Na hili siyo nchi za kiafrika tu..............nchi za magharibi hii kitu ni kubwa sana.
@@Bushman000 Hapana sitetei hili suala hata kidogo ndiyo maana watanzania ni waoga, sababu mambo kama haya yanaleta hofu. Kuachwa kwa huyu kijana kwenye hifadhi ya taifa, ina maana walitaka aliwe na wanyama. Inatisha.
Uhuru wa kusifia sio kukosoa . Hakuna hatua yeyote. Awamu hii ni ya wawekezaji na matajiri. Sikiliza hotuba za wanasiasa kusikia neno watu maskini ni adimu sana. Siku hii ni wawekezaji ndio wana haki. Kwa sasa tuna philosophy ya kibebari trickle down effect ambao imefeli.
Sisi tuacheni tu na tukubali Tanzania Amani akuna kabisa pia Tanzania tunauoga mwingi Sana leo hii kwa ujinga uo uliofanyika watu waingie mtaani watafute haki aise mbona mnapata aki ndomna mm bongo mnisqau kabisa 😂 siji na adi uraia nishabadilisha zangu😂
Umeongea vizulisana kaka Oscar we nimzalendosana unakitu kizuli Moyon kuhusu hiinch matukio yotehaya atusikii kauli ya rais sijui yukowap yaan nikama anajisahau uyumama nchi ipo pabayasana tenasana
Nani alishakamatwa kwa kesi ya itekaji hapa bongo!?? Watu wengi wameshatekwa hajiawahi kujulikana mhusika mkuu wa haya matukio ila bongo dah hatareeee sana
Mmmm upandacho ndicho utavuna kwa wakati uliyefanya haya Mungu akulipe tena ulaaniwe. shetani wewe na hao mliofanya. Mungu amewachoka na atawaweka peupe, wote tutajua ibilisi wakubwa nyie. mtalipwa hapahapa dunian shetani nyie
Kakutwa na akili timamu kabisa kajieleza kaeleweka vizuli hapo wasiojulikana na machawa kazi mnayo mwalikikeni baba wa hila awasaidie kutunga hila ili msomeke na dunia
Ila kwnn kusiwekwe mifumo mtu apelekwe kwanza Hospital afu taratibu za polisi zije baadae. Mkazidiwa nusu kufa anahitaj msaada wa haraka lkn mpka aende kwanza polis akifia huko kituon vp sasa
Kiukweli siamin kam Polis ndio wamehusik kuna mda unahukum mtu ambae hat una uwakik unasem tu kisa fulani kasema eet polis wamehusik unalipa tuhuma jeshi ukiitwa na kutoa taarifa utatoa acheni kufat mikumbo nawaambia ndg zangu