Arafu anatokea mjinga furani anamchafua doctor sule eti mshilikina anaingiza makundi ya watu ktk dini ya Allah unazani atakosa Mungu kumkunjulia mambo yke nakupenda doctor sule kwaajili ya Allah ❤
@@NoorynMody Dr sulle anatumia majini huo sio ushirikina? Ata shetani ni muislam Kwa mjibu WA vitabu vyenu waislamu, majini pia ndugu zenu ushirikina mtupu. Kubali Yesu ni mwana wa mungu upate uzima WA milele
@@user-mc2xd4eu2p wacha nikupee elimu wewe neno dini ni kiarabu , Kiswahili ni njia thibitisho ayub 4:6, ata quran yako hauijui soma 6:126 quran, njia ama dini yangu ni hii. John 14:6. Elimu ndo hyo.
Unaumia ukiwa wapi,au ulitaka wawe uchi kama makanisan kwenu???we haujui kuwa hapo ni kweny muhadhara wamesitiriwa na akina mama wenzao??au roho mbaya tu,😂ndacha uko wapi ona wenzak wanchofanya sio wewe ropo ropo.