Asante sana Dr Sule. Waelimishe wa Tanzania wasije kuharibu nchi yao. Maisha yamepanda ulimwengu mzima. Hapa uingereza kila kitu kimepanda. Wazungu wanachemsha viazi na kula, wanalalmika lakini uzuri wao wanaelewa chanzo cha kupanda bei kea vitu. Mungu ainusuru Tanzania yetu na akupe afya Dr Sule uweze kuwaelimisha vijana wetu
Dr. Wapatie logic na Facts.hawanaga fadhila hao Kwa serikali. Inawapa ruzuku halafu wanaigeukia na kuisema vibaya , kama sio wendawazimu huo ! Watanzania yatosha kujifunza yamayojiri Kenya, kamwe tusikubali hadaa za kusabanisha vurugu wachochezi hawachelewi kukimbilia nchi za nje, au vipi wanakimbilia kwenye ubalozi wa nchi za nje , mwenzangu na Mimi tutabaki kumbwerambwera tuu. Kamwe tusitafute vita wakati wa amani .
Dr. Shule,Mimi ninakukubali lakini huko unapoelekea utaharibikiwa kama marehemu Magezi (nyundo ya chuma) alikuwa mtu ambae anakubalika sana na vijana wa kislam.Mimi ninakuomba utushauri kupambana ktk kujenga Dunia yetu na dini yetu.Mama amekwama ni Mungu peke atamvusha
Dr sule nakukubar sikuzote ila kwenye hili umezingua pakubwa..!! Unachanganya Vp Dini na siasa za kidemokrasia..!! Kwanini utue nguvu kubwa kumtetea kiongozi wa siasa kupitia mgongo wa dini..