Ah maskini jay melody! Pole sana mwanangu! Ndo kukuwa huko! Jifunze kwa yanayokupitia duniani! Wewe bado mdogo! Usijali mungu atasimama nawe Inshaalah ❤️
weeeh dada nakushauri epukana na mihemko ya hasira ata km umevurugwa hakuna jibu. zuri kwa mjinga yeyote,km kumkalia kimya@huyo .alie kukosea mpe muda kidogo tu Dunia itamnyoosha.ata huyo alie kuchukulia bwana mjinga tu.kijana anawatoto wawili na msichana mwinginge wewe ukimchukua atakupeka wapi?mahuaiano ya kwanza yakikushinda ata ya 2 hutaweza.maisha ni kivumiliana na kuongea pindi mnapokosana.
Haitham Rubea kweli hata sidhan kama atapata mume mwengine mana sio kwa mitusi na kumuazirisha waume watamuogopa mana akikosana nao siri zote azarani hupati mume ngooo
😂😂😂kulikua aina haja ya matusi aina haja ya kutangaza ulikomtoa ungenyamaza kimywa kama anaakili angekuja kukufuata na mkamaliza na mkaendelea na maisha maana hata iweje mwanaume lazima nnje atatoka shida ni kwamba kuna anaefanya siri na anayefanya adharani matusi umejitukana mwenyewe hapo hujamtukana huyo mwanaume
jamani wanawake mioyo yenu musiwape wasani na haswa wake waliyotoka kwenye familiya ya kimasikini ni pasuwakichwasana angaliyeni maishayenu wasanini watawafanya mujinyonge bule pole sana we dada kuchitiwa kunauma jalalibu kuvaa viatu vya uyo dada da naumiya sana
wew Dada ni msenge tyuuu nyie mlikuwa wapenzi kwanini kabla ya kumjuwa hukujua kama IPO siku atakusaliti kwani huyo nimtoto wako acha ufara wew kama umeamua kuachana nae hayo matusi yanini
hee mwanamke si kwa matusi hayo. ulimi wako ndio adui yako, inaweza kuwa ni sababu yakukutemwa, na mwenyewe ni mtu mpole, yeye keshajuulikana kwa kipaji chake, kwani wewe ni nani?
Kwann kwenye matusi msiwe mnaziba maana hata watto wanaskiza hata wakwako pia maan hapa mwanangu mdogo ananiuliza mama fala ni nn maana yake think about this sns one love
Mpumbavuu tu huyo demu,,na yeye angetafuta mwingine kimya kimya wangemalizana kimya kimya kama walivyo tongozana...Sasa anakuja kuweka mambo yake wazi mbona wakat wanatongozana cc atukuwepo,,uyo mwanamke atakuwa anaugua uchizi kabisa......Kanipa hasira....
😁😂😂😂😂 kuachwa bhana kubaya sana lkn haikusaidii dada kutoa matusi kama hayo 😂😂😂😂😂😂😂 kaka zangu wa mpwapwa wako vizuri bhana acha wachanganye wadada wamjini
Muwe mnawasoma kina Idd Makengo ....usitegemee umsaidie mwanaume kutoka chini kwenda juu afu abaki na wewe yani ni kitu hakipo...ila umempa ngazi yakuwafikiwa watu alokuwa nadreams nao..