Mpina kaibu mambo muhimu .kwa mvurugano huu sasa wahusika wataenda kujirekebisha na watakoma kutuchezea akili sisi watanzania.Hongera sana Mpina kwa uzalendo wako.Watanzania tuko nyuma yako.
Iwe iwavyo, kama bodi ya sukari, na hiyo technical committee hamkuwajibika kuwachukulia hatua, wale ambao hawakuja kuchukua vibali, huku nyie mkijua sukari haipo.unachojaribu kueleza hapo ni kumkingia kifua waziri wa kilimo kwa uzembe wake wa kutowachukulia hatua makampuni wakati akijua ana mamlaka hayo. Na tena hayo makampuni mengine serikali ina hisa. Mpina yuko sahihi jana, Leo, na kesho. Bodi ya sukari mlikula mlingula na pengine na menejiment za viwanda kuchelewesha kwa makusudi uingizaji wa sukari.
LAKINI UPOTOSHAJI WA MPINA KWAKO SIO ISHU SIO?MPOTOSHAJI KATIKA NCHI HUKU AKIPOTOSHA KAONEWA NI MTU HATARI.YULE JAMAA ANAHASIRA YA KUKOSA UWAZIRI.SHIDA NI UWAZIRI.
Tukubari agenda kubwa ktk hili Kuna watu wanahujumu uchumi,mseme wazi,tulishuhudia kipindi sukari inafungiwa katika maghara na serikali ilichukua hatua,Sasa jaribuni kuwa wakweli mabepari hutikisa uchumi wa nchi
Mbona sukari mpaka sasa bei ni kubwa ikiwa kati ya 3,500 hadi 5,000 mahali pengine hususani vijijini bei ni kubwa zaidi kuliko hata kabla ya Sugar scandal hii ambapo bei ilikuwa kati ya 2,000 hadi 2,600?? Mbona mimi siielwi hii serikali? Hakuna bwana. Kuna shida mahali na kuna viongozi wa kisiasa walioko serikalini wameingiza siasa zao ili kujipatia fedha za uchaguzi mwaka huu na 2025!!