Miaka takribani 30 imepita toka Baba na Mama wapotezana na Baba kubaki na Rose na kumlea mwenyewe kwa miaka yote hiyo na leo wamekutana huku Mama akitambulishwa wajukuu zake wawili kutoka kwa binti yake.
Naitwa Esther James nawaomba kama uyu dada alivyopata mama yake na mm nawaomba munisaidie kumpata mama yangu anaitwa jurieta irick alituacha naipanga mm na mdogo wangu salvina frank nawaomb sana