Тёмный

Baada ya miaka 30 Mama amuona tena mwanae | Nilimuacha mwanangu akiwa na miaka miwili 

CLOUDSMEDIA
Подписаться 1,3 млн
Просмотров 15 тыс.
50% 1

Miaka takribani 30 imepita toka Baba na Mama wapotezana na Baba kubaki na Rose na kumlea mwenyewe kwa miaka yote hiyo na leo wamekutana huku Mama akitambulishwa wajukuu zake wawili kutoka kwa binti yake.

Развлечения

Опубликовано:

 

6 июн 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 44   
@mpondamaliva7666
@mpondamaliva7666 Месяц назад
Jamani Rose kafanana na mama yake sana Mungu ni mwema
@HamisiForogo
@HamisiForogo Месяц назад
Huyu babu kiukweli hajamtendea haki huyu Bibi dah kuchukua mtoto wa miaka miwili alafu umekaa nae kimya mpaka Leo looh mshenzi Sana wewe
@user-he2pk6io4d
@user-he2pk6io4d Месяц назад
😂😂😂mama rose anakinyongo 😢
@michaelchiwalo8444
@michaelchiwalo8444 Месяц назад
😂😂😂rose ana furaha haielezekii akiwaona baba rose na mama rose🌹
@JasmineMadaraka
@JasmineMadaraka Месяц назад
Huyu mama anamaumivu sana moyoni kiasi kwamba ameshindwa kabisa kulificha maskini Mungu muongoze huyu mama kuna mambo yanauma sana
@user-sz7fj6ll5y
@user-sz7fj6ll5y Месяц назад
Kweli kabisaa😢😢
@user-ku6sg1dm8i
@user-ku6sg1dm8i Месяц назад
😂mziki uko juu sana punguza.
@jaziramwimbo9145
@jaziramwimbo9145 Месяц назад
Mumeharibu furaha ya Mama Rose baada ya Babu kuja hapo. Mmemkumbusha machungu
@aishaabrahaman9957
@aishaabrahaman9957 Месяц назад
Mama rose kachukia alivomuona huyuu baba jamani 😂😂😂😂 duuuh pole jamani
@edsonnelson4464
@edsonnelson4464 Месяц назад
Ila nimewapenda sana Leo tena
@memoryngambi7570
@memoryngambi7570 Месяц назад
Jamani najikuta nalia namimi, Mungu awatunze wote.
@RayChausa
@RayChausa Месяц назад
Ameen
@HamisiForogo
@HamisiForogo Месяц назад
Nikitaka kulia sanaaa naangalia hiki kipindi
@omanoman2044
@omanoman2044 Месяц назад
Mam kakasirika kamuon alie iba mtt wake mjinga san
@rahmaswale1671
@rahmaswale1671 Месяц назад
Pole Sana mama inauma Sana Mimi nilikaa mwaka na nusu tu sijamiona mwanangu Kuna Sasa nilikuwa nashindwa hata kula
@bintmrisho3526
@bintmrisho3526 Месяц назад
Mimi pia nimeungua mkono wa kushoto nilikua na miaka miwili hadi sasa nina miaka 28 lakin bado nina kovu halifutiki
@TabiaMbunju
@TabiaMbunju Месяц назад
Ongeren sana mungu atawalipa
@Mery-st4nu
@Mery-st4nu Месяц назад
Jamani rose nakuomba umtunze mama wewe mdg wangu nimesikia mama akisema kisingida kinyiramba mpende sana mamako😢😢😢
@shupanamugala6266
@shupanamugala6266 Месяц назад
Inauma sana jamani
@alphoncekidyala6932
@alphoncekidyala6932 Месяц назад
Kipindi kinarudiwa lini nicheki nilikua kazini
@navioma4882
@navioma4882 Месяц назад
Dah😢😢
@rukiaiddyyahaya9506
@rukiaiddyyahaya9506 Месяц назад
Kumbe ana haki huyu bibi kutoroka watu wa singida😂😂😂😢
@MutoniAnge-pt4eg
@MutoniAnge-pt4eg Месяц назад
Huu baba ni mtu mbaya
@fettiemaganza1484
@fettiemaganza1484 Месяц назад
Ukimuangalia tu unajua rose ni yupi
@Mery-st4nu
@Mery-st4nu Месяц назад
Brayan Jina la mwanangu❤❤❤❤
@noelaayo7932
@noelaayo7932 Месяц назад
😢😢❤
@mamatriplee5638
@mamatriplee5638 Месяц назад
Mimi bibi ningemnasa kibao kimoja kitakatifumtoto wangu miaka 30 yote jamani sijamuona mtt wangu
@ubongosahihi
@ubongosahihi Месяц назад
Hakuna sauti 😢😢
@missmoona4497
@missmoona4497 Месяц назад
Gea 😂😂😂😂😂et mwamba huyu hapa
@RayChausa
@RayChausa Месяц назад
😂😂😂😂😂😂
@marianyahenge9529
@marianyahenge9529 24 дня назад
Wamefanana
@florencemeza6540
@florencemeza6540 Месяц назад
Mama katoka mbali Lunzewe ni mbali saana
@deborahmchona5584
@deborahmchona5584 Месяц назад
Jmni mnatuliza huku mweeee ila ninafuraha sana
@hasanbakari7332
@hasanbakari7332 Месяц назад
Nina ndugu yangu kapotea miaka 5 hivikweli nitakuja kumuona anaitwa shabani ramadhani ni mpare
@Sarah_gerald
@Sarah_gerald Месяц назад
Mwakan tena uende clauds fm mwez Wa 5
@ayshamohammed7106
@ayshamohammed7106 Месяц назад
😭😭😭😭😭😭😭
@happymchovu9023
@happymchovu9023 Месяц назад
Naombeni namba zahiki kipindi nguguzangu
@SizzoSela29-sh8nz
@SizzoSela29-sh8nz Месяц назад
bibi anakinyongo na babu
@remidusmwanandenje-yy5gs
@remidusmwanandenje-yy5gs Месяц назад
😪😪😪🙏🙏🙏🙏🙏🙏🎎
@EstherjamesAmrima
@EstherjamesAmrima Месяц назад
Naitwa Esther James nawaomba kama uyu dada alivyopata mama yake na mm nawaomba munisaidie kumpata mama yangu anaitwa jurieta irick alituacha naipanga mm na mdogo wangu salvina frank nawaomb sana
@salmangwila8062
@salmangwila8062 Месяц назад
jaribu kuwasiliana na gea
@user-nn5lv6nb6i
@user-nn5lv6nb6i Месяц назад
Jmn mpk nimelia mima jmn
@jaziramwimbo9145
@jaziramwimbo9145 Месяц назад
Watu tinaishi na makovu ya vitu vingi mno. Hongela Rose kwa hatua hii
@gambigambi7254
@gambigambi7254 Месяц назад
Ni kweli kabisa trauma kila mtu ana pain yake kukosa mama niukiwa mzito
Далее
Всегда проверяйте зеркала
0:19