Тёмный

#LEOTENA 

CLOUDSMEDIA
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 39 тыс.
50% 1

#LEOTENA: MAMA ALIVYOTAKA KUMBEBA MWANAE ALIYEPOTEZANA KWA MIAKA 36, SIJUI MIAKA YANGU

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 188   
@ilakozasembumende1975
@ilakozasembumende1975 4 месяца назад
Huyu mama sasa ndo mama yaan anahisia kari sana na mwanae yaaani kijanawake hata juta kumpata mama yaan wana chemistry moja matata❤❤❤❤❤
@naimarishedy1523
@naimarishedy1523 3 месяца назад
Shangazi hongera Allah muweza wa yote 🤲 akurinde na hata clouds mungu awabariki 🥀🥀🥀
@KhadijaSimbamwene
@KhadijaSimbamwene 4 месяца назад
Wallah kipindi ni kizuri sana na kinaliza allah awalipeni kila lenye heri inshallah
@SalhaIradukunda
@SalhaIradukunda 4 месяца назад
Aliye lia kama mm nipeni like hapa jamani
@VeronicaPaul-l8m
@VeronicaPaul-l8m 4 месяца назад
Nimelia kwanguvu yaani
@judyngowi391
@judyngowi391 4 месяца назад
Clouds kitu mnafanya ni kikubwa , nawapa maua yenu, Mungu awabariki sana
@JoyceMwita-e3w
@JoyceMwita-e3w 3 месяца назад
Mama waziri honge sana kwa kumpata wifi mwenye hofu ya Mungu ubarikiwe shangazi uishi miaka mingi ❤❤❤❤❤
@rhodaangetile2781
@rhodaangetile2781 3 месяца назад
Kiukweli katika vipindi mnafanya ya kibinadamu nakuonya mioyo. Hongereni sanaaaa
@zamdambalilo9718
@zamdambalilo9718 4 месяца назад
Kiukweli Mungu awabariki sana.Kipindi hiki kinanitoa machozi sana.Naumia nikiona wanawake tunaroho ngm.mm nakufa nawanang.maradhi aukifo ndo kinitenganishe.Japo napitia shida nyingi ila najua mungu hatoniacha
@JUDITHGEORGE-zs7oq
@JUDITHGEORGE-zs7oq 4 месяца назад
Mungu awabariki sana
@SharifaOman-bf1bn
@SharifaOman-bf1bn 4 месяца назад
Najikuta. Nalia. Jamani. Timu. Ya gea. Hongereni sana
@rehemaathhmani357
@rehemaathhmani357 4 месяца назад
Mungu awabariki sana kwa kazi zenu ❤🤲
@theonestinamutole8549
@theonestinamutole8549 4 месяца назад
Nimelia sanaaa
@cocorita8367
@cocorita8367 4 месяца назад
Hichi kipindi chenu ni kutuliza tu jamni mungu awabariki sana Dahuu na Geah😢
@Gersah
@Gersah 4 месяца назад
Na jose
@RayChausa
@RayChausa 4 месяца назад
😢😢Chatuliza kwa kweli
@upendogreutert199
@upendogreutert199 4 месяца назад
Kipindi hiki kinaliza jamani siwez vumilia kwa kweli
@phebbyshayo9099
@phebbyshayo9099 4 месяца назад
Kipindi Bora Sana ...nampenda Sana bint yangu Meghan❤
@oman1oman179
@oman1oman179 4 месяца назад
Hiki kipindi kinaliza sana 😢😢😢😢😢Yani nimeshalia mmpaka basi na fikia kuumwa kicwa juu ya kulia
@sarahkinyashi6213
@sarahkinyashi6213 4 месяца назад
Kipindi kinaliza hikiii,nyie tumshukuru Mungu jamanii😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏
@hamzafishten9560
@hamzafishten9560 4 месяца назад
Kabisa
@sarahkinyashi6213
@sarahkinyashi6213 4 месяца назад
Hongera SHANGAZI kwa ulezi
@rukiauwonde7062
@rukiauwonde7062 4 месяца назад
Jaman 😢😢najikuta nalia aki mama aamin kama mwanae
@zuenamikidadi9295
@zuenamikidadi9295 4 месяца назад
Yani mungu awabariki sana nimeliya sana
@oman1oman179
@oman1oman179 4 месяца назад
❤❤❤❤❤❤❤mungu awwzidishie wote mnawo fanya kazi hii ya kukutanisha watoto na wazazi ,sasa wazazi wakiume wako wapi
@samuelmuhindosivamwanza4988
@samuelmuhindosivamwanza4988 4 месяца назад
Kwa mara ya kwanza, ninafuata kipindi hiki nikiwa GOMA-DRC 🇨🇩. Nimekifurahia sana. Mbarikiwe sana na Mungu kwa kazi mnayo itenda. Watu wengi tumepotezana nao. Mmenifanya nilie kama mtoto mdogo.
@sarahkinyashi6213
@sarahkinyashi6213 4 месяца назад
Jamanii wamamaaa,hii inatufundisha kitu wapendwa,afadhali wamekutana wakiwa hai, Mungu ni mwema jamanii🙏🙏🙏
@oman1oman179
@oman1oman179 4 месяца назад
❤❤❤❤ manshallaah tabarakallaah nimempenda shangazi mungu ammoe maisha mema yarabii
@nenenongi66
@nenenongi66 4 месяца назад
I wish engekuwa inatokea wale wazazi walishafariki wanaenda huko mbinguni wanakaa kwa mda then wanarudi wakaanza kututafuta watoto wao waliotuacha huku duiniani ,mimi ningekuwa naingoja hiyo siku kwa hamu sana yakuwaona wazazi wangu tena,pumzika kwa amani wazazi wangu😭
@festusbokoro1615
@festusbokoro1615 4 месяца назад
R I p pole Sana
@Catherine-fv9ht
@Catherine-fv9ht Месяц назад
Mbarikiwe Sana mueenderee kuwakutanisha watoto na wazazi wao❤❤❤❤
@Catherine-fv9ht
@Catherine-fv9ht Месяц назад
Sangazi mungu akubariki sana na akujaliee akuoe na afiya njema pia
@MariaNdagile-hx5pr
@MariaNdagile-hx5pr Месяц назад
Hongereni wapendwa
@VailettyShigerla-fw2sg
@VailettyShigerla-fw2sg 3 месяца назад
Mungu akuride jamani kwa kazi zuri
@salamaalihemed6220
@salamaalihemed6220 4 месяца назад
Wallh mashaallh thabrk allh mungu awalinde kw kazi yenu ❤❤❤😢😢😢
@oman1oman179
@oman1oman179 4 месяца назад
❤❤❤❤❤❤❤mungu amzidishi moyo mwema huo shangazi alokulea kuna shangazi manshallaah kama baba
@isunga1964
@isunga1964 4 месяца назад
I wish nisikie mama yangu na baba wananitafuta nikutane nao tena R.I.P wazazi wangu mpumzike kwa Amani😭😭😭
@AshaVitalis-w8w
@AshaVitalis-w8w 4 месяца назад
😭😭💔
@zaitunichzi5241
@zaitunichzi5241 4 месяца назад
😭😭😭😭😭😭mungu akulinda
@isunga1964
@isunga1964 4 месяца назад
@@zaitunichzi5241 asante wangu yao mbele yetu nyuma
@isunga1964
@isunga1964 4 месяца назад
@rahmasaid2350 asante wangu yao mbele yetu nyuma kikubwa unawaombea hiki kipindi napenda kuangalia ila nalia pia
@NoelaNdibalema
@NoelaNdibalema 4 месяца назад
Wakati wengne wanatafutwa mama zao sisi wengne tumetelekezwa na Mama zetu.Aiseeeeeeeee mmeweza kuniliza jamani
@GraceSanga-z1t
@GraceSanga-z1t 4 месяца назад
Iseeey mama unaachaje watoto mm labda uibe
@FurahiniPeter
@FurahiniPeter 4 месяца назад
Ata akutelekeze ww mtafte kutakua na sababu mm awezi kumuacha mtoto
@FurahiniPeter
@FurahiniPeter 4 месяца назад
Mungu ambariki huyu shangazi
@hellendaniel3809
@hellendaniel3809 4 месяца назад
Mtafute mama yako
@JosephKileo-wy1rc
@JosephKileo-wy1rc 4 месяца назад
Dah
@darlenedada651
@darlenedada651 4 месяца назад
MashaAllah iki kipindi nimekipenda kinanijenga nizidi Ku mpenda Mama .Mama Mngu azidi kukulinda
@wettykznznhuioploko1571
@wettykznznhuioploko1571 3 месяца назад
Uyu mama nimempenda kuliko wamama wote walio tangulia mahana anaisia zote
@hanankhamis4517
@hanankhamis4517 4 месяца назад
Jamani nimelia sana hakika mungu muweza
@zamdambalilo9718
@zamdambalilo9718 4 месяца назад
Kiukweli mitihan ni mingi na maisha nimagum lkn siachi wanang.Kirauz Mungu awabariki.
@zamdambalilo9718
@zamdambalilo9718 4 месяца назад
Da huu huwa nakupenda sana.unaroho ya huruma sana.mingu awabariki wote
@aishaabrahaman9957
@aishaabrahaman9957 4 месяца назад
Nimempenda uyoo shqngazi laminitis watu wana rohoo mbayaa
@RoseMhando-kc5ls
@RoseMhando-kc5ls 4 месяца назад
Hongera Radio Clouse Fm,kipindi kizuri mnoo keep it up
@sheruajafari1676
@sheruajafari1676 4 месяца назад
Ongereni clous
@KaniOfficio-lk1rk
@KaniOfficio-lk1rk 4 месяца назад
Ongera sana claudhi Mungu awape maisha malefu nilikuwa nikisikiliza ledio ongeran
@GraceReonad
@GraceReonad 4 месяца назад
@bintmrisho3526
@bintmrisho3526 4 месяца назад
Nalia tu mimi sijui nalia nn😭
@zainabsulieman5181
@zainabsulieman5181 4 месяца назад
Hata mimi sielewi nalia nini😢
@Rehemamakuka
@Rehemamakuka 4 месяца назад
Kumbe tupo wengi
@mariamkibindo1741
@mariamkibindo1741 4 месяца назад
Sawa Dahuu na Geah tumeelewa tutawalea vizuri
@mossyfimbo3577
@mossyfimbo3577 4 месяца назад
Nimempenda saana huyu kijana ni mwingi wa shukrani Anashukrani saana mno mno nami nililelewa na shangazi zangu nikiwa na umri wa mwaka mmoja na nusu mpaka miaka 15 Mwenyeezimungu awarehemu shangazi zangu na Bibi yangu mama yao shangazi zangu walikuwa binamu wa Baba yangu nawashukuru saana nami nilijaliwa niliwatunza kwa sasa hawapo tena Mwenyeezimungu awarehemu pamoja na wazazi wangu hata iweje Mama ni Mama tu huwezi kupata mwingine Mwenyeezimungu awarehemu wazazi wangu
@CristinLyanga
@CristinLyanga 4 месяца назад
Shangazi hongera sana.
@AshuraIsa
@AshuraIsa 3 месяца назад
Hawa wanaume mungu anawaona
@marrynessbarthazary3144
@marrynessbarthazary3144 3 месяца назад
jamani nyie wadada mnaoendesha kipindi hiki Mungu awabariki Muishi Maisha marefu sana nawapenda sana 🙏
@GfgGgh-v5z
@GfgGgh-v5z 4 месяца назад
Maa Shaa Allah yaan Allah awabark sana 😭😭
@mkambaselemani-ej7np
@mkambaselemani-ej7np 4 месяца назад
Jamani nimelia huyo nidada yangu kbs jeny jony
@LenaMwangamilo
@LenaMwangamilo 4 месяца назад
Uyu waziri alikuwa Anasoma mkombozi mbaliz _mbeya
@StellaMleba
@StellaMleba 4 месяца назад
Hongeren Sana hicho vipindi help kubwa kwenu
@AnnaGotrip
@AnnaGotrip 3 месяца назад
Duh mnatuliza
@fatmaallyabdul1732
@fatmaallyabdul1732 4 месяца назад
Ama mnajua kutuliza jamani😭😭😭hii dunia changamoto ni nyingi daaah!!
@chire4574
@chire4574 4 месяца назад
Mm nilichukuwa watoto wangu sasa ivi ni mwaka wa kumi....naishi nao Kenya...ila mama yao ajawai shugulika kuwatafuta .....namba as simu anazo.....huku Kenya ameshawai kuja sio mara moja.....lakini gafla akipata mawasiliano
@IssaMbaru-qw6ug
@IssaMbaru-qw6ug 3 месяца назад
Allah akbar mpaka nimelia
@RamlaAmiri
@RamlaAmiri 4 месяца назад
Mh kama unaweza kuangalia hiki kipindi bila kulia una moyo wa peke yako ila timu leo ten Mungo awabariki kwa hiki mnachokifanya
@setiseti5281
@setiseti5281 4 месяца назад
Ongera sana
@athmankiama1133
@athmankiama1133 4 месяца назад
Wtoto wengi baba yao askari!
@DativaMbowe
@DativaMbowe 4 месяца назад
😭😭😭 l wish kama nisikie mamaangu ananitafuta maana alisafiri nikiwa mdogo akatuacha moshi akaenda bukoba kwenye msiba babu yaani babaake😭😭 siku anarud kutoka bukoba meli MV bukoba ikapata ajali ndio umatu ulipo mkuta😢😢
@RizikiRiziki-bp6dx
@RizikiRiziki-bp6dx 4 месяца назад
Pole sana
@AnifaMwakilachile-ii6qd
@AnifaMwakilachile-ii6qd 4 месяца назад
Jamani mnatuliza wenzenu huku daah
@njuka3515
@njuka3515 4 месяца назад
Nililekewa ba bibi na baba R.I.P kwao ❤
@AshaKassim-tu7gz
@AshaKassim-tu7gz 4 месяца назад
Da geah hiki kipindi cheni kinaniliza mwanzo mwisho
@aziza9093
@aziza9093 4 месяца назад
Hiki nnokipidi chakutizama Allah awpe maishamaraf
@hamzafishten9560
@hamzafishten9560 4 месяца назад
Hongera sana shangazi
@azizambise
@azizambise 3 месяца назад
Duu sijui nalia kwa uchungu au furaha hata sielewi
@fatuma5208
@fatuma5208 4 месяца назад
Nimelia sana
@femidayahaya9293
@femidayahaya9293 4 месяца назад
Mungu ameweka kitu kikubwa kwenye ubongo wenu mpaka kufikilia kuanzisha hili jambo maana mmesaidia wengi
@frankkulwa3981
@frankkulwa3981 4 месяца назад
Kipindi kizuri sana🎉
@aminamohamed9955
@aminamohamed9955 4 месяца назад
Maashaallah
@tunkuh661
@tunkuh661 4 месяца назад
Wapo shangazi zangu watatu hao ni zaidi ya shangazi sijui niseme nini Mungu tu awalipe japo kubwa Lao alikwisha fariki Mungu amlaze mahali Pena peponi... Nimekupenda shangazi umenikumbusha wema wa aunt zangu
@mamasalhat
@mamasalhat 4 месяца назад
Mie sijui nisemeje😢😢
@MaryamShabani-n2u
@MaryamShabani-n2u 4 месяца назад
Nice vizuri
@zuwenasalim2794
@zuwenasalim2794 4 месяца назад
mm mamdogo aliyonifanyia huwa kunamuda nalia mwenyewe
@MagiiLema
@MagiiLema 4 месяца назад
Hongera sana shangaz🙏🙏🙏🙏
@susannesusie3217
@susannesusie3217 3 месяца назад
Ninalia apa mpak naulizwa unashida gani😢
@FatumaJabu
@FatumaJabu 4 месяца назад
Niseidieni na mm natafuta babaangu aniacha nikiwa na myaka mitano babaangu anaitwa saidi kwa ni hiringa mm niko kenya
@halimaa9367
@halimaa9367 4 месяца назад
Mungu ibariki tazania
@EsterBhoke
@EsterBhoke 4 месяца назад
Najisikia uchungu sana navyo ona wenzangu wanakutana na mama zao afu wanafurahi pamoja mimi na dadaangu mama yetu alituacha tukiwa wadogo sana dadaangu alikuwa miaka 4 na mimi nilikuwa na miaka 2 tumemtafuta na tumempata lakini hataki hata kutuona anasema yeye anamtoto moja tu ambae amezaa na mwanaume mwingine sisi hatujui dah inauma sana usiombe
@aishamsemwa-zu3eo
@aishamsemwa-zu3eo 4 месяца назад
Poleni sana
@njuka3515
@njuka3515 4 месяца назад
Pole sana
@EsterBhoke
@EsterBhoke 4 месяца назад
Asante
@bahatinassorali5222
@bahatinassorali5222 4 месяца назад
😢poleni sanna
@betyjoseph6812
@betyjoseph6812 4 месяца назад
Kaathirika kisaikolojia tu hakuna mama asiyempenda mwanae
@gloryhamidu9418
@gloryhamidu9418 4 месяца назад
Dah Mimi sjui kama mama yang kafa au Yuko haii jamani dah aliacha mim n mdog wangu nikiwa mdog Sanaa simjui mama yangu hata kwa sura yani 😢😢😢dah sjui kma yup haii au amekufa jamnii dah naumia sana .natamani nami nimpat mama yangu mzazi😢😢😢 Joyce
@RoseManyata
@RoseManyata 4 месяца назад
Aliyewalea ukimuuliza mama Ako yuko wapi anakwambiaje
@mashkadaniel1097
@mashkadaniel1097 4 месяца назад
Jaman nasie hku hatujui familia ya baba yetu alikuja kutafta maisha kahama mpaka umauti imekumta mwaka 1998
@ConsalvaMumbara
@ConsalvaMumbara 4 месяца назад
Shangazi Mungu akupe maisha marefu.
@faridaally-jp1gx
@faridaally-jp1gx 4 месяца назад
Da gea hongereni ila kina liza
@HalimaJemedari
@HalimaJemedari 4 месяца назад
Me nalia tuuu 😢😢
@sein.208
@sein.208 4 месяца назад
Masha Allah
@ghhhhy1812
@ghhhhy1812 4 месяца назад
Mam ni mam❤️
@RachelMalekela
@RachelMalekela 4 месяца назад
Daaaàh!
@RehemaMustafa-x6o
@RehemaMustafa-x6o 4 месяца назад
Na kweli kopi yake
@winniejacob1784
@winniejacob1784 3 месяца назад
Kila nikiangalia hiki kipindi mimi nalia tu najikaza lakini nashindwa jamani 😢
@philemornmutta1597
@philemornmutta1597 4 месяца назад
Alafu Kuna mtu yuko na mama yake karibu na hampendi hawasemeshani mmmmmmmhhhhhhhhh.Mungu atusaidie
@solomondanny-1507
@solomondanny-1507 4 месяца назад
Clouds naomba namba zenu tuwasiliane nanyi kuna mdogo wangu alipotea miaka mingi hatujui kama yupo hai au la.
@saraomar3903
@saraomar3903 4 месяца назад
Ukipata na mimi nipe
@CeciliaShauri-vc7up
@CeciliaShauri-vc7up 4 месяца назад
Duuuh....najikuta nalia tu
@jamilahjamilah4157
@jamilahjamilah4157 4 месяца назад
Tuko wengi mm ninaye mtoto wa mdogo wangu nilipewa ana mwaka na miezi minne paka hivi ananiita mama watu wanamwambia hy ni shangazi yy anajibu mm huyu ni mama yangu akina asiya abdarahamani ndio wataita shangazi mm siwezi kuita shangazi
@MuhammadHassan-rg7ch
@MuhammadHassan-rg7ch 4 месяца назад
Haha kama hujapoteza unajihisi ile mama ansvoumia kwa mwana
@HusnahMaulid-wi8dl
@HusnahMaulid-wi8dl 4 месяца назад
Mam umeniliza san jmn napat hisia kali najaribu kuvaa viatu vyko havinitoshi mama
@JokhaVenance
@JokhaVenance 4 месяца назад
Nimelia
@rosehaule6765
@rosehaule6765 4 месяца назад
Continue to rest well mama na baba yngu😢😢😢😢
@EmilykuvunaKonzi
@EmilykuvunaKonzi 4 месяца назад
Waaaah poleni jamani😢
@janembalinga7074
@janembalinga7074 4 месяца назад
Mimi namtafuta baba yangu mdogo anaitwa thomas mbalinga kama familia tumemkumbuka sana popote alipo aje achungulie bas hata kaburi la mama yake ambaye ni bibi yetu sisi
@moneymaker215
@moneymaker215 4 месяца назад
Jamani watu wa bara muache Tabia ya kukimbia na wtt
@Goodhopeorganization255
@Goodhopeorganization255 3 месяца назад
Nimelia jamani
@PROJESTUSMEDARD-m5u
@PROJESTUSMEDARD-m5u 3 месяца назад
Jmn tunalia mno jman mmmmmh hik kipindi kinaliza san
@momylaviel
@momylaviel 4 месяца назад
Mm nalia tu
@VictoriaZakaria-d3n
@VictoriaZakaria-d3n 4 месяца назад
MUNGU AWABALIKI SANA
@maryamtanzania9743
@maryamtanzania9743 4 месяца назад
Vhuyu mama ana hisia kabisa sio mama ake athumani
@BeatriceBruchard
@BeatriceBruchard 4 месяца назад
Mi ninalia tu
@chainchebby3313
@chainchebby3313 4 месяца назад
Walah hili la Waziri na mama yake limenitoa machizi
Далее
САМАЯ ТУПАЯ СМЕРТЬ / ЧЕРНЕЦ
1:04:43
I'm 31 and single - am I leaving having kids too late?
15:01