Fuatilia Matangazo Mbashara ya Uzinduzi wa Jengo Jipya la Ikulu ya Chamwino Dodoma, ambapo Rais Samia Suluhu Hassan anaongoza shughuli hiyo. #AzamTVUpdates #AzamNews
Nurdin umemmaliza Marehemu Marini Hassan Kwa atakae sikia simulizi hii katikati bila kuanza mwanzoni si hasha akajiuliza ni kipindi kilichorekodiwa enzi za uhai wa marehemu (Marini)
Nyerere was a diplomacy, alipoamua matawi yote ya TANU kulijadiri alikuwa ana-wa-empower watanzania wote. Baadhi ya watu wanafikiri yeye binafsi ndiye aliyefanya uamuzi huo na wengi hawakumwelewa na wakiwemo baadhi ya wapinzani wapiga madebe tupu. Mwinyi, Mkapa, na Kikwete walitoa mchango wao lakini wakashindwa kufikia pale JPM aliweza kufikia na Mama anamalizia yale yalianzishwa na mwasisi wa nchi yetu. Nashukuru mama umeweza kumuenzi JPM na kuimaliza hii kazi. Dodoma ni pazuri sana, watu sasa hivi ukiwaambia warudi Dar hawapendi kabisa.