Тёмный

MAKONDA ATANGAZA MATIBABU ya BURE kwa WANANCHI WOTE wa ARUSHA, ni NOMAAAAA 🙌🙌 

HABARIMPYA TV
Подписаться 613 тыс.
Просмотров 4,7 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

21 июн 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 19   
@user-dt7ec3tr2v
@user-dt7ec3tr2v 29 дней назад
Hongera sana👏👏👏👏👏 mtetezi wawanyonge mwenyezi mungu Akurinde pia Akuepushe nabaraa🤲🤲🤲🤲
@yugemasanza1008
@yugemasanza1008 29 дней назад
Hongera sana mdogo wangu Makonda. Ubarikiwe sana mtumishi wa wanyonge
@malupex6299
@malupex6299 29 дней назад
Hongera kiongoz kwa kujali afya za watanzania. Mungu aendelee kukutia nguvu na kukubariki kwa wema wako.
@user-xk7vy4gb6g
@user-xk7vy4gb6g 29 дней назад
Hongera sana Mh Makonda Mungu akulinde kwa kujali afya za wananchi ningekuwelo ningekuja wallah
@silasdominic5309
@silasdominic5309 29 дней назад
Hongera sana Kiongozi, mwenyezi Mungu akubariki sawasawa na mapenzi yake.
@user-dt7ec3tr2v
@user-dt7ec3tr2v 29 дней назад
Endlea kutenda wema na wewe utalipwa wema na Allah🤲🤲🤲🤲 wema unaotenda sio kwaajiri ya leo😢 ni kwaajili ya kecho utakapoulizwa ujibu
@josephsighis8185
@josephsighis8185 29 дней назад
Wewe ni mwamba kabisa na mungu atakulinda Daima
@abaskhatoon9425
@abaskhatoon9425 28 дней назад
Piga vita vape imezidi Arusha kwa wtt wa shule fungieni isingie kwani inauzwa hata vibandani watoto wetu wajukuu wataishia mda mfupi ni kitu kibaya sana.tunawaomba mjitaidi isingie huku Tanzania.
@shabanramadhan7632
@shabanramadhan7632 29 дней назад
@kaguripenina63
@kaguripenina63 29 дней назад
Siasa hiyo ili watu tusahau sio kweli et .
@gibsonsimburya5291
@gibsonsimburya5291 29 дней назад
Ila makonda ni mwamba
@mataypanga5262
@mataypanga5262 29 дней назад
Huduma gani na kwa muda gani au wizi tu, baada ya wiki nani atatibu😂
@MohammedAwadh-gq9si
@MohammedAwadh-gq9si 29 дней назад
Unaumia ukiwa wapi? Hata matibabu yangekuwa ya SAA 1 ni matibabu tu ,au unataka wakutibie huo ukimwi ! Huo hauponi kabisaaa labda ujiandae kufa tu
@mataypanga5262
@mataypanga5262 29 дней назад
​@@MohammedAwadh-gq9siUkimwi utibu wa mamako
@mataypanga5262
@mataypanga5262 29 дней назад
​@@MohammedAwadh-gq9siHalafu hayo matibabu ya siku mmoja,siku nyingine akutibu shetani?
@MohammedAwadh-gq9si
@MohammedAwadh-gq9si 29 дней назад
@@mataypanga5262 ikibidi ! Wewe hata utibiwe miaka ,ugonjwa wa akili unaendana na mwezi ,sasa utawezekanaje? Labda mwezi usiandame tena ndio utapona
@yugemasanza1008
@yugemasanza1008 29 дней назад
Wewe usiye na shukurani so uwaache wenzako wakatibiwe ubaki na huo uzima wako maana wazima huwa wanajua kutamba sana kabla hayajawafika.
Далее