Тёмный

MAKONDA ATINGA NGORONGORO kwa WAMASAI, UKAGUZI MRADI wa MAJI, ni MSAADA KUTOKA UARABUNI,. 

HABARIMPYA TV
Подписаться 612 тыс.
Просмотров 11 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

2 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 75   
@user-xk7vy4gb6g
@user-xk7vy4gb6g 2 дня назад
Hongera sana Mh Makonda piga kazi Mungu akusimamie
@user-jf1sq7lk4g
@user-jf1sq7lk4g 2 дня назад
Hongera sana mh. Makonda
@nelsonnyamle
@nelsonnyamle 2 дня назад
Kuweni makini Wana ngorongoro uchaguzi ukipita mtashughulikiwa kama ilivyopangwa shauri zenu
@wilfredmaimu1958
@wilfredmaimu1958 2 дня назад
Hongera sana mkuu
@kadokemarco9966
@kadokemarco9966 2 дня назад
Kumbe kweli Ngorongoro kuna waDubai😭😭😭😭😭
@Olengujati-uo6gx
@Olengujati-uo6gx День назад
Dubai ndogo ngorongoro
@davidmalogo7100
@davidmalogo7100 2 дня назад
Mh sijui kilicho ndani ausili yawatu wa ngorongoro selikali hii Yani Hawa walabu wanataka nini kwani hio miladi yamaji selikalin umeshindwa kupeleka hayo maji mpaka mpigie makofi walabu Yani selikali ichimbiwe visima niajabu tanzaniayetu nitajili hatuwezi kuchimbiwa visima Yani Kuna kitu nyuma yapanzia Yani hapo ndo wameanza kutambulishwa bila wanangorongoro kujua ,mungu ilaze loho ya jpm mahali pazuli
@zobakazizi7637
@zobakazizi7637 2 дня назад
Ngoja nisiongee
@hadijamandanje6189
@hadijamandanje6189 День назад
Tatizo waarabu ila wazungu na wachina si tatizo,kazi kweli kwwli
@FunnyHikingWaterfall-wv7dc
@FunnyHikingWaterfall-wv7dc 2 дня назад
Nilijua umepumuzika kupika sipana kumbe Bado zinaenderea sipana
@DanielNdaluboneye-wc5st
@DanielNdaluboneye-wc5st 2 дня назад
Ndo nimeamini Ngorongoro imeuzwa.
@nahlaaasidee1848
@nahlaaasidee1848 День назад
Angekuwa mzungu usingesema... Ni maeneo mangapi yapo maeneo potential hpa Tz. Acha chuki.
@dilludillu2747
@dilludillu2747 2 дня назад
Wamechukua port wamehamia Ngorongoro
@emmanuelaloyce932
@emmanuelaloyce932 День назад
Hata kama wanafanya uwekezaji ,waache kuwaondoa wenyeji. Waarabu ni wanafiki sanaa,kuja kwao kunajambo.mama samia naomba uwaachoe wnyeji wa ngorongoro mji wao.zipo sehem nyingi hasa za serikali zilizopo wazi. Msisumbue wananchi
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 День назад
Mnapandikiziwa chuki bila ya kujua.
@user-gy5gu1mn4x
@user-gy5gu1mn4x 2 дня назад
Nchi ya kirabu 😂😂
@justardzelphine6526
@justardzelphine6526 День назад
Duh! Tumekwisha!, ngorongoro imeuzwa!
@hildandumbalo5827
@hildandumbalo5827 День назад
Wamesaidia kidogo sana wanachokuwa Tanganyika hao waarabu ni kikubwa sana mmh
@user-wr3jp6tg4p
@user-wr3jp6tg4p День назад
Shida ya watu wanaishikimazoeya lini mtabalika Na vipi mtapata maendeleo Bila kubadilika
@MaxmillianNdyamkama-nl3dg
@MaxmillianNdyamkama-nl3dg День назад
Miaka sitini mnaagaika namaji tena kwa misaada, wezenu wanaagaika natecknologia
@dullayomwinyi3359
@dullayomwinyi3359 2 дня назад
Hao waarabu wanafanya nn nchini kwetu wamasai wameteseka ajili yao watoke nchini kwetu
@froma3732
@froma3732 День назад
Wazungu pia wapo nchi nzima mpaka kwenye Hoteli ya Ramada hebu fatilia tuwandoshe hao wa Ramada bila Shaka utanielewa
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 День назад
​@@froma3732tena wanawaletea na ushoga lakini hawasemi wamekaa kimya
@ayububakari9942
@ayububakari9942 День назад
​@@froma3732 HIYO RAMADA HOTEL YA WAZUNGU SI ILE HOTEL YA MASHOGA ?!!
@user-lu8ny2gu7t
@user-lu8ny2gu7t 14 часов назад
Sijuwi tumerogwa na nani nchi imeshindwa kupatia maji wanachi mpaka tusaidiwe na wawekezaji hakuna msaada usiokuwa na malengo
@rebekakulwa6159
@rebekakulwa6159 День назад
Kwani. Mafisiyemu yanapeleka wapi kodi zetu mpk. Yalete waarabu kuchimba kisima utumwa wa pili umeingia tanganyika masai wanarukaruka tu kama swala hawajitambui
@johnmalembo6464
@johnmalembo6464 2 дня назад
Haya yote wa tz tunaweza kuyafanya bila msaada wa mataifa mengine
@nabukyeKanefu
@nabukyeKanefu 2 дня назад
Ishudogo serikali inashidwa kufafa hamunakitu hapo
@user-tx6dh6ii3m
@user-tx6dh6ii3m День назад
Hao waarabu jamani mtakuja kujuta hapo staki
@user-ce3eo4lu1k
@user-ce3eo4lu1k День назад
Ina maana viongozi waserikali hawapo ngorongoro isipokua wapo waarab
@carolthomas9243
@carolthomas9243 День назад
Unajua watu hawajuwi huwa wanakurupuka kutoa taarifa ambazo sio sawa ngorongoro wanapoamishwa ni kreta tu sehemu ya bonde la ufa sehemu nyingine wamasai wapo na kazi inaendelea sababu ya kuwahamisha ni ongezeko na shughuli za kibinadamu kreta inasababisha huoto wa asili kupotea na kusabaisha hualibifu mkubwa wa mazingila ya hifadhi hiyo
@user-pv2jh5wb1o
@user-pv2jh5wb1o День назад
Sasa maji ya Nini wakat watu wamehamishwa
@YangaNews
@YangaNews День назад
Sasa hao waarabu wanafanya nn huko
@ayubumoha6313
@ayubumoha6313 2 дня назад
Jamaa mpambanaji alipoa kidogo
@MonayLai
@MonayLai 2 дня назад
hawa wamechukua mali zetu nyingi sana wanajichotea tuu
@sebastiansalamba313
@sebastiansalamba313 17 часов назад
Hawa wanaocheza sio kwa mapenzi yao wame....... Uwiiiiiii arabun ndani nchi
@VitalisMmassi-oh4jb
@VitalisMmassi-oh4jb День назад
Ngorongoro pamekua uwarabuni
@modyworldmody4297
@modyworldmody4297 2 дня назад
Wazungu wanateta ushoga
@joscamwoshezi2986
@joscamwoshezi2986 2 дня назад
Waarabu kwani wanatofauti gani na wazungu au waafrika wanaopewa uwezekezaji karika kutuletea maendeleo
@halimamasai2234
@halimamasai2234 2 дня назад
Wazungu wanaleta ushoga
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 День назад
Tena wazungu hivyo visima wasingetoa bure bure... wangeleta na ushoga juu
@saidiathuman-og6bc
@saidiathuman-og6bc 21 час назад
Makonda leo kunakitu ndani yako kinakuumiza hapo lakin dah? Ndioivyo tena ila kiukweli inaumiza saana
@elioimer8423
@elioimer8423 2 дня назад
Ngorongoro ya wapi hiyo. Mbona sielewi kitu. Tumeambiwa hakuna miradi yeyote inayoendelezwa na serikali. Sio shule , sio maji , na miradi yote mingine ya maendeleo imesitishwa. Sasa hii ni Ngorongoro ya wapi?
@Veni584
@Veni584 2 дня назад
Ya uarabuni
@HashimYahaya-hd3zm
@HashimYahaya-hd3zm 2 дня назад
Wamarekani mbona amuwasemi
@melkiorykweka438
@melkiorykweka438 16 часов назад
Hawa waarabu wanafanya nini humo ngorongoro???? au ndio wameshauziwa kweli?
@simongwandu7392
@simongwandu7392 2 дня назад
Waarabu ni hatari
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 2 дня назад
Wazungu Ni wazuri sio?
@modyworldmody4297
@modyworldmody4297 2 дня назад
Wazungu Wana leta ushoga
@simongwandu7392
@simongwandu7392 2 дня назад
@@modyworldmody4297 wote wanahusika scandal ya Loliondo itafute Wazungu hawakututoboa miguu
@MaxmillianNdyamkama-nl3dg
@MaxmillianNdyamkama-nl3dg День назад
Wanawalagai hao
@samwellenasi7817
@samwellenasi7817 2 дня назад
Warabu niwamasai au
@MonayLai
@MonayLai 2 дня назад
Hiyo ni kuwafumba macho tuu wanangorongoro hizo hela ni zenu wenyewe wanawapoza tuu muone wamewasaidia
@salama1113
@salama1113 День назад
Siamini kama hawa wamasai
@rebekakulwa6159
@rebekakulwa6159 День назад
Waarabu wamingia tanganyika tumerudi utumwani chadema waliambiwa ngorongoro hakuna usalama makonda katia timu na waarabu
@abednego3876
@abednego3876 16 часов назад
Eeh utumwa mtupu
@vladimirputn1809
@vladimirputn1809 2 дня назад
Waarabu sio wabaya Kama marekani naulaya marekani nimashetani
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 День назад
😂😂😂 wazungu hivyo visima wasingewachimbia bure bure wangewatilia na ushoga juu... mammaee 😂😂😂😂 majamaa mashenzi sana yale 😂😂😂
@user-ym6hd7xh3g
@user-ym6hd7xh3g 15 часов назад
Tangu mwanzo wa dunia haijawa hivyo Waliotia maksai wazee wetu si waarabu Tangu wamekaa nchi hii walifanya nini? Afadhali wazungu walijenga shule kujenga barabara,reli hayo ya kuvaa ngata kichwani si yalitesa ndugu zetu tuu au unaongea vile huna kitu kichwani.Unafikiri tumesahau tabia zso za kikatili. Usitufanye mazuzu
@evelynmwaimu-vd9jo
@evelynmwaimu-vd9jo 2 дня назад
Mhhhh!!!!
@leylasaid9641
@leylasaid9641 2 дня назад
WAZUNGU WAPO WANGAPI NA WANAMILIKI VINGAPI MBONA HAMUONI MNAWAONA WAARABU?WAZUNGU WAJANJA WALIPANDIKIZIA CHUKI KWA WAARABU NDO KINACHOENDELEA.
@muhsinikoki4060
@muhsinikoki4060 2 дня назад
hakiamungu masai mnaruka nini badala yakulia jaman mmepigwa
@user-vv4wo5fu9t
@user-vv4wo5fu9t 2 дня назад
Ndio makonda lakini hao warabu sio kabisa hawawezi kutuletea tena ukoloni uku wakitawala nchi kama yao hiyo hawezekani wananchi tunatabika warabu wanatutawala na kuchukuwa aridh zetu uku watanzania tunatabika wanatuibia na kupeleka kwao hii awezekani...tena acha kumpamba wewe makonda hao ni wezi tuu kama wezi wengine yasikutishe hayo mavazi ya ushoga hao wezi tuu ndugu yangu makonda kivipi wapewe aridh ktk mbunga zetu hapa kuna nini nyuma ya Pazia?
@kibwetere1418
@kibwetere1418 2 дня назад
Waarabu wanawapenda sana wanangorongoro
@user-us5xl4zu3r
@user-us5xl4zu3r 2 дня назад
Hivi kumbe Waraabu ni kweli wapo Ngorongoro.
@HusseinKarumna
@HusseinKarumna 2 дня назад
Wapo Kariakoo pia
@zully756
@zully756 2 дня назад
Wapo bongo kote
@lulanjamd3886
@lulanjamd3886 2 дня назад
Nilikuwa najuwa ni utani kumbe mama kaleta waarabu ngorongoro dah😢😢
@salehesalehe2967
@salehesalehe2967 2 дня назад
Wapo na wataendelea kuwepo kamahutaki kufaaaaaaaaaa
@mrafm7285
@mrafm7285 День назад
Waarabu oyeee hawataki ushoga Wala usenge misaada Yao Haina masharti ushoga isipokua Kuna chuki tu binafsi tu dhidi Yao lkn huo ndio ukweli mtake msitake
@sebastiansalamba313
@sebastiansalamba313 17 часов назад
Kumbe kweli inchi imee......Leo ndio ni eamini
@MaxmillianNdyamkama-nl3dg
@MaxmillianNdyamkama-nl3dg День назад
Ngorgr ni inchi ya waarabu,
@user-ze6lx9ng6s
@user-ze6lx9ng6s 2 дня назад
Hawa waarabu mbona wako wengi nchi hii, hivi sisi watanzania ni maskini?
@ayububakari9942
@ayububakari9942 День назад
MIE NASHANGAA HATA WAZUNGU NA WACHINA WAMEKUWA WENGI..
@leylasaid9641
@leylasaid9641 2 дня назад
WALA SIO MAMA WAPO TANGIA UTAWALA WA AWALI KABLA YA MAMA
Далее
Can We Save Goku In 5 SECONDS⁉️😰 #dbz #goku
00:15
Can We Save Goku In 5 SECONDS⁉️😰 #dbz #goku
00:15