Тёмный

NAIBU WAZIRI: WAKUU wa MIKOA WENGINE MUIGENI MAKONDA,. 

HABARIMPYA TV
Подписаться 612 тыс.
Просмотров 9 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

1 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 18   
@rosetreffert4179
@rosetreffert4179 5 дней назад
Hongera sana MAKONDA MUNGU awatangulie katika kazi zako wewe wa mfano ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@BJMKANGALA1
@BJMKANGALA1 6 дней назад
Watanzania tuna uwezo wa kufanya mambo makubwa sana ikiwa kila mmoja atawajibika katika nafasi yake. Mh P. Makonda, Madaktari na Madaktari bingwa wote, Mh Rais Samia, Serikali na kila aliyehusika na zoezi hili, pokeeni shukurani za dhati toka kwa Watanzania wote na Mungu awazidishie moyo wa unyenyekevu katika kulitumikia taifa!
@adamumyala-js9fh
@adamumyala-js9fh 4 дня назад
Mungu akulinde sana makonda unatenda haki mungu akutangulie akulinde na mabaya yote natamani hata nikuone nikupe mkono.
@saidsuleiman1753
@saidsuleiman1753 6 дней назад
Kwa style hii Chadema watasubiri sana labda Makonda atakapoondolewa
@dicksonaroka6961
@dicksonaroka6961 5 дней назад
Kwa Arusha ndo bas tena hawana la kusema make jiji la Arusha sa hiv iko bize na maendeleo wananchini hawataki mchezo kwaiyo chadema ili waende arusha lazima wawe na hoja dhabiti na s blabla tena kama zaman
@BonifaceEdward-pc1dd
@BonifaceEdward-pc1dd 4 дня назад
Iv kunaulazima gan kua na wakuu wa mikoa weng nawakat anatakiwa makonda peke yake awe mkuu wa mikoa
@BakariKombo-er9xr
@BakariKombo-er9xr 6 дней назад
Hongera mkuu wa mkoamakonda
@AidaMosha-nl6ix
@AidaMosha-nl6ix 4 дня назад
Wakuu wa mikoa mingine waige kwani siyo thambi
@AmusedClam-zo9nf
@AmusedClam-zo9nf 6 дней назад
🙏🙏🙏
@doshnafungo4210
@doshnafungo4210 6 дней назад
Makonda Sasa inatakiwa Makonda wawe wengi kila Kona ya nch Makonda mmoja anachoka na kuwafikia watu ni wengi na iwe. Kwa idara zote Kama Makonda
@shabanramadhan7632
@shabanramadhan7632 6 дней назад
Sasa huo ndio ushuhuda wa ukweli na sio ule ww mchongo wa manabii wa uwongo
@mbwanamungia9921
@mbwanamungia9921 5 дней назад
Tatizo la kutolipwa wazabuni waliofanya miradi nikubwa linatisha walikopa bank kwa ajili ya kukamilisha miradi hiyo sasa nyumba zao zinauzwa mchana kweupee. Na viongozi wamekaa tuu haswa Ilala dsm kuna mtu nyumba na gari vyote vinepigwa mnada. Shida malipo yake huko halmashauri
@esterswai9454
@esterswai9454 6 дней назад
Huyu ni rais jmn mwakan ,,
@duniarashid877
@duniarashid877 5 дней назад
Kwani hiyo hiyo huduma Ni supesho Kwa watu wa Arusha peke Yao mbona nasisi Mwanza tunatrseka Na magonjwa sugu ya Moyo lakini hatujui tunapo kimbilia mbona Mwanza hii huduma ya matibabu bure mbona haiji Mwanza mwana tulimkosea Nini raisi maajabu Haya
@BakariKombo-er9xr
@BakariKombo-er9xr 6 дней назад
Mfano wa Rc Makonda ni mfano wa kuigwa mama muone huyu
@AMENMUSHI-wt4li
@AMENMUSHI-wt4li 6 дней назад
Mungu anamwona Mungu akuinuwe Makonda angesambazwa Mikoa yote wakuu wa mikoa wengine waige, Makonda ana Yesu bila Yesu hakuna kutoboa
@AMENMUSHI-wt4li
@AMENMUSHI-wt4li 6 дней назад
Dada mshukuru Mungu hao wametumiwa na Mungu
@bonifacedanielmwakisunga9638
@bonifacedanielmwakisunga9638 3 дня назад
Awawezi kuoga kabisa sababu wako kwa maslahi Yao sio kwa wananchi ndio maana wanashundwa kufanya kazi ya kutatua shida za wananchi awawezi kabisa
Далее
Frank Now VS Then Edit 🥵| #brawlstars #shorts
00:18
ДВЕ МЕДИЦИНЫ В ОДНОЙ СТРАНЕ
43:03
Редакция. News: 124-я неделя
52:01
Просмотров 1,8 млн
Frank Now VS Then Edit 🥵| #brawlstars #shorts
00:18