Chapa kazi baba makonda watanzania tupo nyuma yako tunakupenda sana hasa sisi wanyongee ila huyo alofutwa anasitahilianajibu tu kidharau dharau ndiyo kilichomponzaaa daa pole
Kwasababu anasikiliza kero zilizo sababushwa na ccm 😂😂😂 pole sana kama makonda angekuwa analitakia mema taifa basi angekuwa mstari wa mbele kudai katiba mpya itakayo weka mfumo bora wa kuongoza nchi lakini cha ajabu anaona kero nyingi zinazo wakumba wananchi zinatokana na mfumo mbovu wa katiba hii ya 1977 manake ukiona kiongozi hadai katiba mpya ujue yupo kimasilahi na sio kuongoza nchi kwa misingi ya haki. kama ni kero imeletwa na katiba mbovu kwanini asikubali kuleta mabadiliko ya katiba mpya lkn bado wameng'angania katiba iliyopo kwajili ya maslahi ya matumbo yao
Kumbe Nchi hii inahitaji uongozi wa aina hii ya Makonda Nakumbuka kauri ya hayati Rais Mwinyi aliwahi kutamka kuwa "kumbe Rais Magufuri ndiye Rais anayejua kazi yake sisi wengine tulikuwa tunacheza tu" Na Mimi nasema kumbe RC wa ukweli ni Makonda wengine wanacheza tu"
Kuna kazi nchi hii ndiyo maana watu dhihirisha kuichoka chama kwa sababu ya mambo haya lakini kila korna ya nchi usimamizi ungekuwa hivi basi kelele ingekuwa siyo ilivyo kwa sasa hapa sasa tupo na makonda angalau kidogo
Hawa jamaa mbona vilaza sana mwanasheria ujui kesi ulizoahinda kweli da unatuangusha sana na fani uite dei haki mmesoma wapi hizo degree zenu jamani amna uchungu na nchi hii na wanannchi tendeni haki sio mnawaza rushwa tu ondoa hao hata mkurugenzi naye sio competent sijui nani anawapa
Na la vibanda si la eneo moja mhe RC Makonda jamani. Ni la nchi nzima kwenye utawala wa JPM. Mwananchi anajenga si aje anyan'ganywe hata muda huo ukiisha . Hivyo kwa kifupi mgogoro ni wa waliojenga vibanda kunyan'ganywa ambapo vinatakiwa kurudi kwa waliovijenga nchi nzima mhe RC Makonda.
Umeenda kusikiliza kero za wananchi badala yake unatumia mda mwingi kuwa hoji watumishi wa umma ambao unaweza kuwaita ofisini kwako na kuwahoji huko ni kupoteza mda wa wananchi
@@careenpatrick2759 hahahahaa pole sana kwaiyo kwa akili zako finyu unazani makonda anatatua kero za hahaha poleni sana wajinga mwenzenu ana tengeneza kiki za kunipa umaarufu kama kweli angekuwa hataki wezi na wala rushwa angedai kwanza katiba mpya ambayo italeta maadili ya viongozi lkn yote ya kudai katiba mpya na bora hazungumzii badala yake ana fanya maigizo ya kutatua kero ambazo zimetengenezwa na katiba mbovu ya 1977 ambayo makonda anataka iendelee kuwepo zindukeni nyie hiyo mwenzenu ni sawa na watu wanaojifanya mitume na manabii wanafanya utapeli kwa njia za kuponya watu makanisa yao huwa yana jaa ndivyo ilivyo style ya makonda ameshagundua watanzania wengi wana matatizo mengi yaliyo sababishwa na katiba mbovu hivyo ameshagundua mbinu ya kusikiliza kero inaungwa mkono na wanyonge wengi walio onewa na serikali ya ccm kwaiyo anatumia udhaifu huo kujipa umaarufu na wengi wasiojitambua wanaona ni kiongozi mzuri. angekuwa kiongozi mzuri angekuwa mzarendo wa kudai katiba mpya ambayo italeta maadili kwa viongozi wa umma na sio kusikiliza kero ambazo zina sababishwa na katiba na serikali ya ccm
inasikitisha sana kama na wewe ni mtumishi wa umma😢😢.sasa unataka asikilize kero za wananchi afu aziandike kwenye simu yake au?? Hawo watumishi janja janja kama wewe wapo kwaajili ya kujibu tuuma zinazotolewa na wananchi😮. na mwenyezi Mungu hatomuacha kamwe ni Lazima aje awe Rais wa Nchi hii ili hawanyooshe zaidi
@@careenpatrick2759 izo ni kiki tu kama kweli makonda hataki rushwa na wizi wa pesa za umma angeunga mkono kudai katiba mpya ya kisasa itakayo linda maadili ya viongozi wa umma hata hizo ziara za kusikiliza kero zisingekuwepo hao viongozi wa umma wangefanya kazi kwa hofu maana katiba mpya ingebadili mfumo wote wa usimamizi wa mali za umma tofauti na sasa katiba imewapa uhuru wa kufanya watakavyo
@@mwonajeremia5323 hahahaa kwaiyo nawewe umerizishwa na hayo maigizo ya makonda kusikiliza kero za mtu mmoja mmoja? yani anaenda Namanga kusikiliza kero za wananchi wanajitokeza wananchi 200 wenye kero mbalimbali halafu anakuja makonda anasikiliza kero 5 wananchi 195 wanarudi nyumbani na matatizo yao hapo unaona ni sahihi? mii naona makonda ningemuunga mkono kama angesimamia haki ya kudai katiba mpya ambayo italeta mfumo mpya wa kujitawala tofauti na mfumo huu wa katiba ya 1977 ambao umatengeneza matatizo mengi kwa wananchi kukosa haki zao ndomana unakuta siku hadi siku kero za wananchi tanzania zinazidi kuongezeka siku hadi siku mwarobaini ni kuleta katiba mpya yenye mfumo mpya wa kujitawala hizo kero zote zitaisha
Wabongo akili zetu km watoto,tushapumbazwa na kusahau nduguzetu waliopotezewa maisha na Hawa viumbe saizi tunawaita Hero,mara rais ajae ,Haya mi nalilia bado damu za nduguzangu wakina benyy Sanane ,hawa mahero wenu wakiwatekelezea mnayotaka mkiwapa urais Basi mtaniamsha nalala😂
Tuulizeni sisi wakenya mji mdogo ni nini, ...ssi wakenya yaani tunawasikizaga mkitaja mkuu sijui mwenyekiti, sijui nani .....weee Tanzania kazi mnayo kwakweli.