Ebwanae kwenye chakula viongozi wetu wajiangalie sana wakija majuu ,kusaini mikataba ya wananchi kuna viongozi wengi ,clip zao zipo kwenye you tube,uzalendo kwanza hata kwenye pombe na uraibu mwengine,kuna dawa unaweza ukawekewa hazikuui leo zitaukuua 1,2,34 kama sindano za sumu wanazopigwa wagonjwa huku ulaya ,wachukue hela za uzeeni......
Mzee kaficha kitu...kujulikana na Mwl haikuwa Kaunda bali akiwa JKT,akatembelea na kwenye gwaride Mwl akasema namhitaji huyu kijana Ikulu na Mwl akampa hilo jukumu ila yy hakujua mpk leo why Mwl alimchagua...ila pale kambini alikuwa na kipaji cha kawaida cha kugundua chakula chenye shida...sababu hapo anachanganya kuwepo kwenye circle ya Mwl ilikuwa lazima mpikwe kweli na yy anasema tukio la Kaunda je alikuwa nani kama hakuwa na kazi hiyo?Alikuwa ni mwonjaji na ni kazi ipo mpk leo...MWONJAJI yuko close na Wapishi,,haiingii Akilini wapishi wasimjue yy bali wamjue km mpenda kula tu?Hawa wenye mafunzo huwa hawafunguki sana wanakuwa limited.