Тёмный
No video :(

MKAGUZI WA CHAKULA CHA RAIS MWINYI:TUMBO LILIMSUMBUA/NAONJA MIMI KWANZA/ALIPENDA SANA BIRIANI 

ZamaradiTV
Подписаться 246 тыс.
Просмотров 44 тыс.
50% 1

Usisahau ku"SUBSCRIBE" RU-vid channel yetu kwa videos nyinginezo
#zamaraditv #mambonimengi

Опубликовано:

 

23 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 46   
@jaymwinyi6957
@jaymwinyi6957 5 месяцев назад
Mashaallah tabaraqallah Allah amzidishie umri zaidi hyu mzee Abdallah bado yuko fomu
@mariamkibindo1741
@mariamkibindo1741 5 месяцев назад
Mashaallah ALLAH amjaalie Afya njema na umri twawil
@KaburuKimath-eu5nf
@KaburuKimath-eu5nf 5 месяцев назад
Mungu akujaalie maisha marefu
@stanslausmteme8455
@stanslausmteme8455 5 месяцев назад
Big up somo
@abuyunusmohamed6961
@abuyunusmohamed6961 5 месяцев назад
Huyu jamaa anajua sana kumhoji mtu.hongera sana.
@sophiakassim6784
@sophiakassim6784 5 месяцев назад
Ila anazingua sometimes swali moja analirua kuuliza mara mbili mbili wakati kashajibiwa
@AyshaYassin-hm5xo
@AyshaYassin-hm5xo 5 месяцев назад
Wakwanzaa🎉🎉❤
@josephatmathiasgalagalabuh786
@josephatmathiasgalagalabuh786 5 месяцев назад
Kwa nini kila Kaunda akiwepo kunatokea kasoro? Mara moja huyu mzee aliona kijana mbaya akamkamata na ARUSHA akala samaki na Kaunda?
@Fred-Ma
@Fred-Ma 5 месяцев назад
Mwalimu alikuwa hali Kitimoto?😂😂
@msongamwinyi2877
@msongamwinyi2877 5 месяцев назад
Video ya mzee kwenye meza mbona mmeotoa mngeiacha kupendezesha storia
@evaristmbuya6220
@evaristmbuya6220 5 месяцев назад
Mwinyi alikuwa Mzaramo aliyekuwa anaishi Zanzibar kwa hiyo Mwinyi alikuwa Mtanganyika kwa kuzaliwa! Somo zuru tuishi kindugu
@husseinkonz5192
@husseinkonz5192 5 месяцев назад
Hongera bab Kaz umefanya kwa weled
@sophiakassim6784
@sophiakassim6784 5 месяцев назад
Mtangazaji sauti kweli unayo ila kwenye kuhoji jipange unarudia sana maswali hayo kwa hayo
@Fred-Ma
@Fred-Ma 5 месяцев назад
Kumbe Lambart upo huku? Nimekutafuta sana kule😂😂
@lucasdismas4314
@lucasdismas4314 Месяц назад
Mzee alikuwa kitengo
@MrishoHakim
@MrishoHakim 5 месяцев назад
Mumuhoji muanzilishi WA taasisi ya kuzuia na kupambana na madawa ya kulevya, George Timbuka
@jacobnorbertchenga9465
@jacobnorbertchenga9465 5 месяцев назад
Zamaradi mtunze huyu jamaa Crown Fm wanamjadiri sasa
@mozasalim7725
@mozasalim7725 5 месяцев назад
Leo wapili kudadeki wanikabizi mimi nionje chakula jamani
@evaristmbuya6220
@evaristmbuya6220 5 месяцев назад
Kwa kifupi mzee kasema wasomi ni majizi badala ya kusaidia nchi wanajisaidia wenyewe
@user-hi8le2vb7z
@user-hi8le2vb7z 5 месяцев назад
USISHTUKE,,WANAKULA VYAKULA KAMA UNAVYOKULA WEWE KWENU,,,,,TOFAUTI NI KWENYE KUANDAA..KAMA NI SAMAKI USIDHANI WA BEI ZENU IZO.
@madenge731
@madenge731 5 месяцев назад
#USALAMA huyoooo ❤❤❤
@user-cw3vu8mu3k
@user-cw3vu8mu3k 5 месяцев назад
Kwa wale wanaojua protocol atuambie je ni kuonja vya kula ,je hakuna vipimo
@iliyasabakari
@iliyasabakari 5 месяцев назад
Final uzeeni
@judithsimon7892
@judithsimon7892 5 месяцев назад
Kwanza vpi kuhusu Historia ya kazaliwa,kakulia wapi elimu,mwenyeji wa mkoa gani eti bado kuna watu wanampongeza mwandishi inaamana hawajaona hayo
@sophiakassim6784
@sophiakassim6784 5 месяцев назад
Sauti kweli anayo ila mambo mengi anasanda kwenye kuhoji hajajipanga
@Chettymlambalipsi-lb9km
@Chettymlambalipsi-lb9km 5 месяцев назад
Ila uzee hauna adabu
@hajimnubi4581
@hajimnubi4581 5 месяцев назад
Ilikua Mozambique hiyo alipomuwahi mdunguaje niliwahi kumsikia ulipomhoji before
@giztony2009
@giztony2009 5 месяцев назад
Kwa levo yko nahisi unafaa hata uwe unatangazia BBC
@oswardwenge2351
@oswardwenge2351 5 месяцев назад
Kipindi unatambaa inamaana watu hawakuona na kujiuliza kuna nn ?
@evaristmbuya6220
@evaristmbuya6220 5 месяцев назад
Food tester
@ukuvukiland2387
@ukuvukiland2387 5 месяцев назад
Ebwanae kwenye chakula viongozi wetu wajiangalie sana wakija majuu ,kusaini mikataba ya wananchi kuna viongozi wengi ,clip zao zipo kwenye you tube,uzalendo kwanza hata kwenye pombe na uraibu mwengine,kuna dawa unaweza ukawekewa hazikuui leo zitaukuua 1,2,34 kama sindano za sumu wanazopigwa wagonjwa huku ulaya ,wachukue hela za uzeeni......
@user-pw8pc3by8p
@user-pw8pc3by8p 5 месяцев назад
Dr mwinyi amuone huyu mzee
@evaristmbuya6220
@evaristmbuya6220 5 месяцев назад
Kwa hiyo kikiwa na sumu unaanza kufa wewe hii imekaa vizuri
@protusmushi7162
@protusmushi7162 5 месяцев назад
Mwinyi alikuwa anakula chapati. Mbona janabi anatukatza tusile chapati?
@FreeGod368
@FreeGod368 5 месяцев назад
Uyu mwandish anastahili BBC au AZAM au any very big media houses
@boscokikoti
@boscokikoti 5 месяцев назад
Wewe jamaa umeona mbali sana.mimi namkubali sana anajua anatamka matamshi ya kiswahili kwa ufasaha sana
@FreeGod368
@FreeGod368 5 месяцев назад
@@boscokikoti Kabisa kaka jamaa ana uwezo mkubwa sana na utulivu katika kuhoji
@TPW_FLUXY
@TPW_FLUXY 5 месяцев назад
Wewe muongo haikuwa hivyo waongo wakibwa nyie mnasifia uongo mbona hamsemi alivyo kiwa anakimbia na mabox ya pesa kwenda oman
@abdikadirhassan935
@abdikadirhassan935 5 месяцев назад
Ww mnafki ulimuona akiiba pesa? Hayo mabox umeyaona au unaamini vya kumbiwa
@wechemakambo2182
@wechemakambo2182 5 месяцев назад
Mzee kaficha kitu...kujulikana na Mwl haikuwa Kaunda bali akiwa JKT,akatembelea na kwenye gwaride Mwl akasema namhitaji huyu kijana Ikulu na Mwl akampa hilo jukumu ila yy hakujua mpk leo why Mwl alimchagua...ila pale kambini alikuwa na kipaji cha kawaida cha kugundua chakula chenye shida...sababu hapo anachanganya kuwepo kwenye circle ya Mwl ilikuwa lazima mpikwe kweli na yy anasema tukio la Kaunda je alikuwa nani kama hakuwa na kazi hiyo?Alikuwa ni mwonjaji na ni kazi ipo mpk leo...MWONJAJI yuko close na Wapishi,,haiingii Akilini wapishi wasimjue yy bali wamjue km mpenda kula tu?Hawa wenye mafunzo huwa hawafunguki sana wanakuwa limited.
@user-iw5hu3mc7l
@user-iw5hu3mc7l 5 месяцев назад
Hiyo ndo tanzania watu muhim kama hawa leo mtu amekua choka mbaya ka choka kama mpira wa makaratasi
@khatibabass3106
@khatibabass3106 5 месяцев назад
Kwaio umri wa miaka 96ulitaka afanywe nn? Au arejeshewe ujana? Kama nyumba anayoishi ninzuri ,nguo kavaa nzuri ulitakaje?
@ttss7716
@ttss7716 5 месяцев назад
​@@khatibabass3106Asanti sana pia mimi nilikuwa nataka kumuuliza hilo swali😂😂😂
@mohamedhamismagoraonlinetv459
@mohamedhamismagoraonlinetv459 5 месяцев назад
​@@khatibabass3106Umenena kweli. Umri ni mkubwa ni lazima azeeke
@winfordmwangonda5375
@winfordmwangonda5375 5 месяцев назад
Asante point maridhawa​@@khatibabass3106
@user-hi8le2vb7z
@user-hi8le2vb7z 5 месяцев назад
USISHTUKE,,WANAKULA VYAKULA KAMA UNAVYOKULA WEWE KWENU,,,,,TOFAUTI NI KWENYE KUANDAA..KAMA NI SAMAKI USIDHANI WA BEI ZENU IZO.
Далее
KIPINDI MAALUM CHA SIMULIZI ZA IKULU
32:35
Просмотров 47 тыс.
УГАДАЙ ЕДУ ПО ЭМОДЗИ! #shorts
00:57
Просмотров 106 тыс.
OBLADAET - BARMAN
03:06
Просмотров 165 тыс.
УГАДАЙ ЕДУ ПО ЭМОДЗИ! #shorts
00:57
Просмотров 106 тыс.