Bibi ulishakula maisha wakati wako waachie wajukuu bibi mda huu ni wakufanya ibada kwa muumba wako ili ukitwaliwa ufe vyema katika bwana ushindwe kwa jina la yesu
CLAUDIA JAMES Halafu wajomba zake na huyu dogo kila mahali wako nae manake wanajua kuna chakula!! Kila video clip yuko nae!! Asipokuwa kuwa makini na kupunguza mawenge atapoteza haki zake za msingi..
Bettynoverty Frances Halafu kama kama kuna kitu umeona hapa ni kwamba Ndugu wa upande wa mama nao wanautolea urithi macho usiku na mchana,, We angalia wanajitahidi kwa njia yeyote ili mke wa marehemu ndio awe msimamizi wa mirathi ili wapige hela kilaini kitu ambacho huyu dogo hajui!! Na bibi yeye hataki kwasababu amepoteza watoto wake wawili na mmoja wao inadaiiwa mke kahusika. So bibi hawezi kubali mali za mtoto zimilikiwe na mtu ambaye anatuhumiwa kumuua binti yake..
Iam so touched by the cry of this young man.Its injustice for anyone to claim the wealth of a man who dies and he had a wife and children..Relative needs to fear Gods curse.God is the father to fatherless,Justice belongs to God.Great wisdom from the National leader. The children needs to be the succer of their fathers wealth.
Uhusiano pekeee duniani ambao unamueka mwanadam katika usalama na uhakika ni kati ya mama na mtoto kwaio inaezekana bibi anauchungu zaidi ya hao watoto sifikiri kama bibi ana tamaa ya mali ukilinganisha na watoto kwa pengine hata ao watoto wenyewe biological father hakuwa msuya
hapa ukiachilia mbali wanafamilia kupewa pesa na bado wanagombea mali jibu ni moja tu familia inaweza kuhusika na kifo cha ndugu yao ,,, mung asimame na watot wa marehem hak itatendeka tu
Ndio mana kuna wale maharusi wameoana kwa gharama kubwa sana mamilioni walikopa sasa walivyoona nyumba yataka kuuzwa na hawana uwezo wa kulipa wakajiuwa wote mke na mume haya ndio yanatakiwa ili mliobaki mlipie madeni😁
Hili tatizo kubwa saaaaana, huyo bibi ana uchungu wa wanawe na ukichangia kua mama yao ndio kamuua mwanawe wa kike, sasa hapo ni vigumu bibi kuwapenda wajukuu zake hawa sema mjukuu ndio haelewi au anajitoa fahamu, hapa ni wagawane mali na kila mtu ashike njia lakini kupendana hakuna hapo.
Kwahyo kuwachukia wajukuu ndo dawa ya kurudi mtoto wake...Na Kama kweli mke kamuua mumewe wajukuu anawajukuu ili iweje?..na kingine kuna uthibitisho umetoka Kama mama kamuua mumewe?..Mimi wachaga siwaamini kabisaa mchaga kumuua Mtoto,mume,shemeji,baba,mama kawaida saaana..
Mali za watoto lakin mpk mashangazi,wazazi khaaa Mimi ndo naona kwenye hii familia toto kubwa Kama hilo ulipangie Mali kweli?...Angekuwa hana watoto sawa sasa watoto wapo hii kugawana mama,baba na mpk mawifi inatoka wapi?Hapo wamempa case huyo mama wapate muda Wa kugawana mali tuu.
Wapare bana ,,,anauza ng'ombe kwa kesi ya kuku! Iv huyo bibi haoni si familia tu bali jamaa hii itasambaratika? Maana kitakachoondoa uovu na damu zilizomwagika ni MSAMAA,.. Kama kuna mtu mbaya ataondolewa kwa aibu na mkono wa Mungu..(lkn sharti waachie)
Wewe jamaa ulikua mpiga debe wa yanga ulishindwa njaa inakusumbua usijidai kuongea sana nyie ndio matapeli wa kudhulumu yanga ina karne haina uwanja wezi wakubwa
Inaonyesha uyo mama msuya atakua aliusika katika kifo cha mwanae maana sikwatamaa izo ivi uyo Bibi siku akifa watoto wa marehemu msuya watapata mgao wa Mali zake
Marco nafikiri hauelewi chochote fuatilia mtiririko mzima wa stori hizi utapima nakujua kwamba bibi yao ni mshenzi watoto wanapata shida sana kisa mali tena za baba yao
Nelson Nevlin Ndugu yangu, yawezekana katika hali ya kawaida nikawa sijui A to Z ya jambo hili. Lakini kwa maoni yangu na kwa kiasi nilichoelewa kuhusu huu mvutano, mi naamini jambo hili litamalizwa kwa njia ya maridhiano ( at family level ). Kwa maoni yangu watoto warudi wakae na bibi yao waongee vizuri yaishe. Mi naona watu wa pembeni ndo wanachochea mvutano huu, watoto wapate mtu mwenye hekima kama Askofu au Sheikh awakalishe na bibi yao, tena iwe off record, naamini yataisha. Vinginevyo nawaombea kwa MUNGU wauone mwisho mwema wa jambo hili