Тёмный

MWIGULU AKUTANA NA KICHWA KIBOVU, SIKUOGOPI, LEO NAKUCHANA 

Mbengo Tv
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 318 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

16 май 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 220   
@danielmollel8225
@danielmollel8225 Год назад
Daah!! Mh. Waziri mkuu Mungu akupe nguvu uendelee kupata maoni ya makundi mbalimbali nchini!! Naomba pia urudi kwenye kero inaowakabili wafanyakazi nchini
@jareengeorge5478
@jareengeorge5478 Год назад
Napenda waziri mkuu aje kua Raisi.namuombea kwa Mungu.
@basilisamsaka8469
@basilisamsaka8469 Год назад
Yaani wananchi wanamawazo mazuri sana
@TrezooDeo
@TrezooDeo Год назад
Mam
@elibarikimacha5534
@elibarikimacha5534 Год назад
Nilikosaga imani na mama alipomchagua Mwigulu waziri.
@Mobmob2013
@Mobmob2013 Год назад
Mimi niliwaza mambo mengi sana alipomchagua mwigulu. Hafai kuwa waziri angeenda kuwa balozi huko Zimbabwe Kama kubebana ndo sababu
@JustineMathias-wj7bd
@JustineMathias-wj7bd Год назад
​@@Mobmob2013 au akawe balozi afghanistan ingependeza😅
@hamiduhamisi2371
@hamiduhamisi2371 Год назад
@@JustineMathias-wj7bd 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@marandoruzali1946
@marandoruzali1946 Год назад
Basi huyo kajidhihirisha moja kwa moja hafai akiendelea kuwepo wakati raia hawamtaki itakuwa kuna sehemu inampa jeuri
@tonyi6807
@tonyi6807 Год назад
mandevu umeongea kama Mjomba WA taifa ....
@tegoswadakta8996
@tegoswadakta8996 Год назад
Hongera bro umeongea kaka, mashuka Uganda nafuu kuliko kwenye bahari
@emmanuelmkamba1964
@emmanuelmkamba1964 Год назад
Mwiguru hafai kabisa hata majibu yake bungeni machafu sana
@w4058
@w4058 Год назад
Mwigulu kama muuangwana ajiuzulu
@HeriethJoram-rb7ce
@HeriethJoram-rb7ce Год назад
Kuna watu sio viongoz ila ni vichwaaa
@luisojr3480
@luisojr3480 Год назад
Sana kuna watu mwenyezi Mungu kawapa tu kipawa.
@simonndunguru1629
@simonndunguru1629 Год назад
Mwigulu kutunza Heshima yake ajiudhuru. Hata Raia hawamtaki Wabunge wanamsema Sasa ni Heshima kweli?
@anithawidambe7543
@anithawidambe7543 Год назад
WAZIRI MKUU SAFI SANA VIONGOZI WAKIAMBIWA UKWELI WANACHUKIA.
@meshacknyandongo577
@meshacknyandongo577 Год назад
Mwiguru avue hio scafu ya Tanzania anajidai ni mzalendo kumbe Hana uzalendo wowote
@michaelmtale-fi9ze
@michaelmtale-fi9ze Год назад
Wafanya biashara wapo vzr sana waziri kuu wasaidie hawa wafanyabiashara
@nelsonnyamle
@nelsonnyamle Год назад
Mheshimiwa waziri mkuu pole Kwa usumbufu unaopata kupitia uzembe wa watu walioko chini yako.Ila kama mtanzania nachukizwa sana na wizi unaofanywa na viongozi wetu wasiyotutakia mema watanzania wenzao hata siye tunapenda kutembelea hayo magari mazuri.Mtupende watanzania kama mzipendavyo familia zenu Asante baba angu mungu akupe afya njema
@gorgonusshayo920
@gorgonusshayo920 Год назад
Majaliwa hana shida . mdomo unaruhusu saut kutoka baada ya ulimi kutamka maneno. 🙏😎
@gorgonusshayo920
@gorgonusshayo920 Год назад
Ila majaliwa anapaswa kuwa raisi maana hana uongozi wa picha ila anauongoz uliotukuka, NAMMPNDA SANA SEMA WAPO WANAOMZUIA . NAPENDEKEZA AWE RAIS KTK AWAM IJAYO🥰🥰🥰😘😘😘😘😘😘😘
@user-rd6mo1zb6g
@user-rd6mo1zb6g Год назад
Anabembelezwa na mamaake ngoja akutakane na vichwa vibovu..Magufuli angekuepo uyo mwingulu angekua keshakosa kaz
@mumukinga8327
@mumukinga8327 Год назад
si aliondolewa mama kamrudisha hafai hata kuweka bondi
@NicolausBundala-kb8hx
@NicolausBundala-kb8hx Год назад
Kwanza alishamtemaga kitambo kwenye uongiz wake
@jeremiahmakoye6340
@jeremiahmakoye6340 Год назад
Mhe. Waziri mkuu Majaliwa, nakuombea afya njema na uongozi uliotukuka. Ipo siku yes nakuombea uwe kiongozi mkuu wa inchi yangu Tanzani. Unacho kitu kikubwa kwa ajili ya Tanzania.
@radiusrutta7804
@radiusrutta7804 Год назад
Mmetuwakilisha vyema mungu awasaide
@salahsalahallympika679
@salahsalahallympika679 Год назад
Safi sana mwambie uyo 😂😂😂😂😂
@kabulukimati
@kabulukimati Год назад
T.r.a.ifunje.yote.na.isukwe.upya
@user-ic6js4sc8u
@user-ic6js4sc8u Год назад
Daaaah huyu Kaka kibokooo🙏✋
@komumbughuni8301
@komumbughuni8301 Год назад
Ni kweli tatizo sio sheria ni kanuni zinazotungwa na wahusika kwa faida yao zaidi, hivi risit ya sh 2000 kosa lake ni ml 4 hapo kuna uhalisia, kwa nini isiwe 20% ya hiyo
@maneuverseniorkgbbrothers1217
madevu akili kubwa sana yani anawachana huku anawaita ndugu mh!na ukweli mtupu wao wakipewa biashara haichukui round!
@user-pk1vw8ny4g
@user-pk1vw8ny4g Год назад
Brother Bernard kamaliza kila kitu😅😅
@jacobmaganga3354
@jacobmaganga3354 Год назад
waziri anayesikiliza wanyonge...❤️
@valenakomba9218
@valenakomba9218 Год назад
ASANTEEE, KAKA KWA KUSEMA UKWELI. MSEMA KWELI NI MENZI WA MINGUU.
@aliyageorge6794
@aliyageorge6794 Год назад
Msema kweli ni mpenzi wa mungu kweli kabisa!
@salinjabalele-er8vr
@salinjabalele-er8vr Год назад
😂😂😂kiukwel Banda halina hadhi ya kukaa waziri kabisa jamaa hajakosea
@danielmollel8225
@danielmollel8225 Год назад
Ila Mungu akupe maisha marefu na ikiwezekana uje kuwa raisi wa nchi hii, kwa hekima yako naamini mambo mengi yatakwenda vizuri
@malkavoice2570
@malkavoice2570 Год назад
We unadhani atatekeleza hata kimoja hapo basi. Hapo anawapoza akisha wapa kisogo imeisha hyo na watu biashara wataendelea nazo hivyo hivyo we subiria utaona.
@nunikayuni3945
@nunikayuni3945 Год назад
Watu wajinga kweli wazili mkuu nikiongozi mnashinda munampongeza kwalipi achukuwemamzi ndiyo mpongeze mnapongeza sauti siyo vitendo
@juliussilvestar8988
@juliussilvestar8988 Год назад
Mal ka voice majaliwa yupo serious hasaaaa na mambo ya msingi
@jeangodelo5349
@jeangodelo5349 Год назад
🙌🙌🙌🙌nimekupenda bure kaka umeongea point ❤️❤️
@rosemarysulle9288
@rosemarysulle9288 Год назад
Ila mwiguli ni shida
@frankmwafifi6712
@frankmwafifi6712 Год назад
Fact tupu
@habibumussa7712
@habibumussa7712 Год назад
Wambie brother nikweli
@LekokoLaisa
@LekokoLaisa Год назад
Ala kk we salamu kuwagu we nime furahia sana lakini viongozi hawa hawapo maswali ambayo ww unasema enda taratibu usije kuwa anakulaumu iii chama chadema awesekani useme ukweli ukisema lakini nifisuri sana ukisema kwamba sirikali anamana asante sana
@bwilumarigo
@bwilumarigo Год назад
Mwambie mwiguru bila kumumunya maneno arisha zoea wizi
@GeorgeBenard-ue2gh
@GeorgeBenard-ue2gh Год назад
Point kubwa
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 Год назад
Duuh Majaliwa tunategemea utusaidie sisi viumbe wa Mungu. Tumekua km popo ndani ya nchi yetu jmn. Mungu mtie nguvu huyu baba atuhurumie waja wako atufanyie wepesi wa kuacha kufanya kazi bure
@januarymbunda8472
@januarymbunda8472 Год назад
Wasemaji wote nimewapata vzry hongereni sanaa
@isaacphilemon5599
@isaacphilemon5599 Год назад
Waziri mkuu anatamani kutoa maamuzi magumu kama ya JPM ya papo kwa papo lakini anakumbuka ambaye yupo juu yake kwa sasa siyo sawa Magu,anaamua kukaa kimya na kuumia na kulilia moyoni,😭😭
@hellenprosper4738
@hellenprosper4738 Год назад
Kabisa yaani hadi amebadilika usoni alivyokasirika
@user-dk7kt4mz3w
@user-dk7kt4mz3w Год назад
Hakika
@pastorb.alaurent1006
@pastorb.alaurent1006 Год назад
@Kweli kiongozi ni jalala Mwingulu aspo elewa bc tena
@vwctvtanzania
@vwctvtanzania Год назад
Hapo wakurugenzi wafanyiwe marekebisho haraka,
@user-yq4uh7gv7f
@user-yq4uh7gv7f 9 месяцев назад
Wajichunguze
@salcle9702
@salcle9702 Год назад
Eric shigongo awe waziri wa fedha.mwigulu hafai kazi kucheka cheka
@melkizedeckmushi5433
@melkizedeckmushi5433 Год назад
Watu wana akili sana wanaamua tu kukaa kimya
@NellyWaKidato
@NellyWaKidato Год назад
Aisee Yaani Itafika Muda Hii Nchi Viongozi Watakuja Kupigwa Kama Mbuzi We Subiri tu
@BarakaJoseph-by9di
@BarakaJoseph-by9di Год назад
Hii nchi kwa sasa ivi hatuna wabunge matatizo yote hayo ilitakiwa wabunge wafikishe coz kwa sababu hatuna wabunge tufikishe wenyewe
@user-cx2qx5fc3w
@user-cx2qx5fc3w Год назад
Waziri mkuu wabane hao majizi wanakula jasho la wanyonge
@ngasikajoel9576
@ngasikajoel9576 Год назад
People got knowledge but they are despised...God help this country
@suzanamwangingo2995
@suzanamwangingo2995 Год назад
Wazili mkuu anamoyo sana naatawasadia tu wafanyabiashala
@Salvador-mj8rk
@Salvador-mj8rk Год назад
Indeed
@mohamedngotwike7969
@mohamedngotwike7969 Год назад
Iv mh rais alitumia kigezo gn kumpa uwazir uyu mwigulu au vibendera vya inch anavyo vaa
@masturasudi7394
@masturasudi7394 Год назад
Safi sana
@NyandaYohana
@NyandaYohana Год назад
Angalia Banda walilo kaliaaa
@ibrahimshilinde6129
@ibrahimshilinde6129 Год назад
Dua la kuku halimpati Mwewe
@nyasijoseph-bt7xw
@nyasijoseph-bt7xw Год назад
Kwanini TRA tuu jmn...Duuuh wabadilike sisi wote wa TZ
@naomisanga6980
@naomisanga6980 Год назад
Kuna watu niwafanya biashara na wana akili balaa yani kweli kabisa kaka kila mtu anasema mimi nasomesha mtoto ili awe Tra maana wana kula hela za bule
@samwelimwalindu3735
@samwelimwalindu3735 Год назад
Uko sahihi biashala ukiimulika Sana nitatizo kitu lisiti umekuwa miladi yawatu
@JuliusMathew-df7ct
@JuliusMathew-df7ct Год назад
Hiyo wizara haiwezi bora atafutwe mtu mwenye vision kubwa kuweza kuondoa sheria zinazokandamiza wafanyabiashara.
@gabonmaseru2686
@gabonmaseru2686 Год назад
Waziri Mkuu ni kiongozi wa wanyonye na mpenda haki , Natamani awe mkuu wa nchi ili maumivu yapungue kwa raia wanyonge
@jonamnyone8014
@jonamnyone8014 Год назад
Mbona wakati wa mzee baba hawa TRA, NIDA, MUNICIPAL walikuwa wamenyooka. Waziri mkuu ongeza ukali
@faustinombilinyi9809
@faustinombilinyi9809 Год назад
Wale NI wateule warais hawez kufanya chochote pale wakurugenz wote mawaziri wote niwateule wa rais hawez kuwa mkali ndugu yangu Ila angekuwa rais angewanyoosha vizuri an
@mako331
@mako331 Год назад
Hii nchi watu wanahasira sana na serikali, na sababu kubwa ni viongozi wapiga dili kila kona, tusipoangalia itakuja kulipuka siku moja, na serikali haitaweza kuzuia hasira hii
@yovithaobed9954
@yovithaobed9954 Год назад
Hiyo siku unakuja watu wanazidi kuwa majasiri Kama huyo brother hapa...bila shaka wanavyizidi kuwakanfamiza wananchi Basi ipo siku watawasha Moto na hakutakuwa mtu wa kuuzima Mana wakati utakuwa umefika Tena watu hawataigipa kifo tena. Mungu ibariki Tanzania, Mungu wabariki viongozi wote, Mungu uwabariki wananchi wote. Amina
@vaxminja9053
@vaxminja9053 Год назад
Eti kengere 😂 mtangaji jitahidi kujifunza matamshi
@arthalesha5825
@arthalesha5825 Год назад
Madevu ana akili sana
@patrickjustus6930
@patrickjustus6930 Год назад
Jamaa safi sana
@mzanjenoreen399
@mzanjenoreen399 Год назад
Kinyama
@martinmsigwa9066
@martinmsigwa9066 Год назад
Mungu atusaidie sana 🥹
@heritier5119
@heritier5119 Год назад
Wakoloni walikuwa na sheria nzuri kuliko zetu
@chezariboy
@chezariboy Год назад
Kwelii. Bora ya sheria za wakoloni kuliko za akina mwguruu
@msafiriomary893
@msafiriomary893 Год назад
TRA HUWA WANAKUWA NA WIVU akiangaria mafanikio yako HUWA hawapendi sababu yeye Hana,
@SilvesterRaphael-xb6it
@SilvesterRaphael-xb6it Год назад
Mwigulu ni kipenz cha wazur hawafi mnampigia kiziwi kengere jamaa hatoki pale mpaka awamu ya mama iishe niko pale mtaniambia
@petertabitha287
@petertabitha287 Год назад
😅😅😅😅
@yusuphswai6851
@yusuphswai6851 Год назад
Mambo nimazur san yanayoongelew lakin akuna ata moja linalofanyiw kazi
@neziajoseph9726
@neziajoseph9726 Год назад
Tena kwa huyo anaejiita kajenjere huyo kaka kanifurahisha sana, wanajikuta sijui Nani wakija kudai ela ya takataka ,yani wanataka ulipe ela kubwa wakati huzalishi takataka zinazolingana na ela wanayodai wakati biashara yenyew wakati mwingine huuzi wao wakija wanataka ela kubwa na taka huzalishi mfano mm nauza mitungi ya gesi tu haya hiyo mitungi inazalisha takataka gani
@daudkhatib-qn5tr
@daudkhatib-qn5tr Год назад
Dahhh. Hapo. Umesema. Ukwelii. Sannaaa. Maaana. Serekali. Hii. Instunana. Sanna
@princekarani7836
@princekarani7836 Год назад
Mmemsikia jamaa uyo,hana mpango wakumrithisha mwanae biashara tena ila anamsomesha ili aingie T.R.A ili achote izo pesa au kama akijaaliwa akapata cheo kikubwa basi asaidie kubadirisha sheria zenye kuleta kero kwa wafanyabiashara
@mussakiziyzi408
@mussakiziyzi408 Год назад
Mnapomlaum wazir wa fedha mnakosea sana Kodi na korokoro nyenqine zote ni mfumo na matakwa ya serikali Ila kidaqaa tu ndio kinamshukia mchemba
@phinumedia4515
@phinumedia4515 Год назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-zaMVuSgHnIM.html WANANCHI WAISHUKURU SERIKALI KWA KUWA TEKELEZEA MIRADI MPANDA
@vwctvtanzania
@vwctvtanzania Год назад
Mwigulu tumia hekima ondokatu baki na ubunge watu hatuna Imani nawewe hata kidogo,
@user-ov3pk3wv1s
@user-ov3pk3wv1s 5 месяцев назад
Madevu kaongea vizurii😂
@mjunicharles1198
@mjunicharles1198 Год назад
Huyi ndo mume Sasa 🤣🤣🤣
@JustineMathias-wj7bd
@JustineMathias-wj7bd Год назад
kama wez wanachomwa moto kumbuken na kuchoma akina mwiguru
@ramak.9587
@ramak.9587 Год назад
Acheni kulia lia endeleeni kuja kenya ndio china yenu
@imelidamfikwa7954
@imelidamfikwa7954 Год назад
Jamaa kavunja 4 hana shida.
@valenakomba9218
@valenakomba9218 Год назад
KWENDA SHULE MBALI, NA AKILI YA UNUNIFU MBALI.
@saidimohamedimgotomgoto979
@saidimohamedimgotomgoto979 Год назад
Mwenye sura ya herahera kazi hunayo
@user-yp7nv3mg4b
@user-yp7nv3mg4b Год назад
Watanzania wamefunguka
@w4058
@w4058 Год назад
Kusema Kweli mnanyanyasika sana na mtanyanyanyasika zaid ondoweni CCM madarakani hawakujalini kabisa nyie mtapiga kelele usiku na mchana 2025 badilikeni na wapinzani nao wakizinguwa wapakane
@user-eb3sr5wi5v
@user-eb3sr5wi5v Год назад
Biashara ni uhuru,jaman,heeee,imezid kukandamizanatu😢😢😢😢😢😢
@aliyageorge6794
@aliyageorge6794 Год назад
Sana! Ila ni aibu sana!
@SimonBundala-ul3mb
@SimonBundala-ul3mb Год назад
Safisana kwakuwasilisha hojo hii mausus .huo niukweli mtupu
@DavidMbwilo-qk1bz
@DavidMbwilo-qk1bz Год назад
Mh Rais tuondolee mwigulu atufai
@w4058
@w4058 Год назад
MMungu akusaidieni
@rayanndizeyes3161
@rayanndizeyes3161 Год назад
asha wenye pesa zao waongeye ukweli bila aho izo sheria zitatungwa wapi??munapo watesa ivyo😈😈😈mashetani
@abbubakarmfinanga57
@abbubakarmfinanga57 Год назад
Msipo Kua makin opo Siku wa tz 2tachefukwa
@niahpike8593
@niahpike8593 Год назад
Ccm ilishashindwa kazi iyo iko wazi lakini kuitoa madarakani ni ngumu sababu wazee na akina mama ni kama wamelogezeaa hiki chama ata usemee mpompompoo hawaelewi!
@malembobulongo3856
@malembobulongo3856 9 месяцев назад
Hatuna waziri WA fedha hapo
@arthalesha5825
@arthalesha5825 Год назад
Mwinguru atoke
@athumanihassani7208
@athumanihassani7208 Год назад
Saway kabissaaa❤
@athumanihassani7208
@athumanihassani7208 Год назад
Waziri mkuu uko vizuri saana
@nairobitv6161
@nairobitv6161 Год назад
Fukuzeni huyo mtuuu jamani nchi inazingua sana...
@MasudiAlly-jj2yh
@MasudiAlly-jj2yh Год назад
Wanajali mifuko yaoo
@AmaniSpaita
@AmaniSpaita Год назад
,,,Mwigulu ni kirusi tena cha Ebola..
@Focusm-se2sd
@Focusm-se2sd Год назад
Kweli kabisa siku zinakuja
@vanessajames2192
@vanessajames2192 Год назад
Hatakiwi kua Waziri huyu Mwigulu kwasabab anaowatumikia hawamtaki yupo hapo kwaajili ya nani?
@senyagwadickson9084
@senyagwadickson9084 Год назад
Hilo tatizo la mgomo wa kaliakoo angekuwepo mwamba JPM hao wote wanalalamikia siku hiyo hiyo wangefikuzwa hasa huyo Mwizi mwigulu na huyo mkuu wa TRA na huyo mama waziri wa biashara yupo hapo kama picha tu ( team Msoga hiyo ndiyo inayowatesa watanzania )
@elisanteshayo3882
@elisanteshayo3882 Год назад
Huyo mwigulu hamna kitu kabisa ni bure
@zabrongermanus-co1jj
@zabrongermanus-co1jj Год назад
Wambie ukweli
@mercypeter162
@mercypeter162 Год назад
Muigulu mwenyewe anadharau anacheka tu yaani kilio hichi cha wananchi kwajili ya mwigulu alitapita bure kamwe.
Далее
Почему Катар богатый? #shorts
0:45
13+ 2 серия
8:17
Просмотров 281 тыс.
A Muslim Man Enters a Church - They Laughed
39:53
Просмотров 1 млн