Daah!! Mh. Waziri mkuu Mungu akupe nguvu uendelee kupata maoni ya makundi mbalimbali nchini!! Naomba pia urudi kwenye kero inaowakabili wafanyakazi nchini
Mheshimiwa waziri mkuu pole Kwa usumbufu unaopata kupitia uzembe wa watu walioko chini yako.Ila kama mtanzania nachukizwa sana na wizi unaofanywa na viongozi wetu wasiyotutakia mema watanzania wenzao hata siye tunapenda kutembelea hayo magari mazuri.Mtupende watanzania kama mzipendavyo familia zenu Asante baba angu mungu akupe afya njema
Ila majaliwa anapaswa kuwa raisi maana hana uongozi wa picha ila anauongoz uliotukuka, NAMMPNDA SANA SEMA WAPO WANAOMZUIA . NAPENDEKEZA AWE RAIS KTK AWAM IJAYO🥰🥰🥰😘😘😘😘😘😘😘
Mhe. Waziri mkuu Majaliwa, nakuombea afya njema na uongozi uliotukuka. Ipo siku yes nakuombea uwe kiongozi mkuu wa inchi yangu Tanzani. Unacho kitu kikubwa kwa ajili ya Tanzania.
Ni kweli tatizo sio sheria ni kanuni zinazotungwa na wahusika kwa faida yao zaidi, hivi risit ya sh 2000 kosa lake ni ml 4 hapo kuna uhalisia, kwa nini isiwe 20% ya hiyo
We unadhani atatekeleza hata kimoja hapo basi. Hapo anawapoza akisha wapa kisogo imeisha hyo na watu biashara wataendelea nazo hivyo hivyo we subiria utaona.
Ala kk we salamu kuwagu we nime furahia sana lakini viongozi hawa hawapo maswali ambayo ww unasema enda taratibu usije kuwa anakulaumu iii chama chadema awesekani useme ukweli ukisema lakini nifisuri sana ukisema kwamba sirikali anamana asante sana
Duuh Majaliwa tunategemea utusaidie sisi viumbe wa Mungu. Tumekua km popo ndani ya nchi yetu jmn. Mungu mtie nguvu huyu baba atuhurumie waja wako atufanyie wepesi wa kuacha kufanya kazi bure
Waziri mkuu anatamani kutoa maamuzi magumu kama ya JPM ya papo kwa papo lakini anakumbuka ambaye yupo juu yake kwa sasa siyo sawa Magu,anaamua kukaa kimya na kuumia na kulilia moyoni,😭😭
Wale NI wateule warais hawez kufanya chochote pale wakurugenz wote mawaziri wote niwateule wa rais hawez kuwa mkali ndugu yangu Ila angekuwa rais angewanyoosha vizuri an
Hii nchi watu wanahasira sana na serikali, na sababu kubwa ni viongozi wapiga dili kila kona, tusipoangalia itakuja kulipuka siku moja, na serikali haitaweza kuzuia hasira hii
Hiyo siku unakuja watu wanazidi kuwa majasiri Kama huyo brother hapa...bila shaka wanavyizidi kuwakanfamiza wananchi Basi ipo siku watawasha Moto na hakutakuwa mtu wa kuuzima Mana wakati utakuwa umefika Tena watu hawataigipa kifo tena. Mungu ibariki Tanzania, Mungu wabariki viongozi wote, Mungu uwabariki wananchi wote. Amina
Tena kwa huyo anaejiita kajenjere huyo kaka kanifurahisha sana, wanajikuta sijui Nani wakija kudai ela ya takataka ,yani wanataka ulipe ela kubwa wakati huzalishi takataka zinazolingana na ela wanayodai wakati biashara yenyew wakati mwingine huuzi wao wakija wanataka ela kubwa na taka huzalishi mfano mm nauza mitungi ya gesi tu haya hiyo mitungi inazalisha takataka gani
Mmemsikia jamaa uyo,hana mpango wakumrithisha mwanae biashara tena ila anamsomesha ili aingie T.R.A ili achote izo pesa au kama akijaaliwa akapata cheo kikubwa basi asaidie kubadirisha sheria zenye kuleta kero kwa wafanyabiashara
Kusema Kweli mnanyanyasika sana na mtanyanyanyasika zaid ondoweni CCM madarakani hawakujalini kabisa nyie mtapiga kelele usiku na mchana 2025 badilikeni na wapinzani nao wakizinguwa wapakane
Ccm ilishashindwa kazi iyo iko wazi lakini kuitoa madarakani ni ngumu sababu wazee na akina mama ni kama wamelogezeaa hiki chama ata usemee mpompompoo hawaelewi!
Hilo tatizo la mgomo wa kaliakoo angekuwepo mwamba JPM hao wote wanalalamikia siku hiyo hiyo wangefikuzwa hasa huyo Mwizi mwigulu na huyo mkuu wa TRA na huyo mama waziri wa biashara yupo hapo kama picha tu ( team Msoga hiyo ndiyo inayowatesa watanzania )