Msimu Huu wa 2023 Tumepewa Nguvu Zaidi na @dstvtanzania @vodacomtanzania @cocacola_kwanza Pamoja na @y9microfinance Ukumbi huu umepambwa na @sadas_choice_events #MwanamkeWaShoka2023 #ChukuaCode : #Wanyooosheee
Sikutarajia Mtumishi wa Mungu kama mama wetu angevalia hivi,kwa mtazamo wangu naona nikama dunia inaowa kanisa, yale mavazi yanavaliwa kwenye sehemu za burudani tuyalete tena kanisani, yule kijana ameketi nyuma yake anafikiri nini, Baba nakupenda lakini kwahili mimi bado ni mtoto naitaji mafunzo yako, MUBARIKIWE.
Yuko hapo stejini kukupa neno chakula cha roho na maarifa....linalokufaa lichukue lisilokufaa muachie yeye mwenyewe...kila mtu ataubeba msalaba wake mwenyewe!!
Kama wao wanaona Kuna maarifa wanayo sisi hatuna na tunapokea basi nao wapokee maarifa yetu wasiokiwa nayo wao Kwa kuwa sisi sote TU viungo kukamilisha miwili wa Kristo
Kuhusu mavazi msikilizeni mch Abiud alipewa ujumbe na Mungu awaam bie wamama wachungaji duniani kuhusu mapambo na uvaani wao unawaongoza waumini kwenda jehanam au mbinguni
Watanzania imani yetu iko kwa mavazi tu au vipi.Inamaa n a ukivaa nguo kama sister wa RC basi wewe ni mtakatifu kweli au vipi😮.mavazi hayana lolote mbele ya Mungu.Adamu na Hawa hawakuwa na nguo .😮
Uvaaji gani huo ,wamama wachungaji badilikeni huo sio utaratibu wa MUNGU wetu tunayemwabudu,,hamna haja ya kupindua ukweli wa biblia,,mwonekano wenu wa nje umtukuze MUNGU kwanza.mbadilike acheni jeuri
Tafta pesa acha makasirikoooo..... Sikiliza neno tembea mbele,. Maswala ya mavaz atajua yey na Mungu wake,. Tena Mrs. Kapola anapendeza HATARIIIIII ❤❤❤mmezoea wamama mchunguji wanavaaa mavitambaaaaa Aiiiiiiiii
Tena upone kweli maana utafika umechoka haswaaa...yaani umeweka bando kuangalia Mrs mchungaji kavaaje looooh!!!....watu wanakimbizana na fursa funguka dada
Kuhusu mavazi msikilizeni mch Abiud alipewa ujumbe na Mungu awaam bie wamama wachungaji duniani kuhusu mapambo na uvaani wao unawaongoza waumini kwenda jehanam au mbinguni