Тёмный
No video :(

RAFIKI wa KARIBU ATOBOA SIRI za KWISA Kwenye HARUSI YAKE, "ALITUAMBIA Tunanuka"... 

Global TV  Online
Подписаться 5 млн
Просмотров 31 тыс.
50% 1

RAFIKI wa KARIBU ATOBOA SIRI za KWISA Kwenye HARUSI YAKE, "ALITUAMBIA Tunanuka"...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 114   
@everlinekikwesha2604
@everlinekikwesha2604 2 года назад
Sijamwelewa kabisa uyo dada,mbona kaongea pumba🙄😏😏
@ashuraumari1322
@ashuraumari1322 2 года назад
Umezingua Leo umemsababisha bi harusi anune😏😏😏
@lylyjaydia3714
@lylyjaydia3714 2 года назад
Uyu dada Vipi anaongeya mengi amejisahaw kama Iko ku harusi,mama harusi amenuna
@juditholotu7249
@juditholotu7249 2 года назад
Bi harusi hajapenda kabisa hayo maneno 😄
@ramabwagizo3974
@ramabwagizo3974 2 года назад
Bi harus amechukizwa na hayo maneno ya huyo dada anayejiita rafiki wa kwisa ,yani ameongea hadi anakera
@lysandrasalv2908
@lysandrasalv2908 2 года назад
Sana huyo dada anakera jmn
@khadijasaid5461
@khadijasaid5461 2 года назад
Kama kakasiriswa na huyu dada basi atakuwa na shida sio bure
@kiki-ko8vi
@kiki-ko8vi 2 года назад
😅kumekuchaaaa
@grecebakari6458
@grecebakari6458 2 года назад
Jamani bi harusi pole najua umeumia 😥😂😂
@naomilukani2279
@naomilukani2279 2 года назад
Dah! Huyu rafiki anaongea sana hata sijui hiyo story inamaanisha Nini ! Jamani jamani jamani kumbe
@usindemdamo5299
@usindemdamo5299 2 года назад
Yaan ningekuwa mimi ningemtoa nishai 2 bahati sijakuwepo kwenye hiyo harusi nipo mbali, yoko wewe. Kwendaaa
@dayana5513story
@dayana5513story 2 года назад
Watz mnamaneno,maisha ya kizungu ayo
@evakiwia1052
@evakiwia1052 2 года назад
Bi harus kakwazik muone anavyoangalia,mara kapinda Shingo,mara kakuna kichwa
@carinamatt1031
@carinamatt1031 2 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@alfredycarrentals7357
@alfredycarrentals7357 2 года назад
Kana wivu ako ka bi harusii!!
@mariamnahodha2390
@mariamnahodha2390 2 года назад
Huyu Dada hafahamu neno aibu.kuna mengine sio ya kuongea
@lysandrasalv2908
@lysandrasalv2908 2 года назад
Yaaaan seeeee
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 2 года назад
Namsubiri aje nyumbani atanikoma,atalipia yote
@annastaziamichael6344
@annastaziamichael6344 2 года назад
Jamani jamani hyu dada mweeee
@aishaimam1442
@aishaimam1442 2 года назад
Janamke hili litakua limemloga kwissa ...janamke baya na tabia mbaya hata kuficha kisiran chake mbele za watu hanashindwa ..kama hapa hv je huko kwengine yukoje
@josephmanyama9012
@josephmanyama9012 2 года назад
Bhana wewe yani ni balaaaaaa mwanamke kakomaaaaaa hadi anatia kero kisirani live kweli duuuu yani kila wakati kisirani kila muda kisirani ila wamakonde wachawi tena alikuwa muislam kabadili dini hapo ndio kazi kudadadeki hahahhaha🤣🤣
@joycehaule9717
@joycehaule9717 2 года назад
Hapana hajamloga dada dah Ila tu hakumkumbatia Ila hajamloga jaman daaa msiseme ilhivyo dhambi Mungu HAPENDI
@aishaimam1442
@aishaimam1442 2 года назад
Sawa lv nmekuelewa
@denabosta7599
@denabosta7599 2 года назад
Hahaa
@lysandrasalv2908
@lysandrasalv2908 2 года назад
@@josephmanyama9012 yaaaan hana adabu amenyooooka utazani nn cjui kweli penye ukweli ubaya hujitenga
@nuruheartaman3466
@nuruheartaman3466 2 года назад
Rahaaa
@joycehaule9717
@joycehaule9717 2 года назад
Hahahhaa bibiarusi
@sonicaghendewa9886
@sonicaghendewa9886 2 года назад
Au Dada uyu Dada anampenda kwisa????
@lysandrasalv2908
@lysandrasalv2908 2 года назад
Yaaaaan kwakweli huyu dada ni xhida
@heavenlight5084
@heavenlight5084 2 года назад
Mmh
@rhamsindahamisi5257
@rhamsindahamisi5257 2 года назад
Huyu dada kamtolea modi bi harusi kbx
@alfredycarrentals7357
@alfredycarrentals7357 2 года назад
Moto moto tuu,
@christiannyamamba9089
@christiannyamamba9089 2 года назад
Mbona demu lenyewe limenuna
@sophyjuma8201
@sophyjuma8201 2 года назад
Kumbe na nyie mmeona jaman afu libaya usoni
@asifiwekitunga4655
@asifiwekitunga4655 2 года назад
Kwani kwisa mzuri😂
@yvetteuwase2740
@yvetteuwase2740 2 года назад
Biharusi 😀😀😀😀
@restutaemmanuel7858
@restutaemmanuel7858 2 года назад
Dada mshenzi,iv mnamwelewa jmn
@zakyahya4645
@zakyahya4645 2 года назад
Love iyo kwema jamani mbona kama kaleta wivu apa
@nathaliashayo3289
@nathaliashayo3289 2 года назад
Mueleww hii ni siku yawatu wawili tuu na mtu watatu katoka wapi, tena anampenda kuliko hata aje nani,,jamani kiukweli mdada amevuka mipaka natena huenda akawa, ndio kitenganish cha ndoa hii,wadada tafadhali rafiki yako anapokuwa na harusi jaribu kuzuia mengine aio kuongea tuu ,utakwaza wenye sikuku yao
@joycehaule9717
@joycehaule9717 2 года назад
Mimi binafsi nisinge KASIRIKA hadharani Ila natamani wifi yetu amhug hug Kaka yetu hayo ndo Mambo yake
@lysandrasalv2908
@lysandrasalv2908 2 года назад
Anajifanya mzungu hana lolotee ....anakua km cyo m2 mzima Hana limits kabsa nae kwisa tukwambie ukweli unamuachaje mke wako juu anaenda kwa hicho kimwanamke ulikipa bichwaa
@fridaphilemon8898
@fridaphilemon8898 2 года назад
Khaaaa
@fettyabiola1389
@fettyabiola1389 2 года назад
Kumbe bongo waswahili WaPo wengi, sasa uyo dada ana kosa gani, wanaish kizungu miaka mingi wapo pamoja ,uyo mwana mke wake na miaka yote waliokaa ndo hajui watu wa karibu na kwisa. Ana hashuo tu.
@evakiwia1052
@evakiwia1052 2 года назад
Mbona km bi harus ana jealous fulan
@sarahgaula2220
@sarahgaula2220 2 года назад
Mbona Bi Harusi yuko kawaida tu mlitaka afanyaje?
@jayjay4313
@jayjay4313 2 года назад
Eti bi harusi nae kajibu " raHA" 🤣. Do huyo dada anaongea mpaka kazidi kero.
@lysandrasalv2908
@lysandrasalv2908 2 года назад
Kabsa cjui yukoje
@jayjay4313
@jayjay4313 2 года назад
@@lysandrasalv2908 Ni dada poa sana ika tatizo lake anafunguka mpaka ya kabatini. Utasema sasa alipata nafasi ya jukwaa. Sio tatizo lake ila atafite la kwake ili wa tz tujue na tumuelewe. Hapo tu! Ala
@lysandrasalv2908
@lysandrasalv2908 2 года назад
@@jayjay4313 kabsa 🙌
@khadijahali4837
@khadijahali4837 2 года назад
Sijui umeongelea stori ngapi
@deborangura2712
@deborangura2712 2 года назад
Yan story mchanganyiko kma kachumbari
@georgemaduga2406
@georgemaduga2406 2 года назад
Khaa unaongea sana mpaka unamuuzi bi.arusiii
@angelsandemu2464
@angelsandemu2464 2 года назад
Sifa
@jamilajamila4572
@jamilajamila4572 2 года назад
Urafik wakaida tuu hapo watu wanafikiria niwapenz hapana
@angelngoye4910
@angelngoye4910 2 года назад
Sijapenda anavyoongea
@khadijasaid5461
@khadijasaid5461 2 года назад
Kama bibiharusi kakasirika kisa huyu dada basi atapata tabu sana
@ashurachariomar4193
@ashurachariomar4193 2 года назад
Sasa unampa ujumbe gan biharus
@beautyibrahim8428
@beautyibrahim8428 2 года назад
Ssa hyo dada ndio alitakiwa awe mke kwisa
@sabahiali6021
@sabahiali6021 2 года назад
Hahahhahaha
@beautyibrahim8428
@beautyibrahim8428 2 года назад
@@sabahiali6021 kweli yaan wamependezana sio hyo mke wake anaonekana anakisiran ata kutabasam kazu
@lysandrasalv2908
@lysandrasalv2908 2 года назад
We dada unayeongea hivi umeolewa tayar ???? Ama unataka uje upigwe kibao unachostahili na muumba wako
@lysandrasalv2908
@lysandrasalv2908 2 года назад
@@beautyibrahim8428 ndio xhida ya nyie wabongo mkipewa tuuu kipande mxhajadili km mlikuepo .. harusi wenzenu tumeiangalia mwa....mwiii ndio maana twawashangaaa hamjui msemalo mxyuuuuuuuuuuh
@beautyibrahim8428
@beautyibrahim8428 2 года назад
@@lysandrasalv2908 hivyo vibao ntakuwa wa kwanza mm
@salomemchewa5187
@salomemchewa5187 2 года назад
Kwani hamwezi huongea kiswahili. Mbona. Mnakuwa washamba, , umeonges vitu ambavyo havihusiki kwenye harusi
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 2 года назад
kabsa yaan
@scholaredwardo6383
@scholaredwardo6383 2 года назад
Kanikera kama nn
@salomemchewa5187
@salomemchewa5187 2 года назад
@@scholaredwardo6383 watanzania tunaasili ya ushamba jamani,, wanataka spich za wazungu halafu hawaziwezi, , aibu tupu
@scholaredwardo6383
@scholaredwardo6383 2 года назад
Yaan kaongea had bwana harus kaenda kumkumbatia ili tu asiendelee kuongea lkn wapi kaendelea alafu sijui kama alilia nika ma niliona kalia kwakwel chefu sana kama huna chakusema bana kona kausha
@salomemchewa5187
@salomemchewa5187 2 года назад
@@scholaredwardo6383 ndomana sikuhizi watu , wanafanya sherehe za kizungu, watu wachache na mtu spesho wa kuongea basi siyo kila mtu,, manaweka watu wengi, halafu mnatiana aibu, hizo harusi za watu wengi zimepitwa na wakati
@hildegundembilinyi9042
@hildegundembilinyi9042 2 года назад
Masikini bi harusi ametia huruma
@salmaghalib5474
@salmaghalib5474 2 года назад
Kwa nini unajidai kwa lugha sio yakwako
@mealiimusa5465
@mealiimusa5465 2 года назад
😂😂
@abdulymchomvu6766
@abdulymchomvu6766 2 года назад
Umekunyw nn jmn
@zamzamabdi5279
@zamzamabdi5279 2 года назад
Kkk abduly huyu bure Sana.kiherere Sana.
@zamzamabdi5279
@zamzamabdi5279 2 года назад
Sasa Mimi nimeshanga.huyu kkkk
@josephmanyama9012
@josephmanyama9012 2 года назад
Yani jana niliangalia hiyo harusi live clous tv yani huyo bibi harusi hakuna kiti hapo amenuna hadi kwenye zawadi yani watu wanamtunza pesa yeye amenuna tuuuu ila pesa anakumbatia tuuuu huyo sio mke kabisa hayuko romantic kabisa yani
@carinamatt1031
@carinamatt1031 2 года назад
Yatamkuta makubwa ndugu yetu maana km wa nje mmeona hili ndani moto utawaka
@sophyjuma8201
@sophyjuma8201 2 года назад
Ni kweli kaka hata mm nimeliona hlo Jana mpaka nikajiuliza Yan hatak hata kukumbtiwa na watu afu libaya uson
@aishaimam1442
@aishaimam1442 2 года назад
Huyu mmakonde atakua kamliga kwisa janamke gan hata kuficha kisiran mbele za watu hawez🤨🤨
@joycehaule9717
@joycehaule9717 2 года назад
Kwenye uromantic hapo hata mm cjaona Mana mwanaume kazoeya Mambo ya ulaya ulaya kukumbatiana SA kumbe wamesha zaa sa mbona hata wanalishana cake no mikumbatio Hadi waambiwe jamani daaah NDO NINI MAMA KWISA UGWE IFINDU FIKI MWE?!
@happymwambipile9095
@happymwambipile9095 2 года назад
@@joycehaule9717 andegheeee
@kyandonaomi8368
@kyandonaomi8368 2 года назад
Punguza maneno dada unaonge utumbo mtup harus sio yako
@sonicaghendewa9886
@sonicaghendewa9886 2 года назад
😂
@ahmadshaaban9814
@ahmadshaaban9814 2 года назад
,
@denabosta7599
@denabosta7599 2 года назад
Wivu wa kijinga
Далее
Dalili Za Mwanaume Anaekupenda Kwa Dhati
6:19
Просмотров 333 тыс.
MILLION JAMOASI 2024 4K
2:17:51
Просмотров 12 млн
How to get Spongebob El Primo FOR FREE!
01:36
Просмотров 13 млн
Паук
01:01
Просмотров 2,6 млн
August 27, 2024
3:23
Просмотров 1 тыс.
CHANZO CHA UMASIKINI - Part 1
13:47
Просмотров 324 тыс.
MILLION JAMOASI 2024 4K
2:17:51
Просмотров 12 млн