Sehemu ya pili ya maongezi yetu na AY kupitia The Classic ambako umu anaongelea mengi kuhusu baadhi ya nyimbo zake classic kama Machoni kama watu na,Hii leo na nyenginezo
Sema Bro.Jabir Bin Saleh nimefuatilia interviews zako nyingi sn sn kwa namna unavyo muhoji muhusika na kila muhusika ana namna yke ya kufanyiwa interview lkn kwny hii interview na AY au Masta nimegundua kuwa ili umchimbe Masta zaid lazime uwe ndani ya hyo story ili ukiielezea hata km haijakamilika au ina mapungufu basi AY anakupa muendelezo full 😂😂😂 Bro You are so slick 🙌🙌🙌 hiki kipind km kingekuwa STATE bro dah ungekuwa na mipesa mingi sn bro
Demu wakibongo muulize kama anaboy// atajibu Sina aliekua nae ayupo kaenda mtoni hii //kitu fashion au mchanga machoni au professional fix aka boshen//ay uliua sana hapa.
Kifupi hawa jamaa ni kama Klopp na Pep yaan kuna mmoja apo akiingia tu mfumo wa mwenzake bas atachezea tu so Pep ni nani au Klopp ni nani mtajua ninyi😅🔥
Sema Bro.Jabir Bin Saleh nimefuatilia interviews zako nyingi sn sn kwa namna unavyo muhoji muhusika na kila muhusika ana namna yke ya kufanyiwa interview lkn kwny hii interview na AY au Masta nimegundua kuwa ili umchimbe Masta zaid lazime uwe ndani ya hyo story ili ukiielezea hata km haijakamilika au ina mapungufu basi AY anakupa muendelezo full 😂😂😂 Bro You are so slick 🙌🙌🙌 hiki kipind km kingekuwa STATE bro dah ungekuwa na mipesa mingi sn bro