Тёмный

🔴 

John Ngollo
Подписаться 44 тыс.
Просмотров 12 тыс.
50% 1

#mpina

Опубликовано:

 

1 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 56   
@user-mm6sm9rt9x
@user-mm6sm9rt9x 12 дней назад
Asante kumpigia MPINA makofi Mimi nilishampigia sana makofi baada ya kusikiliza ueledi wake. Uzalendo wake. Na pia kujitoa kwake Kwa taifa hasa Kwa WATANGANYIKA. ILA NASIKITIKA sana kuona WATANGANYIKA HATUMUUNGI MKONO VYA Kutosha.
@nestor384
@nestor384 11 дней назад
Uko vizuri mhe. Mpina spoke the truth
@DottoMussa-ro6rw
@DottoMussa-ro6rw 8 дней назад
mpina mwamba
@hajjisanga789
@hajjisanga789 6 дней назад
Mpina si alituchomea nyavu zetu wavuvi sasa yeye aliwatetea wazalendo gani
@ceciliamagalabajimmy4391
@ceciliamagalabajimmy4391 12 дней назад
Kweli kabisa
@FredymaswiMwita-oj6gv
@FredymaswiMwita-oj6gv 12 дней назад
duh duh duh
@lupyanamatimbwi8064
@lupyanamatimbwi8064 3 дня назад
Mpina
@jacksonmsele1500
@jacksonmsele1500 12 дней назад
Hehe here
@victorkisenha5933
@victorkisenha5933 9 дней назад
Ni kweli,
@janethpallangyo3855
@janethpallangyo3855 10 дней назад
Mpina❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@user-lt1bi5nr1x
@user-lt1bi5nr1x 7 дней назад
Ufisadi kwao ccm
@davidlyamboko7477
@davidlyamboko7477 10 дней назад
Twendeni polepole ndugu zangu, haya ni mapito tu. Msije kupita mitaani mmeinamisha vichwa, hakuna mjinga Nji hii.
@praygodmawalla7884
@praygodmawalla7884 11 дней назад
Huyu nabii ni shida. Sheria hazijui viziti au anajua sana . Nilichopenda ni kutambua Mpina ni mkweli.
@SanziNzige
@SanziNzige 7 дней назад
Hivi huyu anaeongea huyu katoka wapi.anajitambua kweli.tanzania wamerogwa na aliekufa.maneno anayoongea huyu yanaeza kukutoa kamasi
@MinskBelarus-il2tl
@MinskBelarus-il2tl 5 дней назад
SIJAWAHI kuona mtoto wa Maskini anahojiwa na hata Tai huwa havai na haimtoshi😅😅😅😅 inaelekea huyu jamaa ana Ofisi Sokoni....maana yake hapo alipo kuna KELELE mno
@victorkisenha5933
@victorkisenha5933 9 дней назад
Baba upo na akili nyingi sana, pokea 100%
@nabiimgongolwa8728
@nabiimgongolwa8728 12 дней назад
AU NYIE NDO MNANUFAKA KUAGIZA SUKARI?
@petermogha7025
@petermogha7025 12 дней назад
Mpina nakuomba tulia ukiamia cdm utapitea kama nyalandu usiwasikilize
@ZaidSeifSuleiman
@ZaidSeifSuleiman 11 дней назад
Kwa dalili ccm kumuacha 2025 si rahisi lazima wampige panga
@user-uh3eg5cj2r
@user-uh3eg5cj2r 10 дней назад
Tulishangaa tulia kulalia nafac kubwa kiasi kile! Lkn your NEVER KNOW!!!
@user-lt1bi5nr1x
@user-lt1bi5nr1x 7 дней назад
Hakuna kuhama chama banana nao humohumo
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 11 дней назад
Na athithubutu kwenda Chadema hata kama hataendelea na Ubunge
@pancrasluoga4584
@pancrasluoga4584 11 дней назад
Unauliza usenge gani we kiumbe😮
@Mima-cl2im
@Mima-cl2im 11 дней назад
Kichwa cha habari kinapotosha
@eliakazilo6078
@eliakazilo6078 6 дней назад
Mpina hawezi kuhama ccm.kwa sababu anaipenda ccm saana.isipokuwa yeye ameamua kujitoa muhanga ,ili ccm na wananchi wapone...na wote wanaompinga Mpina ,ni wapigaji .na swala hili lina mtu mkubwaa
@user-sw7tf1ob1b
@user-sw7tf1ob1b 9 дней назад
Aungane na machinga siyo vyama vya upinzani atuhamasishe tuiondowe ccm
@majaliwabwitonde6900
@majaliwabwitonde6900 11 дней назад
Huyu ametoka wapi tena 😂😂😂
@omarkapula588
@omarkapula588 11 дней назад
Mchukueni hata muda huu
@user-ux3xu9gs8d
@user-ux3xu9gs8d 6 дней назад
Tuna itaji mabadiliko ya chama kingine sio chadema wala ccm
@DaimonMwapelele
@DaimonMwapelele 9 дней назад
Tulia amepewa uspika wa mabunge dunian il tanzania iwe pango la mashoga wazungu sio wajinga, sasa yanayotokea tsnzania watoto mpaka madhulen wanalawitiwa
@Aminmwansile-we8vn
@Aminmwansile-we8vn 9 дней назад
Kwa hyo waliomchagua hawana akili?
@YORAMYETERO
@YORAMYETERO 12 дней назад
Mpina kaza buti na wasikundanganye kuhama baki huko ulipo
@FelicianSimon
@FelicianSimon 12 дней назад
Ataongea ukweli na atabaki kuwa kijani
@monicamwita7865
@monicamwita7865 10 дней назад
Hawampendi hapo alipo2 amewaumnua
@enziseme4712
@enziseme4712 11 дней назад
Huyu mzee kaamua kufanya komed ya siasa, eti Dr Tulia hana sifa duuh!!! Kweli nabili na watu wa kwao!!
@Mima-cl2im
@Mima-cl2im 11 дней назад
Bashe ni waziri kaajiliwa na watanzania. CCM Itaongoza maisha kwasababu wanaongoza wajinga. Wananchi hawajuwi haki zawo. Na serikali inajua. Mpina asikae kimya aende tu mahakani watanzania wengi wanangoja kuona haki inatendeka. Hata kama akikosa haki, kuta kuwa na record ya watoto wetu kujifunza.
@user-ev2xf1tv3w
@user-ev2xf1tv3w 12 дней назад
Mtu mzima unaongea utumbo uo kwahyo unatak nayeye awe mjinga kama waninga wengine et
@monicamwita7865
@monicamwita7865 10 дней назад
Manganese usiyejitambua
@victaboy7273
@victaboy7273 12 дней назад
Kwani na huyu ni nani sasa
@MinskBelarus-il2tl
@MinskBelarus-il2tl 5 дней назад
Huyu ni baba yake KENYONYO
@Mima-cl2im
@Mima-cl2im 11 дней назад
Hakuna lolote Chadema. Tanzania haiko huru. Hatuna upinzani, na wanaotuongoza kwa sasa wanatumia ujanja na mabavu kuzuwia watu kuanzisha vyama vipya kwa kuweka mashariti yasiyokuwa na haki. Kama Bashe harachukuliwa hatuwa, Basi watanzania tukate tamaa. Serikali inawaonea watanzania kwa upole wawo. Nchi hii haina amani bali wananchi wamenyimwa haki zawo, wachache walio Iteka nchi wanatuongoza kwa mabavu.
@MeshackRobert-c4k
@MeshackRobert-c4k 6 дней назад
Wewe hakuna unachokiongea wewe Mpina hajakosea
@FelicianSimon
@FelicianSimon 12 дней назад
Ww mzee nimegundua unashida ya akili kwani magufuri alikuwa chadema mbona alisema ukwe siasa ya Tanzania inatakiwa ikomae watu waishi kwa wanayo amini ww na wengine wengi munaishi kwa mkumbo sio nyinyi kusimama mm binafsi na simama na MH MPINA
@margarethsolomon9823
@margarethsolomon9823 11 дней назад
Felician wewe ndio akili haziko sawa, yakupasa ukapimwe akili zako. Bado una blanketi usoni mwako .Ujinga umekujaa hadi kwenye 😏😏😏
@hajihassan5433
@hajihassan5433 11 дней назад
Unaongea ujinga kweli, vigezo vya Spika waliomchagua duniani ni watu wenye akili timamu. Hivi bila kujali hoja ya Mpina kuwa ni nzuri au mbaya kweli hukuona utovu wa nidham aliofanya? Mpina ni Mbunge kwa kipindi cha nne sasa katoka hewani lini kutuelezea ajenda ya mkutano wa Bunge jambo ambalo Watanzania ni haki tunayokoseshwa na Wabunge.
@hassanmitayo1875
@hassanmitayo1875 11 дней назад
Kwani wabunge wanawake wa Chadema wakijiuzuru kwa kukiheshimu chama chao spika atawalazimisha wabaki?,
@hajihassan5433
@hajihassan5433 11 дней назад
Mbunge kuingia au kutoka Bungeni haihusiani na Spika ni Tume ya Uchaguzi NEC ndio wanaohusika na hilo. Ni ujinga wa watu kumvamia Spika badala ya Tume ya Uchaguzi.
@user-ze6lx9ng6s
@user-ze6lx9ng6s 11 дней назад
Mpina ndiyo mbunge mazarendo anatetea wananchi,bashe kabadilika kwa Sasa
@2003hintay
@2003hintay 12 дней назад
Mpina anausongo wa madaraka baada ya kupigwa chini uwaziri, wewe pia hapo ni muongo
@usembiphonedar5632
@usembiphonedar5632 12 дней назад
Hayo ni ya kwako yeye hajakwambia hayo unayowaza! Jichunguze afya ya akili!
@FelicianSimon
@FelicianSimon 12 дней назад
​@@usembiphonedar5632umeongea ukweli mtupu
@RubenMtuwaMungu-bz8ee
@RubenMtuwaMungu-bz8ee 11 дней назад
Afya ya akili ni tatizo kwa baadhi ya watanzania badala ya kujadili hoja iliyopo mtu anajadili hisia zake. Sasa huo si uchuro.😂😂😂😂
@phabianshimba6791
@phabianshimba6791 11 дней назад
Ubongo wako upo sawa wewe?
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 11 дней назад
Hawezi kuja Chadema kamwe na asithubutu kugombana ndani ya Ccm ni kitu cha kawaida
Далее
My Puzzle Robot is 200x Faster Than a Human
21:21
Просмотров 4 млн