Тёмный

Ijue historia ya mtoni kwa AZIZI ALLY, tajiri aliyemkataza NYERERE kuvaa kaptula 

Vimba Media
Подписаться 677 тыс.
Просмотров 75 тыс.
50% 1

__
Harakati za Bongo is an online magazine that specializes in educations stories and entertainment stories from Tanzania.
Harakati za Bongo, Aloso abbreviated as HZB was started 2011 by John Sambila,who had a passion for wrinting and photography from the time he was young.
*******************************************
Share, Support, Subscribe!!!
Subscribe: UC-4fDfmsXy9hIcEmPKbARIQ
RU-vid: / hzbtv
Twitter: / harakatizabongo
Facebook: / harakatizabongo
Instagram: / harakatizabongo
Google Plus: plus.google.com/+harakatizabongo
Website: harakatibongo.com/

Развлечения

Опубликовано:

 

2 авг 2019

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 80   
@shifaaal-baity4503
@shifaaal-baity4503 3 года назад
Allah amrehemu na amrzuqu pepo ya juu kabisa Azeez Ali
@jumakisailo1066
@jumakisailo1066 2 года назад
Mwenyeezimungu amsamehe makosa yake na amlaze mahala pema peponi. In-shaallah..❤️❤️❤️
@jumakisailo1066
@jumakisailo1066 2 года назад
Ama kweli historia ya Azizi Ally imenisisimua vilivyo..❤️😭
@azadida801
@azadida801 2 года назад
Allah amsamehe, amhurumie, na ampe makazi firdausi mwamba kabisa huyu aziz ally na wazazi wake na vizazi vyake. Amiin
@christopherkiswaga9270
@christopherkiswaga9270 Месяц назад
Hizi ni shuhuda zinapaswa kukifundisha kizazi chetu kuipenda nchi yetu , watu , na kuwapa heshima viongozi ambao Mungu amewaweka kuongoza nchi yetu.
@khadijambuya794
@khadijambuya794 2 года назад
Mwenyezi mungu amrehemu in shaallah
@harounbuzohera4797
@harounbuzohera4797 2 года назад
Historia stahiki. ASANTE MZEE WETU AZIZ ALLY KIDONYO.Mwenyezi MUNGU akulaze mahala pema peponi.
@ashritaabdallah6474
@ashritaabdallah6474 4 года назад
Mashallah Allah amsamehe amfanyie kaburi lake kua nyumba ya peponi aamiyna
@shifaaal-baity4503
@shifaaal-baity4503 3 года назад
Ameen
@aminaomary5567
@aminaomary5567 4 месяца назад
Ni kweli na ndio maana Waislam ni wengi sana kuliko kiriso❤❤❤👍👍👍mtangazaji ongera sana'tuletee mambo mengine mazuri
@mzuvendi
@mzuvendi 3 года назад
Allah amrehemu..wengi wa waasisi wa Tanganyika Nyerere alihakikisha wanafutika..Kitabu cha mwana historia Mohamed Said kinachambua habari zao kwa urefu zaidi...
@stanslausmteme8455
@stanslausmteme8455 2 года назад
Mohamed said anamengi sn yule mzee ni hazina
@msellemseif3102
@msellemseif3102 Год назад
Kwa hakika ni hazina..
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 3 года назад
Mungu amrehemu!!!
@abdallahhamza9689
@abdallahhamza9689 4 года назад
Wazee wengi wakiislamu wamefunikwa Mungu anawaona
@shifaaal-baity4503
@shifaaal-baity4503 3 года назад
Kweli kabisa 😢
@jumabakary2796
@jumabakary2796 Год назад
Mungu mlaze pema peponi mzee wetu Aziz Ally
@halimasalim6629
@halimasalim6629 3 года назад
Mashallah Allah amrehemu ampe jannah
@lawrencehezronmwakalebela2738
@lawrencehezronmwakalebela2738 3 года назад
Uko vizuri. Ila uliposema mwafrica wa kwanza kununua gari umekosea labda useme mtanzania wa kwanza kununua gari
@chomaroyalchiefdom1907
@chomaroyalchiefdom1907 3 года назад
Nchi inayoitwa Tanzania haikuwepo, imezaliwa baada ya kuungana na Zanzibar mwaka 1964. Pengine labda angesema ni Mtanganyika wa kwanza kwenye eneo hilo la Mtoni kununua gari.
@maulidmtowi3937
@maulidmtowi3937 4 года назад
Kweli haki aipotei japo itacheleweshwa ila ipo siku itakufikia tu HISTORIA HAIFICHIKI HASWA IKIWA NZURI KAMA HII SAFI SANA endeleeni kutufukulia makabur yaliyo fichwa kwenye hii nchi yapo mengi tu
@lucasthomas188
@lucasthomas188 11 месяцев назад
Yapi sasa jaamani tena🤣🤣🤣
@111dudi
@111dudi 4 года назад
Nimefurahi historian ya Aziz Ali imefukuliwa. Natamani mchango wake zaidi atolewe ujulikane. Hatajwi katika historia ya wanaharakati wa uhuru. Tulifundishwa kuwa Nyerere ndiye aliyekuwa kila kitu katika TANU. Aziz na wenzake walitupiliwa mbali na Nyerere na wala hakuwataja wala kuwajali. Picha zinawasuta.wengi wao walikuwa ni waislam ambayo Leo hawamo katika kutawala wala chama
@salumkanju1732
@salumkanju1732 4 года назад
Leo nimepata mwanga, Kilasiku nilikuwa najiuliza huyu Aziz Ally alikuwa ni nani mpaka eneo kubwa la temeke likapewa jina lake, Yani itokee tu eneo liitwe jina lamtu bila lolote jambo??? Nimesikiliza na kuelewa mambo vizuri, Baba yangu aliwahi kunisimulia sana habar hizi za uhuru wa Tanganyika ila sehem kubwa alisema ukweli umefichwa mwanangu soma zaidi iko siku yatakutoka machozi haki ikijulikana....leo hii nimeziona apo picha ambazo baba akinisimulia alikuwa akinionesha roho inaniuma nimelia sana adi watoto wangu wananishangaaa...HAMZA AZIZ alipewa ukuu wa polisi 1972-1973 kisha akaambulia kashfa kutokana na dini yake....
@shifaaal-baity4503
@shifaaal-baity4503 3 года назад
@@salumkanju1732 iko siku tutakutana wote mbele ya Allah na kila mtu atapata haki yake
@seifserenge3340
@seifserenge3340 Месяц назад
Tunaomba hii historia uindeleze tujue zaidi ya hapo
@khalifanassor9072
@khalifanassor9072 3 года назад
Allah awarehemu
@muh_tz
@muh_tz 5 лет назад
Kwa Azizi Ally.... Shushaaaaaa!!!
@samuelm2742
@samuelm2742 5 лет назад
Watu kama hawa hawato patikana tena daima
@hafidhothman4588
@hafidhothman4588 3 года назад
Hahahahhaha
@dioskorimtalo2348
@dioskorimtalo2348 2 года назад
Hakika huyu alikua mtu mwema sana. Tena akabarikiwa mali nyingi , mtu ana lorry Tipper mwaka 1930. Leo vijana akinunua Spacio hawasalimii watu. Nyambaffff
@capteinchuimchafu7894
@capteinchuimchafu7894 2 года назад
🤣🤣😂😂😂🤣🤣😂😂
@gracejulius3966
@gracejulius3966 2 года назад
Usinivunje mbavu
@dioskorimtalo2348
@dioskorimtalo2348 2 года назад
Ndio hivyo Grace hahahaha
@hamzakimaro3764
@hamzakimaro3764 2 года назад
HAKIKA NYERERE ALIKUWA MWIZI WA FADHILA!!
@zainulahmed8206
@zainulahmed8206 Год назад
Niskilize izo story za uwongo tu ntafanyaje
@emamuharamain4552
@emamuharamain4552 4 года назад
Sisi tukiwaambia kua uhuru wa nchi hii asili ya imetoka kwa Waislamu lakin hamtaki, na bado mtakuja kueleza kila haki INSHAALLAAH,
@Kibaba12
@Kibaba12 4 года назад
Sijawahi kuona mtu mwenye uelewa mdogo kama wewe asee
@mzuvendi
@mzuvendi 3 года назад
@@Kibaba12 inaonyesha wee ni nyumbu khasa!
@Kibaba12
@Kibaba12 3 года назад
cool moods sawa naona mlimchagu sheikh kuwa na raisi wa kwanza wa nchi sio
@shifaaal-baity4503
@shifaaal-baity4503 3 года назад
Kweli kabisa..nimesikia story ya bibi zaituni matola na wenzie wengi wote waislamu kule mbeya bi zatuni Allah amrehemu alikua akimficha rais Nyerere kwa kumvisha baibui ili asionekane na wa British
@shifaaal-baity4503
@shifaaal-baity4503 3 года назад
@@mzuvendi 👍🏻👍🏻
@mohammedhimba1647
@mohammedhimba1647 2 года назад
Si utani mungu inajua
@r14kgroup68
@r14kgroup68 3 года назад
Stori tam
@bestman8182
@bestman8182 Месяц назад
Kiingereza sasa😅😅😅
@saidiswalehe566
@saidiswalehe566 3 года назад
Abalikiwe
@mugabugadi
@mugabugadi Год назад
Nawapa ta
@simonnembomadola7512
@simonnembomadola7512 Год назад
Uhuru umepiganwa na Waislam na baada ya Uhuru waislam wakasaulikwa rasmi
@lucasthomas188
@lucasthomas188 11 месяцев назад
Kwa hiyo
@fj8317
@fj8317 8 месяцев назад
acha udini uhuru umepiganiwa na watanganyika
@simonnembomadola7512
@simonnembomadola7512 8 месяцев назад
@@fj8317 Aisee,unaitoa hufahamu.Watanganyika hawana din?
@aminaomary5567
@aminaomary5567 2 года назад
Safi mtangazaji tulikuwa hatujui jina ilo limetoka wapi?tujuze na wazee wengine maarufu.
@humoudmohammad3125
@humoudmohammad3125 3 года назад
.
@khalifanassor9072
@khalifanassor9072 3 года назад
Kwa kweli uhuru wa Tanzania umetwafutwa na waislam
@gracejulius3966
@gracejulius3966 2 года назад
Kwani kuna shida ? Jambo la Msingi ni kwamba wote walikuwa Watanganyika. Udini hauna nafasi katika nchi hii.
@nicholousmtemi3902
@nicholousmtemi3902 7 месяцев назад
Daaa watu wanapenda udini kila mahali ko nyerere kama hakutafuta au hakuhusika ikawaje akawa raisi
@seifserenge3340
@seifserenge3340 Месяц назад
Huo ndio uislam, nyie msiokuwa waislam,upingeni uislam, wapigeni vita waislam lakini ukweli utabakia kuwa ukweli. Iko siku mtaelewa tu.
@abuubakalmtangenange4389
@abuubakalmtangenange4389 3 года назад
Waislam ndio wapigania huru wa nchi hii nyerere aliwekwa km shati
@flavianaludovick7830
@flavianaludovick7830 2 года назад
Ukisema hvyo unakosea,zamani watu wengi walidharau elimu,ilikua sio rahis kudai uhuru kama huna uelewa,Nyerere alikua kasoma kwa hiyo ilikua rahis ku
@flavianaludovick7830
@flavianaludovick7830 2 года назад
Kuwasiliana na wakolon ndipo Watanganyika walipomtumia yy kwa ajili ya kudai uhuru,yaliyofuata ni matokeo tuu,hata zamani dini haikuwepo wapo wa Kristo walioitwa majina ya kiislam wengi tu,mfano mababu zetu.
@richardbegga6679
@richardbegga6679 2 года назад
Haaa haaa
@lucasthomas188
@lucasthomas188 11 месяцев назад
Kwa hiyo🤗🤣🤣😅
@saidbakari7476
@saidbakari7476 3 года назад
Wakristo hawataki kuisikia historia hii wanajiona wao ndio kila kitu Tanzania wamefunika historia ya waasisi wetu kwa sababu ya ubinafsi tu kabla ya Uhuru watanzania tulikuwa wamoja bila kujali dini au kabila
@erastobartalome2709
@erastobartalome2709 3 года назад
Umekosea wewe ndio umeleta huo ubaguzi sasa
@monicahovda4524
@monicahovda4524 3 года назад
Kwa hiii Tanzania ? Habari za utofaiti wa Iman. Mmmmh watu wanazaliana mpka, Sasa utakuta huyu Muasisi matawi ya kizazi chake ni hao hao tofauti tofauti za hizo Iman, Lakini kitachobaki hapo ni (generation) kizazi chake, kiwe Iman hii au Iman ile ndio hivyo Generation inavyokwenda, mradi wote ni ndugu waliotokana na mtu Mmja, hamuwezi kujijua.
@stanlaymanya687
@stanlaymanya687 2 года назад
Axeee binadam bwanaa!!! Udin wann katka ukombozi was taifa!!!? Tusipandiane chuki na kujiweka special Awamu zote waislam na wakristo wanaachiana uraiss mlitaka muwekwe mfukoni waislam, wakristo, wapagan walikufa kwaajili ya hi nchi.
@JASIRIGR
@JASIRIGR 2 года назад
Hiyo dini yenyewe uliletewa na waarabu ambao walikuwa wanawatesa babu na bibi zako, tumia kichwa kufikilia.
@estermpagama9664
@estermpagama9664 2 года назад
Walioachiwa mbona walishindwa kuendeleza udini si kitu kizuri tunaishi na familia zetu waislamu yaani tuwaache tusiwasomeshe
@mamlomamlo9064
@mamlomamlo9064 Год назад
Mgoa ni muhindi
@dokasalim943
@dokasalim943 Год назад
Mdigo sio mgoa ( Mdigo kutoka Tanga ) 🇹🇿
@mamlomamlo9064
@mamlomamlo9064 Год назад
@@dokasalim943 yeye aliajiriwa na goa
@abuubakalmtangenange4389
@abuubakalmtangenange4389 3 года назад
Ili mtu umtawale umnyime, elimi, umpe umasikini, pia umuondolee historian yake ya kweli kwa ilo nyerere alifanikiwa watu wengi hawajui ni kinanani waliopigania huru wengi ujua nyerere ila ktk oradha ya kweli hakuna mkristo hata mmoja aliyepigania uhuru wa nchi hii
@simonnembomadola7512
@simonnembomadola7512 Год назад
Uhuru umepiganwa na Waislam na baada ya Uhuru waislam wakasaulikwa rasmi
Далее
شربت كل الماء؟ 🤣
00:31
Просмотров 12 млн
Разбудили Любимой Песней 😂
00:14
Beautiful gymnastics 😍☺️
00:15
Просмотров 10 млн
Wolfram Physics Project Launch
3:50:19
Просмотров 1,6 млн
VITASA | AMIRI MATUMLA VS REAGAN PACHO
38:11
Просмотров 26 тыс.
22 Maovu ya Mapinduzi
12:26
Просмотров 46 тыс.
Утро в Нью Йорке
0:16
Просмотров 7 млн
🍁 Её дружище
0:20
Просмотров 715 тыс.