Тёмный

Salama Na GARA B SE6 EP63 | BABA SHUGHULI PART 1 | SendTip MPESA LIPA NO 5578460 

YahStoneTown
Подписаться 395 тыс.
Просмотров 45 тыс.
50% 1

#SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
Jina MC Gara B ni miungoni mwa majina makubwa sana kwenye ulimwengu wa kazi ambayo mwenzetu huyu amechagua kuifanya. Familia yake, mke na watoto, wazazi wake na wa mkewe pengine, Ndugu jamaa na marafiki na waajiriwa wake wanakula vizuri kwasababu ya kipaji chake Ndugu yetu huyu. Ni mwanaume ambaye akiwa kazini kwake furaha na burudani ambayo huwapa wateja wake ndo inayomfanya azidi kuenda mbali kwenye tasnia hiyo ya ushereheshaji. Again, yeye ni mmoja ya BORA kadhaa ambao wanafanya kazi kama yake.
Mtandao wa kijamii ni kitu kimoja chenye nguvu sana kwenye miaka ya hivi karibuni, kwa ushahidi tulonao tushawaona wengi ‘wakitoboa’ kwasababu ya Instagram au sehemu nyengine. Mitandao iko mingi na kila mmoja na tobo lake la kufikia mjini. Kazi ambayo MC huyu huifanya yeye huenda na team yake kuiweka vizuri kisha ana post kwenye page yake yenye watu karibia MILIONI MOJA NA NUSU. Akizifikisha mjini kazi hizo wengi huvutiwa nazo na ambao wanakua wana shughuli nao bila ya shaka watamtafuta na kutaka kufanya nae kazi. Ubunifu wake ni wa kipekee kutokana na vingi na wengi ambao tumekua tukiwaona kwa miaka mingi sasa. Mtandao wa kijamii umemsaidia na unaendelea kumfanya awe bora zaidi ya jana.
Sasa, shughuli hii anayo ifanya ndo ambayo ilikua ndoto zake? Pengine alikua huku anamuona mtu fulani akiwa anaifanya hii kazi kwa ufanisi na ikamvutia? Ilikuaje mpaka akaingia huko? Kwa kumtizama haraka haraka tu utagundua Ndugu yetu ni MCHESHI, yeye anapenda kucheka na kuongea, ingawa hapo kwenye kuongea nako sio kiviiiile ila ni mtafutaji ambaye AMETIMIA. Story yake alotupa kwenye episode hii inajumuisha yeye kufanya kazi zaidi ya mbili kwenye kipindi flani hivi cha maisha yake ili aweze kuishi vizuri. Ki professional mwenzetu ni MWALIMU, ambaye hiyo kazi aliifanya hasa, na akaijumlisha na kazi ya huduma kwa wateja pale Tigo na wakati huo huo akawa anafanya kazi kwenye kiwanda kimoja hivi huko Pugu Road, hakua na wa kumdekea wala kumsubiria na hustle yake hiyo ndo ambayo anaenda nayo mpaka leo kwenye maisha yake.
Sasa kama Baba na mume kwa mkewe kipenzi ambaye naye alikutana nae sehemu ya kazi yake, Gara B ananijibu kuhusu uaminifu ambao anao kwa mkewe ambaye kwa mujibu wangu kama amekutana nae kwenye mazingira hayo, vipi hujiskia kila mara anapokua kazini mumewe ukichukulia huko ndipo walipo kutana na ndo ambapo wanawake wengi wazuri huwepo? Jibu lake lilikua na kuukonga moyo.
Alituhadhia pia kuhusu wazazi wake na jinsi ambayo ameweza kujitengenezea jina, siku ya kwanza alipopata kimeo cha ku host harusi ya watu ambayo kwa mujibu wake aliibembeleza sana na hakua amepewa nafasi, ila nafasi ilipojileta akanyoosha kwa umbali mrefu mpaka mengine yamebaki story tu. Na hii ndo ilikua simulizi yangu bora kabisa kuhusu kupata nafasi na kuzitumia vyema.
Yangu matumaini utaskiliza na kuangalia kwa makini maana humu anatupa simulizi zote za kutokata tamaa na jinsi ya kuchukua nafasi, ila pia anatuhadithia baadhi ya mitihani ambayo huja na umaarufu pia na jinsi ya kupambana nayo. Mimi nili enjoy na natumai itakua hivyo kwako pia.
Happy Holidays.
Love,
Salama.
Support us through anchor.fm/yahstonetown/support
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
‪RU-vid Link bit.ly/RU-vidSalamaNa
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz

Развлечения

Опубликовано:

 

16 апр 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 46   
@happynessdavid7921
@happynessdavid7921 Год назад
Wow naomba nilichojifunza hapa MUNGU kisitoke ktk jina la YESU
@Tyrant141
@Tyrant141 Год назад
Wow such an inspirational interview! Big up salama na Gara B
@samsonsimon2610
@samsonsimon2610 Год назад
Namkubali sana GARA B nimejifunza kupambania kile ninachokiamini
@EmanuelisMichael-kw9nf
@EmanuelisMichael-kw9nf Год назад
Big Brother Gara B. Kubali sana Natamani Kufanya Kazi yako #Una Busara sana
@egbartrwegasira1250
@egbartrwegasira1250 Год назад
Kutoka Rio de Janeiro ya bongo... Kule kuna vipaji vingi sana..
@salomewandya7257
@salomewandya7257 Год назад
Kweli maisha ni kupambana 👏👏🙏🙏
@mashopluck
@mashopluck Год назад
Most Blessed Gara B
@godfreymiho4927
@godfreymiho4927 Год назад
🤗 respect sana salama
@alinebakome
@alinebakome Год назад
Nawapnda sanaaa nyinyiiii wawiliii
@aapolonarius
@aapolonarius Год назад
Wa kwanza kuview, whatsup watu wa Tz✌🏾
@amanmasalu7349
@amanmasalu7349 Год назад
Salama nakukubali mno very creative sista naomba utuletee mwanamama Jonisia Jacksoni Rukya mwamzi michezo wakike maridadi Tanzania hope tutajifunza kitu mwamba🎉
@evancenicholaus7739
@evancenicholaus7739 Год назад
Maadili ya kazi yake hatamruhusu kufanya mahojiano na media, mpaka astaafu
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Год назад
Baba boy 👌🏽tume subiri sana 🤦🏿‍♀️🙌🏿
@marianajohn5415
@marianajohn5415 Год назад
Ndio maana anaufanya vizuri sana uMC! Kumbe ameshakuwa mwwlimu! Big up sana Gara B
@souksoukeventsandmarketing653
Robert was my wedding photographer 2010
@johnyoram7876
@johnyoram7876 Год назад
We need Prof Kabudi pls
@marianajohn5415
@marianajohn5415 Год назад
What a lovely interview nimependa alivyooneshwa mke wake ❤😂
@NuhuMiraji
@NuhuMiraji Год назад
Salamaaaa real love u but tulete mondi❤
@paulinamaingu7460
@paulinamaingu7460 Год назад
Kwakweeeliiiii
@benjaminsaimon200
@benjaminsaimon200 Год назад
Sister salama #Millard ayo plz#
@CatherineNzeki
@CatherineNzeki Год назад
Naisubiri sana
@lizahadongo1801
@lizahadongo1801 Год назад
Best mc in Tanzania 🇰🇪
@salomewandya7257
@salomewandya7257 Год назад
🇹🇿🇹🇿
@user-iv5xu6lm8i
@user-iv5xu6lm8i Год назад
🎉🎉
@peterkimati7003
@peterkimati7003 Год назад
Tuletee frida amani
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Год назад
Uwiiii nime jifunza mimi kufanya kazi nyingi 🙌🏿🙌🏿🙌🏿📝📝
@Yusufu940
@Yusufu940 Год назад
Salma ndefu kwa wanaune Ni ushujaa na ukuwaji
@marianajohn5415
@marianajohn5415 Год назад
Tuletee lulu salama
@mariajoseph9735
@mariajoseph9735 Год назад
Mbona alishaga kuja
@goodlucktemu3149
@goodlucktemu3149 Год назад
Mafanikio ni safari ndefu.
@dostovan5142
@dostovan5142 Год назад
Mlete mc eliud
@liannsambu7264
@liannsambu7264 7 месяцев назад
Sasa autoe mustach mara ya pili unakuwa umejaa mara nyingi nywele ukikata YANAJAA ZAIDI
@niriacatering172
@niriacatering172 Год назад
Safi sana Asante
@juliuskuluo8876
@juliuskuluo8876 Год назад
Naomba utuletee joti au masanja
@CatherineNzeki
@CatherineNzeki Год назад
Joti alishakujaga
@TreciousMahende
@TreciousMahende Год назад
Chris mziwanda aje salama
@esterdoriye8377
@esterdoriye8377 Год назад
Nina extra duty yangu nje na ualimu naenda kusimamia kikamilifu kuptia GARA B
@ramashemngindo5719
@ramashemngindo5719 Год назад
Namkubar sana huyu jamaa
@azizamohd4203
@azizamohd4203 Год назад
Salama unamtaka nn mbona unacheka sauti iyo ww
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Год назад
Tuna omba juma lokole please
@salomewandya7257
@salomewandya7257 Год назад
🤣🤣🤣
@EmanuelisMichael-kw9nf
@EmanuelisMichael-kw9nf Год назад
Sorry Ni Mwalimu wa Masomo gani.
@mariamusaulo4429
@mariamusaulo4429 Год назад
Tuleteee Juma Lokole Salama
@user-qs7lj7kj1k
@user-qs7lj7kj1k Год назад
😂😂😂😂
@aishaomarry6996
@aishaomarry6996 Год назад
Mi mwenyewe mwanamme asie na ndevu simpendi
@West-side-lt9nb
@West-side-lt9nb Год назад
Rest in peace Gara B
Далее
🍁 Её дружище
0:20
Просмотров 2,3 млн
POV Anxiety became a dad, but... | Inside Out
0:34
Просмотров 23 млн